Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

SIMULIZI: CHEUSI MANGALA _SARA UGANDAN QUEEN Mtunzi La! Mpemba OG 0778955701 Sehemu ya 03 _04

16th Jul, 2025 Views 3



Nazungumza kwa hisia Sara naomba tukutane juu ya mlima tafadhali saa kumi jioni

Sara anaitikia sawa Omar anakata simu

Nahisi furaha mpaka natetemeka mara nikae Mara nisimame naisevu namba ya Sara Ugandan Queen

.......Jioni

Nawahi kufika juu ya kilima mapema namsubiri Sara nusu saa tangu nikae lakini Sara hajatokezea mpaka nahisi kukata tamaa

Mpaka saa kumi na mbili muda wa chakula tayari nanyunyuka nataka kuteremka kilima namuona mwanamke anakuja kavaa nikabu

nashangaa najiuliza huyu nani anakuja upande wangu anafika karibu anasimama anavua nikabu anasalimia habari Omar

nakasirika anaanza kufoka ulikuepo wapi namkamata mkono Sara nambinya kwa nguvu namsogeza karibu yangu tunatizamana machoni

Sara machozi yanaanza kumtoka namuachia haraka nasema nae kwa upole samahani Sara nilikua nishakata tamaa hutokuja mamaa

Sara analia anataka kuondoka namfata namkumbatia kwa nyuma Sara usiondoke tafadhali nisikilize nakupenda

Sara anafuta machozi anatabasamu halafu anageuka uso kauvaa wa mbuzi kana kwamba hayajamfurahisha niliyomwambia

Unasemaje wewe nilifikiria umeniita kwa jambo muhimu kumbe upuuzi huu umesahau kilicho kuleta chuo

Jicho linanitoka Sara simatakwa yangu moyo umechagua kupenda na umekuona wewe

Sara niamini nakuhitaji katika maisha uwe mama watoto wangu tukaishi Tanzania

Sara anajikaza kisabuni ndani anateketea anaguna hmm mimi sikupendi Omar anageuka anakunja mikono kifuani

Chozi la uchungu linananitoka mwanaume nauliza kwanini

Sara anageuka sikupendi tu anabidua midomo

nahisi mvurugiko wa hisia namkumbatia Sara nambusu kwenye shingo oya ee akili zishahama

Sara anashindwa kushikilia Msimamo wake anaanza kuropoka nakupenda Omar l love you l love you kwa sauti yakunong'ona iliyoregea ya puani nyororo anarudia umo kwa umo kama anapiga msuaki😁

narudi nyuma kidogo namtizama Sara anavyoweweseka

Sara anaita Omar anahisi nyuma yake sipo anageuka namtizama macho nimeyafinya anahisi aibu

nageuaka naanza kutembea naondoka taratibu Sara nanifata mbio ananikumbatia kwa nyuma ya kifua

Omar nakupenda usiondoke analia machozi natabasamu la ushindi

namtizama sara kwa upande nageuka namlaza kifuani nampiga busu la kwenye paji la uso

Tunatafuta sehemu nzuri iliyojificha tunakaa

Ardhi ya Uganda inamilima mengi ndio maana hali ya hewa yake ni baridi

Sara karibuni mtaondoka nasisi tunaanza mitihani pia tutaondoka tutakuwa hatuonani tafadhali tuwe tunawasiliana

Sawa Omar nitakukumbuka sana anatabasamu

Tutaonana disemba kipenzi changu nakuomba ujitunze kwa ajili yangu sawa

Sara anaitikia kwa kichwa halmashauri ya akili yangu haitulii kila nikimtizama Sara inanambia nisipofanya kitu nitamkosa

Namuita Sara anaitikia kama katoto mmm ananyanyua kasura kake kaupole nakatazama nahisi raha

Sara nataka nikuoe kabla sijaondoka kwenda Tanzania

Sara macho yanamtoka Lakini Omar kabla hajamaliza namziba mdomo Sara najua una wasiwasi na wazazi tutafanya siri mpaka tumalize kusoma tutawambia sawa kipenzi

Sara ni mpole sana jumlisha na upendo ninachomwambia anakubali hapindui

Siku ya pili tunaenda kufunga ndoa kwa kadhi Shahidi rafiki yangu ndoa inapitishwa kimyakimya

Kama mnavyojua mwanamke na mwaname wakikaa pamoja hisia haziachi kujileta kati ukizingatia tushahalalisha ndoa

Sara wangu nikamtoa usichana wake nilibembeleza kaka enu mpaka kijasho chembamba kikanitoka Sara anadeka nyie

Ikawa ndio kamchezo ketu tukijiskia kupalilia ndoa tunakodi chumba buheri mpaka nilipomaliza mitihani Safari imewadia usiku wake kucha nimelala na Sara namuaga

Sara analia tu ananisihi nisije kumsahau na wivu ananipa vitisho nikija kugundua una mwanamke mwengine namuua

Mchana nimeshinda nae tunapeana za mwisho mwisho

Siku Sara kalia mpaka macho yamevimba mida ya saa kumi na mbili ndio Safari Sara ananikumbatia kwa nguvu hataki kuniachia

Inabidi niseme nae namuita kwa sauti laini Sara Sara anaitikia abee nampiga busu la wakubwa anatulia

Nitarudi mke wangu niamini kama ningekuwa na nia mbaya nisingekuoa nakutaka nakuhitaji ndio maana nimekuoa

Sara anakuwa mnyonge nataka kupiga hatua nagusa kitasa cha mlango Sara ananikumbatia analia kama kafiwa Omar mume wangu aaah😭

Ananifanya mpaka namimi machozi yananitoka sigeuki nyuma natoka na begi langu

Sara anagaragara analia kama hatolia tena

Tunaondoka na basi tunarudi Tanzania tunafika mpakani tunakaguliwa hati ya kusafiria na kadi ya homa ya manjano

Tunaanza safari mkoa mmoja badala ya mwengine

Narudisha laini yangu ya Tanzania naangalia kwenye Whatsap status kipenzi changu Sara kaweka imoji ya kulia kaandika kuna mtu anakumbukwa

Namtumia kopa naandika mimi pia anajibu mbio unaendeleaje na safari

Vizuri tu kipenzi tuko bukoba Tanzania nawewe unaendeleaje

Sara anaenda mwao mimi sijiskii vizuri najihisi mchovu sana nalala tu

Pole basi pumzika tutazungumza baadae Sara wangu anaitikia sawa anakata simu

Sara anazungumza na shoga ake kaona status anamfanyia mzaha, vipi shoga naona huwezi kujishikilia nani tena huyo au Omar

Sara anaguna hmm Shara mbeya wewe awe nani mwengine ndio yeye

Tunajuana wanawake tukipenda hatuwezi kuvunga kila mtu atajua

Shara anacheka kiasi shogaa angu maana Omar alivyo ungezubaa ningejibebea mimi mrefu anakifua OG chakuzaliwa sichakufanya mazoezi

Ana sura ya kike ya mama yake mweupe ananimaliza sauti yake

Sara anakasirika anamkaripia Shara tafadhali urafiki utaisha sasa Hivi unamsifu bwana wangu mpaka nahisi wivu

Shara anajidai shoga angu mimi nawewe tusigombane kisa bwana utamu

Sara anazima data analala

Siku ya pili anafungua whatsap anaona kimya sijamtumia kitu anakuta text za Shara tu

Hee shoga angu umekuwa na hasira siku hizi ndio kukimbiwa na bwana au kuna jengine

Sara anasunya anaitupa simu kwenye kitanda akili yake kashavurugwa nayeye anamletea ishu za kajamba nani😁

Anaingia bafuni anapiga msuaki anatapika anajinadhifisha anatoka kwenda kutafuta kitafunwa na chai

Anatia mkate na chai kinywani tayari anahisi kutapika

Anarudi chumbani anajiuliza Omar hajanitumia ujumbe ana nini analia kama mtu aloonewa anachukua simu anarekodi audio

Omar mume wangu siwezi kuwa mbali nawe leo moja nahisi kama mwaka napata tabu mimi

Sara anaitwa na mama yake anajifuta machozi haraka anakwenda ukumbini anakutana na ugeni anasalimia mke wa balozi ooh Sara umekuwa sasa

Sara anatabasamu anaamuangalia kwa mshangao huyo mwanamke anajiuliza amaekuja kufanya nini huyu dingi

Mama yake Sara anamkaribisha kinywaji na kitafunwa nimekuja kukualika wewe na Sara kutakuwa na sherehe ya kumpokea mwanetu Yassir anarudi masomini Malaysia

Bi Zena anaitikia kwa bashasha Usijali bi Fatima tutakuja na Sara

Sara anakasirika ndani ya nafsi yake anasema Kwani huyu bibi kaambiwa anitaje

Bi Fatima anamtizama Sara anatabasamu mkamwana wangu asikose Yassir hatanielewa

Sara ndani ya nafsi anachukia mimi simkamwana wako nina mume wangu Omar anakumbuka Hajazungumza nae anaaga anaondoka anaingia chumbani

Anaiwasha simu anatizama whatsap Sijamtafuta kisirani kinamjaa tele anaanza kulia

Da es salaam .....

Nafika dar es Ssalam saa tatu asubuhi miguu imetuvimba kwa safari ya muda mrefu

nachukua bodaboda mpaka bandarini nanunua zawadi za nyumbani

Nakata tiketi ya boti saa sita tunaingia kwenye meli nakaa nje napanda juu

Zanzibar....

Tunafika Zanzibar saa nane kasoro nachukua bajaji mpaka nyumbani mwera

Namkuta bimkubwa kashaandaa mahanjumati mezani

Tunasalimiana na mama yangu ananibusu kwenye paji la uso namimi namkumbatia

Omar mwanangu sihaba alhamdulillah umerudi salama

Bi Jokha ndio jina la mama yangu kwao Mwera mswahili mwenye asili ya kiarabu mama yangu na baba yangu familia zao wengi wanaishi kenya

Baba yangu mzee Salim asili yake mombasa Kenya msomali

Baba yangu rubani anasafiri nchi mbalimbali kwetu pesa ipo lakini mimi ninaishi maisha yakawaida mpaka mtaani nimetungwa jina cha baba sichako jina la umaarufu

Ukiniulizia Omar huenda usinipate kitaani kwetu kuliko jina ilo au Chotara na msomali

Nimezaliwa peke yangu nadeka nyie kwa mama yangu

Ila Bi Jokha kalea watoto wa ndugu zake wengine washaolewa wengine wapo nyumbani bado wanasoma Aisha na Rauhia

Naingia chumbani kwangu natoa simu naweka chaji naingia bafuni nakoga inanijia taswira ya Sara nahisi mvurugiko wa hisia naita Sara ah

Natoka navaa nguo naingia kwenye anga za bimkubwa mezani nakula bimkubwa yupo pembeni

Mara anichambulie samaki anilishe nimewambia nadeka kwa mama yangu raha nyie

Nimeshiba mahanjumati ya kizanzibari mama asante kwa chakula nilikumbuka sana baraka za mikono yako nambusu mama yangu mikono

Naaga naingia chumbani naiwasha simu nakuta miscall 28 jumbe 12 audio 5 video call 3 zote za Sara

Naanza kusikiliza audio 1- Mume wangu mbona kimya

Kusikia naitwa hio mume wangu kwa sauti ya Sara nyororo na ya upole nahisi kusisimka na kangalikuepo karibu kangenitambua ninge kahenya mpaka maji kakaita mma😁

Audio 2- Omar nimekukumbuka mpenzi
Audio 3- unaendeleaje
Audio 4- Omar mbona hunijibu umepatwa na nini, nina wasiwasi mwenzio😒
Audio 5 anazungumza analia Omar mimi siwezi kukaa bila kusikia chochote tafadhali nijibu naumia Omar😭

Nasoma jumbe nahisi raha natabasamu tu jumbe kutoka kwa umpendae zina raha hasa akiwa analalamika amekukumbuka kwa mahaba

Omar mpenzi nakupenda natumai upo salama kipenzi chako nina hofu sijaskia chochote kutoka kwako tafadhali nitoe hofu na mashaka

Hubbi natamani nisikie sauti yako nitulie mchana na usiku umekuwa mrefu nawaza penzi lako tamu sana

Natabasamu nafsini mwangu nasema siuseme Sara wangu umemiss naniliu yangu basi

Jumbe zinaendelea ......

Mme wangu sijisikii vizuri huzuni imetanda moyoni wewe ndio faraja yangu nakupenda Omar

Omar naumwa mwenzio upendo wako kwangu tiba sindano yako inaniponya maradhi yasionekana njoo unipe dozi kutwa mara tatu

Nimechovya buyu la asali yako natamani kurudia tena na tena ladha ya ajabu nimeonja natamani unipe tena niradhi inzi nife kwenye kidonda chako kwa raha nilizoziona

Nasisimka kwa maneno ya Sara mpaka nabadilika mnara unasoma nampigia simu Sara yupo ukumbini anaona simu inatoa muangaza anaangalia jina Omar anaingia chumbani mbio anajikomelea

Anaipokea kwa pupa anatabasamu anaita Omar anasema hamezi mate nimekukumbuka mume wangu kwanini ulikuwa kimya nilikuwa nahofu kipenzi changu mimi natumai upo salama

Namnyamazisha shhhh Sara niko mbali mama punguza vionjo sina pakupunguza upwiru mimi au unataka mali yako nianze kugawa

Sara anakasirika anabadilika hapo igawe uone naikata hio

nacheka sana halafu utanitaka nikesha kuwa mkia butu utapata wapi raha unazozisifia

Sara anahema kwa hasira wivu ushamkaba hafahamu anauliza uko wapi

Namjibu kwa utulivu nipo nyumbani Sara anageuza video call anione

Ananiona nimelala kwenye kitanda anachungulia labda kama ataona kitu nacheka

Namuita Sara mamii usijali uko peke yako unaendeleaje na hali

Sara anaitikia kinyonge machozi yanamtoka mimi sijambo Omar nimekukumbuka rudi analia kwa kwikwi

Nahisi hatia nambembeleza Sara mamii usilie

Sara anazungumza kwa sauti ya kilio Omar nahisi siwezi kukaa mbali nawe

Usijali kipenzi karibuni tutakuwa pamoja vumilia kidogo tu

Sara jicho linamtoka, kidogo miezi sita Omar mimi siwezi nakufata

Macho yananitoka mwanaume siamini anacho kisema Sara

Utafanya nini wazee utawaaga vipi kusema ukweli mimi mwenyewe siwezi kukaa mbali nawe kipindi chote hicho Sara naona nitakuwa chizi

Nitawambia nimepata rafiki wa kizanzibari wazazi wake wameomba nikatembee

natabasamu vizuri mke wangu unaakili sana mashaAllah

namuita kwa sauti fulani hivi Sara ndio anaejua tukiwa zerodistance tunashuka mlima kilimanjaro

Sara anatabasamu ananiita Omar anashusha pumzi anajilaza kitandani ananitizama kwa jicho nyanya

Tunatazamana muda wa dakika nzima bila yoyote kati yetu kusema lolote kimya kinatawala

Navunja ukimya nakupenda Sara nimekumbuka tamu yangu

Sara anajifanya kama anajieka sawa ananambia njoo nikupe

Najikuta nacheka sana asante mke wangu wewe mtamu sana hunishi hamu

Sara hacheki mpaka macho yashambadilika inabidi nifanye kitu cha kumtoa kwenye dimbwi la mawazo

Habibty wangu mzuri nikutumie pesa uje eee

Sara anachangamka sawa mume nitumie anatabasamu

Nakutumia jioni sasa hivi wacha nipumzike nimechoka sana miguu imevimba anampigia picha anamtumia

Sara anamuonea huruma mume wake nije nikukande kipenzi

Njoo unikande miguu yangu mitatu yote imevimba

Sara anacheka sana nakuja nitakufanyia masaji nzuri

Asante kipenzi usiku mwema ulale uniote eee

Sara anacheka nawewe pia nisalimie mguu wako watatu

Nacheka sana tunaagana kwa mabusu Sara haikati simu mimi mpaka napitiwa na usingizi ananiangalia tu

Mekuwa wavivu wa kucomment na kulike namimi naingia uvivu hahah

Simulizi hii muendelezo nishatuma kwenye kurasa

Follow👇👇

Simulizi Za Mpemba OG

0778955701.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SIMULIZI: CHEUSI MANGALA _SARA UGANDAN QUEEN Mtunzi La! Mpemba OG 0778955701 Sehemu ya 03 _04  >>> https://gonga94.com/semajambo/simulizi-cheusi-mangala-_sara-ugandan-queen-mtunzi-la-mpemba-og-0778955701-sehemu-ya-03-_04
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
karibu msagala furniture
karibu msagala furniture

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MKEKA 03

majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 30💘💘

majario rewards 100 Comments 0
 

TREVOR CHALOBAH 🫡

majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 28💘💘

majario rewards 100 Comments 0
 

🌹I MISS YOU 🌹

majario rewards 100 Comments 0
 

.BABAMKWE epsd 19.

majario rewards 100 Comments 0
 

SEHEMU YA 22💘💘

majario rewards 100 Comments 0
 

ALINIINGIA BILA IDHINI

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE..17..18

msagala rewards 100 Comments 0
 

bei sawa na bule

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 16

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 14...15

majario rewards 100 Comments 0
 

MDOLI MPENDA UTAMU...1

majario rewards 100 Comments 0
 

HUYU KAKA🙈3~4

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 11.

majario rewards 100 Comments 0
 

GIGY MONEY DAH😭

majario rewards 100 Comments 0
 

YOUNG AFRICANS,

majario rewards 100 Comments 0
 

BAKORA VILLAGE

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 7...8

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest