Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

NILIZANI MWIZI KUMBE MMMH SEHEMU YA 47__48πŸ’˜πŸ’˜

31st Jul, 2025 Views 211


Zakia alikuwa mbele yangu anaomba et msamaha , khaa sasa Samahani mie itanisaidia niniii??

Ni kama alikuwa amekuja kunisanifu tu alikuwa amekuja kunidhahakiii
Namuuliza we bint umetumwa tenaaaa?? Sauti yangu haitoki naskia hasira zilizo na huzuni
Alex alinibembeleza mnooo yaan alinambia salma utapata presha mke wangu tulia

Inno akamwambia Zakia hakuna maana ya Samahani yako mana hata kuongea Salma hawezi kwahiyo sioni sababu ya wewe kuendelea kuwa hapa

Zakia akasema siwezi kuishi kwa amani kama salma atakuwa hivyo na mimi.ndio sababu naombeni mnipe nafasi nijaribu kumsaidia
Mama alishtuka akamfata akamshika mabega akawa anamwambia unaweza kumsaidia kweli bint yangu zakia akasema nataka kujaribu mama
Alex akamuuliza kivipii??

Zakia alichukua simu akasema kupitia Juddy yeye ndie alinifanya nikafanya huu ujinga na sikuwa na akili vizuri kipindi kile naomba nimtumie yeye

Alibonyeza bonyeza siku kama dakika mbili hivi akaweza Record yalikuwa mazungumzo ya yeye na juddy

"Juddy hivi yule.salma bado yupo"

"Yule maraya yupo bado anaroho ngumuu hata kufa hafi jamani daah"

"Kwahiyo wewe unatamani afee eeeh"

"Liende huko , bila yeye mie leo ningekuwa na alex wangu na maisha yetu"

"Uliniongopea lakini juddy ukanambia ile dawa atamchukia tu alex wala haimdhuru"

"Aaah bwana we nae yalishaga isha yaleee , si nilikulipa lakini"

"Afu hata hivyo mtoto sio wa alex kwanini tu Usiache mambo yapite Juddy , mana salma hukupokonya mwanaume ni we...."

"Eeeeeh we nae embu niache mi nishadata ,yaan bora huyo alex angetafuta mwanamke wa mbaliii, kwanini yeye achukue mwanamke wa hapa alitaka kunidhalilisha tu "

"Sa si ungemroga yeyee??"

"Watajua wenyewe bwana "

"Hayaa Tuachane na hayooo, embu kwanza hivii anaweza kupona kweli , mana mi kuna mdada amenichukulia mwanaume wangu nataka nimpige hili pigo ndio sababu nimekutafuta shoga angu"

"Huyo mbabu yupo ,kupona hawezi hata aende kwa mganga ganiiii, isipo kuwa mi niamue apone ndo atapona'

"Ki vipiii??"

"Kuna kitu anafungia ndani ya chupa kama ki mdoli hivi sasa huo ndio mwili halisi wa huyo mtu anafungia kwenye chupa kwahiyo yeye atakuwa anatikisika akiwa ndani ya chupa tu hawezi kufanya kitu chochote kile ila huku ndo hawamuoni wanaona kivuli tu , kwahiyo kama chupa ikifunguliwa ndio anapona , mi Babu alinambia niwe makini sana isije funguliwa hata kwa bahati mbaya nikaona sina pa kuitunza kwahiyo nikamuachia tu yeye aitunze ..."

"Naomba basi unipeleke kwa huyo mzee basi"

"Weka hela tu shoga angu mbona nakupeleka fasta"

Tulisikiliza yake maongezi kwa umakini sanaaaa kila mtu jasho lilimtoka kila mtu aliishiwa pozi kila mtu machozi yalimtoka eeh mungu hivi kuna watu wanaroho mbaya kiasi hikiii yaan kuna watu mashetani kiasi hikiii jamanii huyu dada juddy alikataa hapa akaapa miungu wote na akasema yeye hajafanya na kwanini afanyee??.

Kumbe alikuwa bado anachuki na mie ,yaan pamoja na yotee kumbe bado ananichukia miee bado anataka nifee anasema kabisa et nina roho ngumu ...

Nilimwambia mungu kumbe una sababu kwanini sikufa tangu mwanzo.hata nilipoomba kufa bado ulikataa kunichukua asante mungu kulikuwa na sababu ya mimi kuwa hai asante mungu

Inno na Alex wakamwambia naomba tuende sasa hivii alipo juddy ,tuondoke sasa hivii
Kila mtu alikuwa ampanick hasira ,mi nilikuwa kimyaaa muda huo hata machozi yalikuwa hayatoki nawaza kwahiyo mwili wangu hivi sasa umefungiwa kwenye Chupa?? Ndio maana siwezi hata kujitikisa nikicheka nacheka moyoni kumbe nachekea ndani ya chupaa heheheh hii dunia aiseee kweli ya kipuuzi saan sana sanaaa

Mama aliwazuia wote kutoka yaan alex na inno aliwaambia siku zote hasira hasara, watulie hapo wajue cha kufanya taratibu wasikurupuke tukapoteza jambo ,

Alex alisema awamu hii salma lazima ainuke afe juddy au nife mimii, salma atapona tuu ...

Zakia akaulizwa unamjua huyo mgangaaa???
Zakia akasema bado hajanipeleka anataka pesa , tena pesa nyingi na mie nimeshindwa kumpaaa, nilitaka kulimaliza hili peke yangu kwa kumfungia yeye ndani ya hiyo chupa

Mama mkwe akasema hapana , usifanye jambo baya , muhimu tumjue huyo mganga wake kwanza afu tujadili tunafanya nini kwani anataka shingap

Zakia akasema anataka laki 5 , ili apate mtaji ndivyo alivyonambia.
Alex alihesabu pale pale pesa akampa zakia, inno akamuuliza we unamuamini huyu nae??
.akasema sina mtu ninaemuamini lakini acha tu nifanye mana moyo wangu unataka nifanye hivyo.

Zakia alisema naomba mniamini na Salma akipona kama kuna sheria ya kuniadhibu basi naomba niadhibiwe walau niwe na amani ..

Basi Alex alimpa pesa ,zakia akaacha namba yake ya siku akasema leo hii hii nitaenda kwake na majibu nitawapa , wakasema poa

Alex alinikumbatia akasema mungu amesikia na anenda kujibu yaan hii njia mke wangu huenda ni mungu ndie ametufungulia unakwenda kupona kabisaa unaenda kufunguliwa mungu amejibu maombi yetu mke wangu..

Nilimshika mkono kumaanisha nakubali hilo na naomba mungu yawe ya kweli aliyosema zakia yotee....

Tulibaki tu kusubiri majibu kutoka kwa zakia , alisema atakapo toka tu hapo ndio ataenda kwa juddy, lakini mpaka tunalala ilikuwa kimya kabisaa...

ITAENDELEA....
KWETU morogoro
Tukutane saa 11: 15 jion.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIZANI MWIZI KUMBE MMMH SEHEMU YA 47__48πŸ’˜πŸ’˜  >>> https://gonga94.com/semajambo/nilizani-mwizi-kumbe-mmmh-sehemu-ya-47__48
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest