Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

MKASA WA MAISHA YA MWANAMKE MAGRET J MASAMA MWENYEJI WA MBEYA Sehemu ya Nane ( 8 )

1st Aug, 2025 Views 16


*************
@Kila Mtu
💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝
Akichukua mkanda na kujifunga uku akitabasamu nadhani utaenda kusimulia uko uwendapo nilikuchukua kwa ajiri ya mama angu nadhani hauna shukrani sasa nitakuonyesha kulichomtoa kanga manyoya 'maneno yake yaliendelea kunitisha nilitamani nishuke kwenye gari lakini sikuweza
Nilivyoona hali imezidi kuwa mbaya mwendo umekuwa mkubwa niliamua kufunga mkanda lakini ulikataa nilipoangalia kwa umakini kumbe ile mia mbili hakuweka mfuko mwengine aliweka ile sehemu ya kuchomekea mpaka dhahiri alitaka kunisababishia ajari ili nitokee dirishani ,akati naendelea kutafari gafra alianza kupunguza mwendo na kusimamisha gari kabisa
"Mage hii mara ya mwisho ukiendelea na ujinga wako nitakuja kukufanya kitu kibaya ambacho utoamini" alisema isaya uku amekunja ndita
Sikumjibu nilibaki tu nimemkodolea macho aligeuza gari tukaelekea nyumbani ,tulifika tukapokelewa na mlinzi mpya aliyepo getini tena alikuwa ni mmasai ambae mkononi alikamata sime yenye makali
"Baba yoyoo naenda kazini huyu mwanamke asitoke hapa kabisa ,akitoka una kazi kabisa"alipomariza maneno yale aligeuza gari na kuondoka kuelekea kazini
Nilirudi ndani kichwa kikiwa kizito kabisa sikujua niamue nini kwa wakati ule na kutoka getini nilikuwa nishazuiwa na mmasai na hata ningetoka ningeekekea wapi kwa wakati ule akati wazazi wangu wameniuza kurudi nyumbani
Nilitafakari mwishoe nilifilikiria jambo kwanini nisimtafute rafiki yangu angle lakini alikuwa apatikani kwenye simu mara ya mwisho nilivyompigia au niende chuoni kwao siwezi kumpata unajua kuna watu wengi pale niliamua kugairisha mpango wangu na kuendelea kusalia pale nyumbani kwa isaya
Jioni yake isaya aliweza kurudi lakini hakuwa na habari na mimi kabisa aliwasha television na kuanza kuangalia tarifa ya habari nilijiongeza kama mke nikachuchukua chakula nilichopika mchana na kumpelekea nilimuwekea mezani na kukaa pembeni
" ivi wewe mwanamke aliyekwambia mimi nina njaa ni nani au umeniwekea sumu ili nife"aliongea kwa ukari kidogo
"Hamna mume wangu hata ukitaka nile mimi nianze niko tayari"
"Pumbavu mumeo ni nani tena ukome kama ulivyokoma katika ziwa la mama ako nyambafu wewe" alipomalomiza kuongea alizima television aliwasha gari na kuelekea nje
Nilifikiria sana haya maisha sikuwa na wakumuomba ata ushauri nilibaki tu nikiumiza kichwa maisha yangu yatakuaje wazazi wangu wamenitoa kama kitega uchumi kwao nilibaki tu nikimlilia Mungu na kwa miaka hii 19 kichwani nilishindwa niamue nini mwishoe Usingizi ulinipitia palepale.
Nilikuja kushituka! mlango ukigongwa kwa nguvu uku isaya akiiniita niliamka kitandani na kwenda kumfungulia mlango
Alikuja na mwanamke mmoja ivi ambae kwa muonekano alikuwa wale wa dada wa bar sababu alikuwa amevaa na sare za waudumu wa baa ,nilibaki tu nimemkodolea macho
Unashangaa nini ,ebu pisha bwana aliongea uku akinipiga kipushi aliingia na yule mwanamke mpaka chumbani wakapanda kitandani
"Lakini mume wangu kwanini huyo mgeni asilale katika chumba cha wageni mpaka umlete umu " nilijaribu kumshauri
"Ebu wewe funga bakuli lako we ni malaya kama huyu tu hamna tofauti yoyote na huyu au kama vipi wewe kalale chumba cha wageni aliambia uku wakijifunika shuka taratibu niliendelea kusimama kwa muda gafra niliona wakianza kushikana shika taratibu nikifungua mlango na kutoka nje na kuelekea chumba cha wageni lakini sikwenda uko moja kwa moja nilielekea kabatini na kuchukua kisu cha kukatia nyama na kuelekea nacho chumbani kule nilipomuacha isaya na yule mfanyakazi wa bar mikono ilizidi kunitetemeka kwa hasira nilijisikia kufanya mauaji tu
Lakini nilijikuta nikikiangusha sakafuni wenye makosa ni wazazi wangu hitimisho nikuondoka hapa ata kwakutumia nguvu inabidi niondoke siwezi kukaa hapa na hali hii niliingia chumba cha wageni na kuamua kulala uko.
Ilipita mwezi mmoja isaya alianza kuumwa alikonda sana kiasi ambacho ata nguo zilianza kumpwelepweta sikujua shida nini alikuwa mpole gafra! muda mwingi aliutumia kuniomba msamaha aliniambia tu anajuta anaomba nimsamehe sana kwa mambo niliyomfanyia ili akapumzike kwa amani ila sikuweza kumuacha niliendelea kumpa huduma zote muhimu ila sikuweza kujua sababu inayofanya aniambie kauli kama hiyo ya kutaka akapumzike kwa amani
Kwa kweli kwa hali yake sikuweza kujua anaumwa nini na kazini alishaomba likizo ya mwezi mmoja baada ya kuzidiwa sana lakini kwa kipindi chote icho hakuna mgeni yoyote aliyekuja kumtembelea hata mama ake hakufika aliniambia mama ake kwa sasa hayuko nchini hivyo nisijali atanielekeza kwa ndugu zake wengine lakini hatimaye mwezi wa pili mwishoni aliweza kuwa sawa kiafya na kuendelea na tabia yake mbaya ya kunibadilishia wanawake kila kukicha
Nakumbuka siku moja niliamka asubuhi nilianza kutapika ile mbaya ni dalili nimebeba mimba nyengine ya huyu mwanaume bahati mbaya isaya aliweza kuniona na kusema machache "kama ilivyoutaratibu umu ndani mimba haitajiki tutaendelea kutoa au tufunge kizazi" alisema isaya
"Wewe mwanaume saivi siwezi kutoa mimba yoyote wala usinichange utaki naomba niondoke kistarabu nitakuja kufanya mauaji hapa ubaki unashangaa siwezi vumilia tena hii ndoa" niliongea kwa hasira mpaka nilijishangaa
"Unaweza ukaenda ila kwa huo ugonjwa uliokuawa nao hautochukua muda utafariki kwa kukosa huduma"
"Ugonjwa? ugonjwa gani niliokuwa nao" nilimuuliza
"Alicheka sana mwishoe alinitolea cheti na kukirusha ardhini niliinama na kukiokota nilibaki nimetoa macho hiv postive kumbe mume wangu alikuwa mgonjwa kipindi kile alivyokuwa anaumwa kumbe ndo ugonjwa huu na hakuniambia mpaka amenipa mimba nilibaki nimeshikwa na butwaa nilitamani kucheka na kulia apo apo
" hahahahahaha na iyo mimba unataka kwenda nayo wapi we kaa tu hapa nyumbani kwa muda huu ushachelewa kufanya maamuizi"
Nilimuangalia kwa hasira sikujua nimfanye nini isaya taratibu nilitaka nifanye mauji nilitoka taratibu na kwenda kabatini kuchukua kisu nilirudi kimya kimya hakuweza kuniona sababu alinipa mgongo............ ...🤔🤔 Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.😂 Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.
Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MKASA WA MAISHA YA MWANAMKE MAGRET J MASAMA MWENYEJI WA MBEYA Sehemu ya Nane ( 8 )  >>> https://gonga94.com/semajambo/mkasa-wa-maisha-ya-mwanamke-magret-j-masama-mwenyeji-wa-mbeya-sehemu-ya-nane-8
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 03

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 02

mjukuu rewards 100 Comments 0
 

CHANZO NI BOSS 01

majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest