JINA LA SIMULIZI: Masaji ya Shangazi
Tahadhari: Simulizi hii inalenga hadhira ya watu wazima kwa mitazamo ya kihisia, kihisia-kuvutia, na mahusiano ya kimvutano wa ndani ya familia ya mitala au ndoa za kifamilia.
ANZA NAYO........
Nyumba ya Shangazi Liliani ilikuwa mbali kidogo na mjini. Ilikuwa ni moja ya zile nyumba za kifahari zilizojengwa kwa gharama kubwa sana . Shangazi Liliani alikuwa mrembo ambaye huwezi ukamuita "mzee" hata kidogo.
Hata baada ya ndoa ya miaka kumi na miwili na Rotimi, bado alikuwa na umbo la kuvutia, ngozi laini kama ya mtoto, na miondoko ya pole pole iliyojaa mvuto wa ajabu. Yaani yeye alikuwa akijiita katoto ka2000
James alikuwa ni kijana aliyemaliza chuo mwaka mmoja uliopita, na kutokana na hali ngumu ya ajira, alilazimika kuja kuishi kwa shangazi yake Liliani mjini.
Mjomba wake Rotimi alikuwa anasafiri mara kwa mara kazi yake ilimlazimu kuwa mbali na familia kwa muda mrefu. Liliani akabaki na James, ambaye alikuwa mstaarabu lakini macho yake hayakuwahi kuacha kumchungulia shangazi wake kwa jicho la siri.
Jioni moja , Shangazi Liliani alitokeza sebuleni akiwa amevalia gauni la la kuangaza yaani kilichopo ndani ni fahari ya macho lililokuwa limebana kiunoni, miguu yake ikiwa wazi, akilalamika kuwa mgongo wake unamuuma kwa sababu ya kukaa muda mrefu kazini.
"James," alitanguliza kwa sauti yake ya laini, "nisaidie kidogo... mgongo wangu unaniuma mno. Najua ulisoma sports therapy pale chuoni, si unajua hata basics za massage eeh?"
James alishtuka. Akashusha pumzi pole pole. "Ndiyo shangazi... najua," alijibu kwa heshima. Lakini moyoni mwake mapigo yalikuwa yamebadilika.
Alienda na kumpakata shangazi kwenye sofa kubwa la ngozi. Akamwaga mafuta ya nazi aliyopewa, kisha akaanza kwa taratibu kumpapasa mabega. Liliani alifumba macho, akipumua kwa raha. "Jamess... polepole... aaah ndiyo hiyo... shuka kidogo mgongoni..."
Masaji iliendelea taratibu, lakini hisia zikaanza kupanda bila wenyewe kutarajia. Mvua ilizidi kunyesha nje. Kimya kilitawala chumbani. Shangazi alikua akizidi kutoa milio ya utulivu, na James alijikuta akiendelea, akigusa sehemu ambazo hakutarajia kugusa hapo awali.
"James," shangazi alizungumza kwa sauti ya chini sana, "Unanifanya nihisi kitu ambacho sijawahi kuhisi kwa muda mrefu... Rotimi hayupo na..." Alinyamaza.
James alisitisha mikono yake kwa muda. "Shangazi... najua tunakosea basi tuache basi
Liliani aligeuka pole pole, macho yao yakakutana. Muda ulisimama. Hakukuwa na sauti zaidi ya sauti ya mvua iliyokuwa ikinyesha kwa fujo nje.
"James," alitamka, " usiache bhana mwenzako nme..................
Kwa sasa tutakuwa na simulizi tatu
ASUBUHI(MOJA): KAZI YA JELA
MCHANA ( SABA ): MTEULE WA KUZIMU
USIKU ( MOJA KAMILI) MASAJI YA SHANGAZI.