Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

DADA KIBOGA NA MJEDA: 08

31st Jul, 2025 Views 73



Ilipoishia

Gafla nikasikia Kiboga!!hamuwa mwengine vali mama mkwe ,nilipoinua uso nikamwona yupo mbele yangu

Abee mama nikaitikia huku macho yangu yakiwa yanaangaza chini kama nimeona hela kwenye sakafu vile ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Kiboga binti yangu??nikaitika tena abee mama angu huku nimeinama chini mie naona aibu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnikizingatia niliyotoka kuropoka acha tu๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Mama mkwe akanisogelew akaninyanyua kidevu changu ,mie nikamuangalia kwa uoga uoga asije kunitemea mate bure mie๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”

Mwanangu mimi na baba ako mkwe tumekukubali jinsi ulivyo
Wewe ni mchangamfu,unaonekanmstaarabu sana na una heshima hivo sisi tumekupokea kwa mikono miwili ,haijalishi umeishia darasa la ngapi tunachoangalia sisi ni uwe mke bora kwa mwanetu na sisi pia hasa ukizingatia jacob ni mwanetu wa pekee

Kuwa huru kabisa mimi nipo pamoja nawe,basi mama mkwe alipomaliza kuongea hayo akanyanyuka akanikumbatia ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐna mimi nikanitia mdhungu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnikamkumbatia kisha akaenda kukaa na mumewe

Nikaona hii ndo chance na mimi nikamfinya jacobo nywiiii nywiiii๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃhadi akashtuka nikafurahi mwenyewe nimelipa kisasi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Basi baada ya hapo tukakaribishwa chakula kitu muhimu ambacho nilikuwa nasubiri kwa hamu uwiiii๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Mezani sasa๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œio mivyakulaa hatareee ama kweli kuna anaekula na kujaza tumbo nikabaki najisemea tu

Karibu kula kiboga mama mkwe akanambia hivoo
Asante mama nakaribia nikajibu bila uoga uwiiii

Basi nikajinyanyua mwenyewe lengo nimsaidie jacob wangu wa mchongo

Gafla akanishika mkono ,nikamkata jicho hiloo๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’huku namtingishia kichwa nikimpa ishara ya kuniacha lakini bado akanishikilia

Baba mkwe na mama mkwe wote wakawa wanatuangalia nini tunafanyaa ila hawakuelewa

Huyu nae vipi mbona ananchomesha mahindi mimi hapa aaah๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’nna njaa hapa ananizingua kuku wasije kuishaa na wamebaki watatu tu๐Ÿ˜”

Usjari mpenzi wangu kiboga my future wife ntakupakulia mimi chakula sipendi mke wangu ateseke kabisaa,captain jacob akazungumza hivo kauli ilowafurahisha sana wazazi wake

Mimi moyoni nkasema loooh huyu kaka mchoyo jamani basi atanipunja hapo hadi nisishibe mfyuuuu๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’

Na mie nkazugaaa oooooh asante my jacob mwaaa๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜nkampa busu la mchongoo mfyuu๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’

Basi jacob akainuka akachukua sahani mbili akaanza kunipakulia chakula ,nyie jamani kaniwekea nyama moja kuku hajaweka na kawali kadogo halafu yeye kajiwekea mikuku minyama hio๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’kama sio uchoyo nini

Halafu linaniangalia kama jehu sijui lipoje roho iloniuma kwelii

Ikabidi nile hivohivo tu ,๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญmi nilitaka nitoe ushamba hivo nna mwaka sijala kuku wala nyama zaidi ya mapupu ya jero halafu ananifanyia hivi kweli
๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญDaaaah sema sawaa tu

Nikawa nasikitika huku nakulaaa

Mpenzi mbona umechukua sahani yangu???mimi hiki sikimalizi tafadhali chukua hiki,๐Ÿ˜ณ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃjacob alivosema hivo sikuwaza marq mbili moja kwa moja nikavuta ile sahani nkampa yanguui

Nilivokuwa nakula buana๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œkama jacob asingenifinyaaa leooo wwlahi ningekula hadi mifupaa maana sio kwa utamu wa kuku walee

Basi tulivomaliza kulaa tukatoka nnje tukaenda kukaa kwenye sehemu kama kwa kupungia upepo hiviii basiii kukawa na viwine wine pale

Kiboga mwanangu unatumia kinywaji gani??mama mkwe aliniulizaa

Anhaaa mke wangu nawe nyie wakike mnajijua hamuwezi vitu vikali mpe savanna huyoo mkwe wangu ajivinjari

Nyieee๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnilivosikia savanna weeeh akili ikarukaaa kwetu zinauzwa afu tano yaani unapata safari mbili na buku ya mafuta inabakiii sijawahi kuzionja tangu nizaliwe๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Saa ngapi zisiletwe palee nilizipiga kama sina akili nzuriii chaajabu hazileweshi bali nilikuwa nazidi kuchangamkaa nakwambiaaa

Jacob nahitaji kwenda toilet naomba unisindikizeee,
Sawa kipenzi basi jacob na mimi tukaongozana hadi chumbani kwake ambapo ndio kuna choo chenyewe maana kwa nyimba yao sikuona choo cha wageni

Mie hata sikujali wala kuogopaaa nikaingia zangu chooni nikaliachia kojo sio la nchi hiiii

Ile natoka chooni saa ngapi nisiteleze๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃsijui ndio pombe sijui mawenge au ushamba wa marumaru nikajistukia chini pwaah

Nini tena kiboga??? Caprain jacob akaulizaa

Sikutaka kuonekana mnyonge nikajitahidi kunyanyuka ila wapiii๐Ÿคฃ๐Ÿคฃmatako yanagoma kama yana gundiii

Caotain jacob alipoona sitoki akajaa akaninyanyua akanipeleka hadi kitandanii

Vipi upo sawa??
haujaumia??

Nimeumia mnooo kwenye paja hata siwezi kutembeq vizuri , ๐Ÿ˜ญnikqmjibu huku navuta vuta mafua kwa kudekaa

Basi captain jacob akatoka nnje sijui akaenda kuwaambia nini wazazi wake gafla nikashangaa wote wanakuja chumbani kwa jacob

Maskini mkwe wangu umeumia??? Poleeee jamani naskia hata kutembea huwezi mama mkwe aliuliza

Ndio mama , asante kwa kujali

Itabidi mlale hapa muondoke kesho asububi baba jacob akaongea hivo kisha akamkonyeza mwanae na kuondoka na mkewe

Chumbani tukabaki mie na jacob , taratibu akafungua kama kichupa sijui kina dawa ama nini hata sielewi

Hakuniomba wala nini nikashangaa tu mtu anafunua gauni, ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณakaanza kuingiza mikono na kunikanda kanda uwiiiii๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Mwenzenu mimi nikawa nasikia rqhaa,๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐukizingatia nina upwiruuu sijafanya tangu mwaka jana๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Ule mkando ukaendelea hadi nikajikuta natoa migunooo anhaaaaaaaaa haaaaaaaaaa hapoooooo hapoooooo jacooob ahaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiimama๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ

Kaka wa watu akaniangalia akanipimaaa weee sijui nini kilitokea ila yaliyojiri yalijiri๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆnadhani mshanielewa mwenzenuuu na upwiru wotee shwaa maana ni kama nilikuwq nafanywa na mchi wa kinu๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Jacob jacob we jacob wewe????!!!!!!



Offer simulizi tatu 2500
๐™๐‘น๐™€๐‘ต๐˜ฟ๐‘ฐ๐™‰๐‘ฎ ๐‘บ๐™๐‘ถ๐™๐‘ฐ๐™€๐‘บ ๐‘ป๐™ƒ๐‘ฐ๐™Ž ๐™’๐‘ฌ๐™€๐‘ฒ
๐Ÿ. ๐„๐’๐Œ๐„
๐Ÿ. ๐€๐Œ๐ˆ๐๐€ ๐Œ๐€๐Œ๐€
๐Ÿ‘. ๐Œ๐‘๐„๐Œ๐๐Ž ๐๐€ ๐†๐Ž๐๐Ž๐‹๐„ ๐‹๐€ ๐”๐‘๐ˆ๐“๐‡๐ˆ
๐Ÿ’. ๐๐ƒ๐ˆ๐™๐ˆ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐‹๐„๐๐ƒ๐€
๐Ÿ“. ๐Œ๐ˆ๐Œ๐ˆ
๐Ÿ”. ๐๐ˆ๐‹๐ˆ๐Ž๐๐„๐€ ๐๐ƒ๐€๐๐ˆ ๐˜๐€ ๐‡๐Ž๐“๐„๐‹
๐Ÿ•. ๐๐ˆ๐Œ๐„๐Œ๐”๐Ž๐๐‰๐„๐’๐‡๐€ ๐€๐’๐€๐‹๐ˆ ๐Œ๐€๐…๐ˆ๐€ ๐๐Ž๐’๐’
๐Ÿ–. ๐Œ๐˜ ๐‹๐”๐๐€
๐Ÿ—. ๐…๐„๐“๐“๐˜
๐Ÿ๐ŸŽ. ๐ƒ๐€๐ƒ๐€ ๐Š๐ˆ๐๐Ž๐†๐€ ๐๐€ ๐Œ๐‰๐„๐ƒ๐€
๐Ÿ๐Ÿ. ๐๐€๐Œ๐“๐” ๐Œ๐‘ ๐’๐€๐๐€๐Œ๐๐€ ๐”๐“๐€๐Œ๐” ๐–๐€๐๐†๐” ๐€๐’๐’๐’๐‡
๐Ÿ๐Ÿ. ๐’๐‡๐„๐Œ๐„๐‰๐ˆ ๐”๐Œ๐„๐ˆ๐๐†๐ˆ๐™๐€ ๐Š๐–๐„๐‹๐ˆ ๐€๐€๐€๐’๐’๐‡
๐Ÿ๐Ÿ‘. ๐‹๐Ž๐•๐„ ๐๐˜ ๐…๐Ž๐‘๐‚๐„
๐Ÿ๐Ÿ’. ๐€ ๐’๐“๐‘๐€๐๐†๐„๐‘ ๐–๐‡๐Ž ๐’๐“๐Ž๐‹๐„ ๐Œ๐˜ ๐‡๐„๐€๐‘๐“
๐Ÿ๐Ÿ“. ๐๐ˆ๐“๐€๐Š๐”๐†๐€๐๐ƒ๐€
๐Ÿ๐Ÿ”. ๐Œ๐ˆ๐Œ๐ˆ
๐Ÿ๐Ÿ•. ๐‘๐„๐๐„๐‚๐‚๐€
๐Ÿ๐Ÿ–. ๐‰๐ˆ๐‘๐€๐๐ˆ
๐Ÿ๐Ÿ—. ๐Š๐ˆ๐…๐Ž ๐Œ๐Š๐Ž๐๐Ž๐๐ˆ (๐“๐€๐๐†๐Ž ๐๐Ž๐‘๐ˆ)
๐Ÿ๐ŸŽ. ๐Œ๐˜ ๐๐Ž๐Ž๐‘ ๐๐ˆ๐‹๐‹๐ˆ๐Ž๐๐€๐ˆ๐‘๐„ ๐‡๐”๐’๐๐€๐๐ƒ
๐Ÿ๐Ÿ. ๐Œ๐‰๐„๐ƒ๐€ ๐“๐€๐‘๐€๐“๐ˆ๐๐” ๐๐€๐’๐ˆ
22. SHEMEJI HAONI KITUMBUA CHA DADA KITANDANI
23. MOYO WA JENERALI JAX
24. SINGLE DADY NA MAMA WA KUKODI
25. NDOA YA MKATABA
.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DADA KIBOGA NA MJEDA: 08  >>> https://gonga94.com/semajambo/dada-kiboga-na-mjeda-08
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest