Nilipokuwa nikiendelea kutazama nilimuona alichojuwa anafanya kweli huyu ni mzoefu maana jiwe nililolikataa mimi yeye ndio silaha yake kelele zilikuwa nyingi sana na kadri nilivyokuwa nikitazama lile tukio nilijikuta natetemeka na tayari nilitamani hata mimi kushiriki ule mchezo.nilianza basi kupima kiwango cha maji kilichopo kisimani kwangu.
Miliendelea na nilipoona dafu linataka kupasuka nilienda uwani kupasua dafu nilitumia nguvu nyingi zilinifanya nitetemeke sana.maana sio kwa ule mtanange mechi ilipigwa kikubwa tena mechi dume.sio siri nilimuoopa sana shoga yangu .
Hata sikutaka kumwambia chochote nilirudi nyumbani kikamkuta baba Watoto I mean mume wanu katoka kuoga .kajifunga taulo na kumbuka nilikotoka huko niliyoyaona yakinifanya nitaka kucheza mechi mpya maana kwa uchezaji wa shoga yangu kwenye kikosi chake sina namba kabisa ni mpenzi mtazamaji.
Bas nilimsogelea bamtu na kumtunuku haki yake zilizoanguka ninguo na taulo baba chanja alijilia chakula chake vizuri tu hana shida.nilimpa kila aina ya ufundi niliokuwa naye na mchezo niliutaka mwenyewe lazima nichanamke tukapasua madafu wote na kukaa pale kwenye kilele cha mlima
“asante mke wangu”
“usijali mume wangu mimi ni wako”
“nakupemda sana naomba usiuvunje moyo”
“nakupenda pia mume wangu siwezi kuvunja moyo wako”
Basi baada ya hapo mume wangu alitoka nami nikabaki mwenyewe tu ndani sina tatizo akaunti inasoma na zikitokea deal mi nazifanya jamani kuto.... Raha sana kama hujawahi pelekwa dunia ya raha unakosa vingi ....
Basi nikiwa nimekaa pale mara nilipigiwa simu na boda boda wa caren nilijua labda kuna dili basi nilimsikiliza jamani kwanini asianze kujimaliza kwangu kuwa navopanda pikipiki yake kwa nyuma nakumkumbatia kwenye matuta namchanganya et saa saa sita zangu zinampagawisha ....
Nilijikuta nachanganyikiwa kwa zile sifa za yule boda boda wa caren mmmmmh usiombe jamani kuna wanaume wanajua kusifia kuna wanaume wanajua kukupamba kuna maneno fulani yale ndo yalinichanganya zaidi pale nilipomwambia kuwa mimi ni mke wa mtu
" Najua wewe ni mke wa mtu ila mapenzi hayana kituo maalumu hata unge kuwa mke wa watu bado ningekupenda.Ujawahi ona maua ya jirani yananukia mpaka kwako unanivutia sana Lisa"
Nilkuwa nakenua tu mkaka wa watu anajimaliza kwangu saa ngapi asianze kuongea maneno ya uchokozi et anautaka mchezo na mguu wake wa kuchezea mkubw sana kiasi kwamba unajaa goli langu lote. Huwezi amini ikulu ilitikisika na kufanya maji kidogo kumwagika ....
Nilimwambia aje lakini pikipiki aiweke mbali nimeshindwa kukazaaaa
0699286085
1000.