Sasa chizi akawa amekaa tayari yani kautegesha mgongo vizuri amechuchuma ananiambia panda twende dear dear dear wangu.
nikawanaona aibu kweli nipande kwenye mgongoni kwa chizi mbele ya wazazi wangu nikaona itakuwa sio vizuri.
chizi akakoroma sasa nasema ivi wote muondoke hapa dear dear dear wangu anawaogopa nyinyi nahesabu moja mpaka tatu nisimuone mtu hapa atayebaki namng'ata meno ya koromeo namnyonya damu mpaka afe.
moyoni nikasema kumbe chizi mpaka hesabu anazikumbuka duu sijui nini kilimkuta chizi uyu jamani.
Chizi akaanza kuhesabu moja arafu anakaa kimya kidogo akasema mbili.
mama na baba wakaondoka na babu mtu akaona isiwe shida asije akamnyonya mtu damu kweli akaondoka mbio.
chizi akaniambia panda mgongoni twende dear dear dear wangu chooni.
nikapanda akanipeleka chooni akanishusha akaniambia endelea kuoga mimi nakuandalia chakula kwanza sawa.
basi nilisikia raha nabembelezwa japo na chizi.
nikavua nguo nikaoga nikatoka namuona chizi kanitandikia mkeka kwenye mti mzuri wenye kivuri alafu kalibu na barabara.
akaniambia kaa hapa.
nikakaa akaniletea miogo na maji nile akachukua ungo akawa ananipepea wakati nakula sasa anaimba nyimbo zake anazijuwa mwenyewe uku ananipepea anakata kiuno.
watu wanapita wanamshangaa mimi naona aibu mama na baba walishika bichwa wakisema ile mimba ni ya kishilikina tu ila twende kwa binamu yake ni mganga aje awatenganishe mwanetu akili sio zake mwangalie ananyweshwa maji na chizi.
wakati chizi ananinywesha maji ndio wazee waliwaambia watoto ondokeni msije mkapofuka macho.
watoto wa kijijini wana maadili awakuwa wabishi wakaondoka.
chizi akaanza kunitumbua chunusi usoni.
hapo ndio wakasema jamani uyu dada mbona mzuri tu alafu anakubari mwili wake aucheze chizi jamani atakuwa uyu dada ana ukimwi anataka amuue chizi wa watu.
maneno yale mama aliyasikia akampiga kibao aliyesema yale maneno cha nguvu.
kumbe yule binti na yeye mama yake yupo mama wa yule binti akukubari akampiga mama.
baba akukubari akampiga yule mama wa binti kumbe yule mama mumewe yupo na mume wa yule mama akukubari akampiga baba.
sasa baba akamshika baba wa yule binti na mama akamshika mama wa yule binti zinapigwa yule binti alivyoona mama yake anazidiwa akaingilia ugomvi wamchangie mama yangu.
ndipo nikanyanyuka mzima mzima nikamshika yule binti nikaanza kumpiga.
kumbe watu wa kijijini wana nguvu alinikata kibao nikataka kuanguka chizi akanidaka.
sasa chizi akawa achagui abagui anatembeza kichapo alianza na yule binti mpaka akakimbia akawakusanya mama na yule mama wa binti akawakutanisha vichwa paa.
wakazimia akawakamata baba na baba wa binti vile vile aliwakutanisha vichwa paa.
wao waliona kama nyota nyota.
wote walikimbia akaja akanichukua akanipeleka ndani kwake akaniambia lala utulie dear dear dear.
mama upepo ulipompata pale akaamka akaondoka zake anamuona mumewe ana bonge la nundu.
na mama wa yule binti ivyo aliamka akamuona mumewe ana nundu wakaondoka.
Na wazazi wangu wakaondoka.
Chizi akaanza kunitoa nguo anataka mambo na mimi sijui nina nini chizi akinigusa napagawa yani natamani.
akanionyesha mapenzi Mapya....( Hapa kuna uchambuzi mkubwa ambao upo WhatsApp maana FB sheria ngumu na napenda tuwe pamoja kila siku)
ITAENDELEA....
CHIZI UNGEKUWA NA SIMU NINGEKUPIGIA SI KWA UTAMU ULE UMEMZIDI TIMAMU NO 12
Sasa nimeshika nanii ya chizi alafu una joto flani ivi la amsha amsha popo yani linasisimua mwili unatamani yote izame ndani wale washawai kukutana na nanii yenye kupwita kupwita ikiwa mkononi wanajuwa nachomaanisha wale wamekutana na milegevu nimewaacha solemba awajui namaanisha nini.
sasa ndio nachuchuma kwa uchu kama wote nataka ( sheria)
mimi hodi aikunikata stimu zikikushika mbaya unaliwa ata uchocholoni au chooni tena hamu zenyewe sio zile hamu za tamaa ya pesa unafika gest unachagua chumba kama unataka kupanga.
basi tuliendelea na raha zetu.
Chizi ananipalaza tumbo vizuri yani talatibu mpaka raha.
Mama anagonga tu.
mala babu anasema jamani mjukuu wangu uyo kalala na apendagi akilala aamshwe mbona mnachokoza ili afanye fujo mseme Mkorofi jamani.
mala wanapiga madada wawili wanasema jamani uyu chizi sio mkorofi kabisa tena anajuwa usafi ni nini Leo kawakimbiza wale wanaoga kisimani japo aliwakimbiza kwa sababu anataka kopo la kuogea ila ametufulaisha wasichana awasikii tumesema weeee awataki kusikia tabia ya kuoga kisimani tumesema watu wakaoge mtoni kisimani tuchote maji tu awaelewi natamani uyu chizi kila siku apite kule maana ana hodi anaenda tu wataogopa kwenda kuoga kisimani wasichana wamekuwa jeuri sababu mwenyekiti wa kijiji ichi anatembea nao na nyinyi wagambo kama kawatuma mwenyekiti muje mumtishe chizi ili asiende kisimani tutawachenjia asiwapekeshe kiivyo yeye anywi yale maji anakunywa maji ya chupa sawa muacheni chizi wetu wenyewe tumempenda.
wakati huo chizi kashaniinamisha anaendelea kiminyato yani talatibu kama tunacheza nyimbo laini jamani chizi ana mapigo mengi sio kama ao wanaume wengine wakiishika kwa bibi anakunja sura anakushindilia kama fundi anagongelea msumari kwenye mbao ya mninga.
Chizi ananipeleka talatibu uku anatabasamu alafu ananiminya minya matuta kama anayakuna ivi jamani raha kukunwa uku unapelekewa moto
alafu mimi naukatikia sasa napokea mbegu jamani tamu ila watu wa nje wananikosesha starehe ningepiga kelele japo kidogo tu au ningemwambia chizi asante jamani chizi anaweza anapalilia mimba yake vizuri.
Akachomoa talatibu talatibu kama anabembeleza kuweka trei la mayai chini.
upande wa nje wazazi wangu wagambo wote wakaondoka sijui wamekubaliana nini.
Chizi akaenda kuokota kuni akawasha moto usiku ushafika akaniambia twende ukaote moto nikaenda kuota moto jamani chizi anajuwa mahaba amechuma mahindi ananichomea kwenye moto uku anaimba nyimbo mimi ata sizielewi lakini anaimba kwa kilugha.
babu akawa ameachama mdomo kama anajuwa anachoimba chizi akawa ananishangaa moyoni nikasema chizi anaimba mambo tunayofanya kitandani au mbona babu ananiangalia sana mimi alafu ana kama kiulizo frani.
babu akazidi kunishangaza akanyanyua simu anapiga anasema njoo njoo uwone maajabu ya dunia uwezi amini nikikuadisia njoo uone kwa macho yako usikie kwa masikio yako.
yule kwenye simu sijui nani lakini ni mwanamke anasema nasikia nyimbo hapo za kinyumbani nasikia raha sana nakuja inanikumbusha wakati naolewa.
duu ndio nikapata jibu chizi anaimba nyimbo za harusi anamaanisha ananioa mimi au uku anaanza kunilisha mahindi yani anapukuchua indi arafu ananipa kama karanga jamani raha ila sijui mbele itakuwaje na anayekuja ni nani?
ITAENDELEA
FULL TSH 2000
0657171961
CHAGUA CHOMBEZO TATU hapa
1..CHIZI ANGEKUWA NA SIMU.
2..MAMA MKWE KAUPONZA
3..NDOGO YA MCHAWI.
4..TAMU YA MCHAWI
5..CHIZI MLA NDOGO WAKE ZA WATU
6..KIKOBA CHANZO CHA KULIWA sifuli
7..KISHIMO TAKA UTATA
8..NIMEWALA NDOGO UKOO MZIMA
9..UTELEZI
10..SHIKA UKUTA.
KWETU morogoro.