Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

NILIZANI MWIZI KUMBE MMMH SEHEMU YA 43__44πŸ’˜πŸ’˜

31st Jul, 2025 Views 380


juddy hakuruhusiwa kwenda popote japo alikana kabisa kuwa yeye hausiki na maradhi yangu.

Baada ya muda kupita majibu yalikuja ni mtoto wa Felix kweli, Felix alimuomba msamaha sana Alex akasema ni kweli ila shetani alipita hakuna haja ya yeye kujitetea zaidi ya kuomba Samahani ,alex akamwambia mimi sijali yale tena ila naomba uongee na mzazi mwezio kuhusu hali ya Salma nina uhakika asilimia miaa Amemuuza yeye kwa tamaa zake binafs ...

Felix alimuomba sana Juddy aseme ukweli, labda kwenye ukweli wake kuna njia inaweza kuonekana jinsi ya mimi kupona lakini bado juddy alikataa kabisa tena alikataa kwa kilio chote na kuapa miungu wake woteee ,
Felix alisema yeye anakaribia kuoa kwahiyo atachukua tu mtoto wake , hilo lilikuwa gumu pia kwa juddy maana aligoma kabisa mtoto mwenyewe ana miezi miwili tu
Felix alilazimisha akasema atampeleka kwa mama yake mana maisha ya juddy hayaeleweki kwasasa , ukimuangalia tu unajua anapitia wakati mgumu sanaa

Kwakua juddy alikataa sana ,kila mtu alivunjika moyo kuhusu afya yangu alex alizidi kuisha maskini akaanza kunywa pombe kila siku analia mbele yangu huku ananiambia Salma Nisamehe sana mke wangu inno alikuwa sawa sikutakiwa kuwa na wewe, hizo kauli zake zilikuwa zinaniumiza sanaaa mana natamani kumwambia asiongee hivyo mi sipendi natamani kumwambia asinywe pombee natamani kumwambia hata anyoe ndefu lakini sijui hata kama alex wangu alikuwa anaoga maskini ....

Zilipita siku , wakasema hakuna haja ya juddy kuwa hapo mana alex alikuwa kila akirudi kalewa anataka kumpiga wakamuacha aende tu ,mama mkwe alimwambia kama kweli unahusika kwa namna yeyote na matatizo ya Salma mungu akufungue moyo wako uje utusaidie siku yeyote na kama hauusiki naomba utusamehe sana kwa kukufanya uteseke kwenye hii nyumba ,juddy hakujibu kitu alikuwa kimyaa tu.
Mama angu alimpa hela mpaka ya nauli kurudi Arusha akamwambia nenda kaishi kwa amani juddy , juddy alikuwa mkavuu kimyaa

Wakamuaga akaondoka hapo mtoto wake alishachukuliwa na Felix muda tu ila aliambiwa akihitaji kumuona aende muda wowote ule ...
Siku moja usiku alex alirudi kama kawaida yake,kwanza hata sijui kama alex anaenda kazini,sijui maskini
.siku hiyo alikuja chumbani amelewa sana na kawaida yake kulala pembeni ya kitanda changu mara zote

Akawa ananimbia Salma natamani nichukue hii adhabu yako badala yangu , kama usipo amka itabidi nije kulala hapa pembeni yako na wewe, moyoni nasema Alex mbona umekata tamaa kiasi hicho mpenzi wangu mbona umekuwa Dhaifuuu

Alex aliongea maneno mengi sana ,nilikuwa natamani kweli kumshika walau kumpa moyo lakini sikuwa naweza hata kujitikisa mwenyewe nilijitahidi kusogeza mkono ili nimshike alex wangu alikuwa ameinamisha kichwa chake pembeni yangu huku ameigeshea kwenye kitanda
Nilijitahidi huku naomba mungu nimshike mpaka naliaaa , huwezi amini sijui ,kuna muda mungu anatenda miujiza siku ambayo wewe wala hukuitarajia ,siku ambayo.wewe huijui kabisaa
Nilishangaa mimi nimemshika Alex mkono yeye mwenyewe alishtuka alipo angalia mkono wangu akaniuliza salmaaa Wee ume...yaan umeni...'"

Yes!!! Nimeweza mpenzi wangu nimewezaaa " niliongea moyoni sauti haikuweza kutoka lakini huwezi amini mimi kwa mara ya kwanza niliweza kutabasam sijui kwanini sijui nasema mpaka leo mie sijui ilikuwaje ile siku, niliweza kusogeza mkono wangu na nikamshika alex , na pia niliweza kutabasam wakati huo moyoni nilikuwa naongea mengii ya furaha na kumtukuza mungu kwa hii siku

Alex alinikumbatia zaidi ya nusu saa alinibusu karibu mwili wote nahisi hata pombe ilimuisha kabisa kichwani , ilikuwa usiku lakini alipiga kelele nyingi nyumba yote iliamka akawaambia salma anaweza kushika Yaan anasogeza mkono mama mkwe akanifata haraka akaniuliza salma ni kwelii?? Nilitabasm huku nasema ndio mama nimeweza hapo naongea moyoni tu lakini uso unaonesha tabasam kwa mara ya kwanzaa

"Mungu wangu salma unaweza hata kutabasam enheee" mama yangu sasa alinifata haamini ile kuona nimetabasam akasema mungu mkubwa mungu mkubwa jamani

Mama mkwe ndio akaanza kukemea huku anasali alisali wakaungana wote jamani wee shetani naona alienda chooni kwanza kupozi huko mana sio kwa maombi yale ,

Zilisaliwa sala zotee, doctor akaitwa usiku huo huo akanipima akasema naona misuli yake inarudiwa na uhai mpeni muda mungu atamponya yaan sikuamini kabisa ,nikabaki tu nasema Asante mungu nikupe nini mie nikupe niniii???

Basi mie sikuwa naweza kushika kitu kwa nguvu au kuhamisha mkono haraka haraka lakini walau niliweza kwa tabu sana kulipapasa tumbo langu, hata mtoto alipo kuwa anacheza niliweza kugusa na kuhisi raha ya mtoto wangu ,nilibaki tu nasema asante mungu asante ...

Nilibaki kufanyiwa maombi mara kwa mara yaan ndo kwanzaaa yalianza upya maomba ya kuvunja na kuteketeza Ushetani , lakini sikuwa natoka tena yaan walikuwa wanakuja pale pale nyumbani mana nilikuwa mwisho kabisa kujifungua

Alex wangu akawa kutwa nzima anashida ndani hata pombe alipunguza kunywa nikawa namshika nywele nazivuta yaana naamisha sizipendi akanambia naenda kunyoa mke wangu naenda nikatabasam kwamba ameelewa nini natama ,
Si nikawa nawaza huyu hata nywele za chini anakumbuka kweli kunyoaa?? Nikawa napeleka mkono kwenye suruali yake huko kwenye zipu alichekaaa akasema umeimiss eeh?? Haha nikacheka huyu mjinga akanambia pona mke wangu yaan 40 tu ukiisha tunatakiwa kuwakaza shingo watoto si unajua , nikasema we mi nataka kujua kama hata unanyoaga muone
Hapo naongea moyoni tu ,nimekazana navuta zipu nguvu mkono ndo hauna sanaa upo lege lege sanaa

Akanambia hayaaa subiri nafungua mie mwenyewe embu subiri basiii nikacheka akafungua zipuu jamani , heee nilimsinaaa japo siumizi akafanya aaoohh, nikasema moyoni ukomee

Ila nikafurahi nikasema huyu hata kuchepuka hachepuki huyu mana sio kwa Nyasi lile khaaa!!! Yaan ni mchafu jamani alex amekuwa mchafuuuu hataa huko akienda kuchepuka anadhalilika kwanza hakuna mwanamke atavumilia kuchanwa chanwa na lile stili waya yake
Limekuwa refu unasuka kabisa butu na linaning'inia , alipo piga kelele nikamvuta tena akanambia salmaaaaa!!! Hata kushika mashine mie sijui bwana najikata tu nikacheka mana alivyoongea kama ananidekea mie kichwa chake huyuu

Lakini nilikuwa na furaha kumuona alex wangu atleast anacheka hizi siku alikuwa analia kila siku kawa kama mlevi yule wa pombe za kienyeji mchafuuu ....

Mpaka ule u handsome wake ukaanza kupotea alivyokuwa mweupe akawa na rangi mbayaaa yaan sijui hata kama alikuwa anaoga kwa wakati huyu mwanaume wangu .....

ITAENDELEA....
Tukutane saa 10 kamili jion
KWETU morogoro.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIZANI MWIZI KUMBE MMMH SEHEMU YA 43__44πŸ’˜πŸ’˜  >>> https://gonga94.com/semajambo/nilizani-mwizi-kumbe-mmmh-sehemu-ya-43__44
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest