*________________________________*
*SEHEMU YA KWANZA*
Nilikwambia jamani, hukutaka kunisikia, ogopa sana mwanaume aliyeokoka, wana roho ngumu sana,kama kaweza kuachana na dhambi, wewe ni nani asikuache!π€...
Madam Roz alikuwa akiniambia, mwenzenu,nimeachika kwa peter mlokole, kosa tu la kubandika kucha miguuniπ, mlokole wa watu akaona akaaaa hanitaki tena, naumia mwenzenu uyu ndo alikuwa mwanaume pekee aluekubali kuwa na mimi bila kumpa tamu, alikubali kusubili hadi ndoa, leo kaniacha nitapata wapi tenaπ, na haka ka mwili kangu kakitoto kila mwanaume wamaana ananichukulia mtoto, vijana ambao hawajui ata kama watakuja kuoa ndo wananiona mimi saizi yaoπ...
Naitwa madam joyce, ni madam wa shule ya msingi, nina mwaka mmoja sasa toka niajiliwe shule binafsi, kama mwalimu wa darasa la kwanza,shule ilikuwa kubwa sana, mpaka advance pia walikuwa hapa, ilikuwa ni ya kutwa na bweni...
Baada ya kuona, madam Roz, hanipi tumaini lolote wala mbinu, nikaamua kutoka, nikatulize maumivu mahali,nilifika nnje kidogo na shule na kwangu nilipanga jilani kabisa na shule ili kuepuka gharama, kulikuwa kuna msitu lakini sio ile ya kutisha sana, nilijibanza mahali peke yangu, nikaanza kulia na kutafakali...
Nikiwa nalia na kuwaza, ghafra alipita kaka mmoja, mzuli kama jini na nillishtuka nikahisi ni jini, nikasimama nakutaka kukimbia,akanidaka mkono na kuniita madam J, nilikuwa na hofu mno, akasema "samahani madam, unaonekana hauko sawa, nilikuwa pale toka umefika unaweza kusgare na mimi maumivu yako? Kama huwezi pia sio mbaya, lakini siwezi kuluhusu ulie mbele yangu...
Nilimtizama nijagundua kavaa sare ya kushindia ya shuleni kwangu, na ni sare ya wanafunzi wa advance, lakini nikasita nakuhisi sio, kwa sababu huyu alikuwa mkubwa japo sio sana, lakini alionekana kunizidi hata mimi umri, na alikuwa msafi sana, na kavaa kwa heshima mno..
Niliamua kujibu tu, niko sawa nimdudu tu aliniingia machoni, na wewe kwa nini uko nje ya shule, ilihali hamruhusiwi kuwa nje?, unatafuta matatizo ee?
Ajabu hata hakuwa anaogopa akanitizama kavu kavu machoni, ikabidi mimi ndo nishushe macho uku naumia yani mwanafunzi ananionea kisa mimi mdogo mdogoπ...
Nikajikuta machozi yanapita, ajabu yuke kaka akasogea nakunikumbatia huku ananifuta machozi, lakini sauti yake ilikuwa tofauti, sikumfatilia sana nikaamua kujikaza asinichukulie dhaifu, naomba uniachie kuwa na mipaka, aliludi nyuma kisha akatabasamu na kusema " naitwa Jeon William, niko 4m 6 PGM...
"Nakujua kwa sababu wewe ni mtu muhimu sana kwangu, nimekuja huku kwa sababu yako, nilikuona shule asubuhi haukuwa sawa, na najua usipokuwa sawa huwa unakuja huku, ndio maana nikaja, kifupi tu nakupenda madamu, sitaki kuendekea kusubili,muda wangu hapa shuleni sasa ni mdogo, kaa mbali na wanaume wote, kwasababu mmeo nipo hapa, wewe ni wa kwangu liweke hilo akilini....
Kupata full bonyez link hio hapo juu ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu...
Itaendeleaβ¦π₯
*SEHEMU YA PILI*
Nilishangaaa ivi uyu mwanafunzi π, anajisikia anavyoongea jamaniπ€, nilinyanyua mkono nikataka kumuwasha kofi, akalidaka nakutabasamu, "J nakupenda mke wangu mzuri, lakini siwezi kukuacha unipige bila kosa, relax najua saivi hujanielewa ila niamini tu, soon utakuja kunielewa, na kama unatatizo linahitaji msaada usisite kuniambia, na kichwani kwako usinichukulie kama mwanafunzi itakusaidia sana kunielewa...
Aliniachia nakupiga hatua kidogo, akaludi tena na kunipiga busu la kushtukiza, nikiwa kwenye mshtuko akaanza kukausha maji yangu, yani alikuwa na ulimi mtamu nyieπ«£, nilikuwa sipendi hii kitu, nakuona ni kinyaa nilikuwa nakataa sikuwahi kuluhusu mtu aingize ulimi wake kwangu, ila leo nimeshangaa tu kitu, aisee sikutegemea kana hii kitu kumbe ni tamu hivi...
Nilijikuta natoa ushilikiano mkubwa, kijana alijua kunilegeza, mpaka anakuja kuniachia hata nguvu za kusimama mwenyewe tena sina, alioneka hata yeye hali sio shwali, macho yake yalikuwa yamekegea vibaya mno, alinikumbatia kwa muda kisha akaniketisha chini,akaomba aniludishe kwangu, muda huo tayali ilikuwa ni kigiza kama saa mbili kasoro hivi, nikashtuka anipeleke kwanguπ, nikaongea kwa aibu, nitaenda mwenyewe, nilivyojibu ivo ata hakunisikiliza....
Alinibeba kwa nguvu mgongoni, nikaanza kusumbua, akanishusha na kuludia zoezi tena, nilikuwa nashindwa hata kuongea, hakunipa kabisa nafasi, alivyoona niko vibaya sana akaniachia nakunibeba mgongoni...
Nilipata hofu, nikiwa mgongoni, nikamsemesha karibu nasikio, naogopa usinifikishe nyumbani wewe ni mwanafunzi, aliganda kwa muda kisha akaendelea na safari,mpaka kwangu, tumefika, nikatoa fungua bahati nzuli nyumba niliyopanga mwenzangu alikuwa kasafili tuko wawili tu nyumba nzima...
Tuliingia ndani halaka, sikuwa nimepika na nilipanga kulala njaa, kwasababu ya maumivu niliyokuwa nayo hata hamu ya chakula sikuwa nayo, Jeon alitoka bila kuniaga, nilijikaza nikaingia kuoga make hali yangu haikuwa sawa hata kidogo...
Nimemaliza kuoga nikawa naludi kufunga geti ili nilale, nakutana na jeon, alinitizama kama mtu anausongo na msosi wake pendwa, afu uko mbele yake, nilijitizane kitauli kilikuwa kifupi mno, nililudi chumbani mbio kubadilisha,nikatoka nikiwa nimevaa, Jeon alikuja na chips kuku, akaniomba nile ndo aondoke...
Ivi Jean unatambua kama wewe ni mwanafunzi, na unatakiwa kuwa wapi saivi? Hujui kama unatengeneza tatizo kwangu na kwako?..
" Joy huo muda unaoongea ungeutumia kula, ili mmeo niwahi kujisomea, ungekuwa umefanya jambo la maana sana, hapa nilipo umeshanivuluga J, nakupigia mahesabu vibaya mno, kama utaendelea kunifanya niwe hapa zaidi nakuhakikishia nitakukula...
" Unacheki hali yangu ilivyo? Alitoa nyoka wake kunionesha, nyie nilifunika macho halaka nisione, Jeon ujue sio tabia nzuri hio, naomba uludishe basi nitakula sasa hivi, " aya kula niondoke usipokula nitatoa na nitaingiza sehemu husika sasa chagua mwenyewe...
We kusikia hivyi nilikula kama kichaa kafumania chakula jalalani, nilipitiliza hata ulaji wangu wa kawaida muda huo Jeon aliingia jikoni kumbe alienda kupika kaludi na ugari, akala na kuku wake uyo akaniwekea kadi ya benk mezani na no ya sili, na pesa cash laki...
" J mke wangu, hio kadi yako utatumua kwenye mahitaji yako, na hii pesa naomba kesho ukasoke hizo nywele, kasuke nywele nzuri, sio hizo twende kilioni kila siku, kama pesa itapekea chukya kwenye kadi, na sitaki ukatae kama utakataa nitalala hapa, na usiposuka pia, nitakuja hapa kukusuka mwenyewe, na ukinifanya nije ujue kabisa nitakukula...
Alivyomaliza kuongea, ajaondoka sikutaka kuongea kabisa niliogopa na hivi niko peke yangu mmh, yasije kunikuta makubwa...
Itaendelea....π₯
Full 1000
Whatsp 0784468229.