Kuna namna Mo dewj anatudanganya,anasema ametumia Billion 87 tangu ameanza kuwekeza Simba,ina maana katumia mara nne ya fedha ambayo amewekeza ndani ya Simba na bado mchakato wa mabadiliko haujakamilika,ukweli ni kwamba hakuna tajiri ambaye anaweza kukubali kupata hasara kubwa kiasi hicho,Mo dewj ametudanganya kwenye hili