Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

BILLIONEA NDANI YA HOTELIπŸ’—πŸ’— SEHEMU YA

31st Jul, 2025 Views 55

Masha akainuka kumfatulia Vicky

Vicky hatua ya kwanza aliamua kurudi pale pale Hotel, labda afatilie kwa kina labda anaweza pata hata mawasiliano ya huyo baba mtoto wake

Alienda mpaka kwa Supervises

"Mose aliacha kazi gafla sanaa ,nyumbani kwake labda umuulize lydia mana walikuwa na mahusiano "

"Sawa ahsante "
Vicky akatoka kwenda kumtafuta huyo Lydia ,
Lydia yeye ni mfuaji hapo mara zote yupo hapo
Hakuangaika sana kwa sababu anapajua anapo patikana akamkuta

Akamwelezea kila kitu, lydia alishangaa akamwambia namjua Vizuri sana Moze kweli ni muhuni lakini akubakee We Vicky wewe ulimuonaa??
Vicky akamwambia hapana lakini ni yeye ndie alikuwa humo baada ya Yule aliekodisha chumba kuondoka "

"Moze hawezi kubaka jamani nakataa!!"

ITAENDELEA.....


SEHEM YA 07

MWANDISHI ::HURU MEDIA


"Hapana Vicky hapana,, moze atafanya yote lakini kubakaa aah hapana"

"Sawa nipatie basi namba yake niongee nae mwenyewe "

"Hapatikani "

"Yupo wapi??"

"Kwakwel mie sijui moze alipo aliondoka hakuna aliemuaga hata anapo ishi hakubeba chochote kile chumba aliacha kama kilivyo "

"Ameondoka lini??"

"Wiki tatu zimepita sasa"

"Lydia , halafu unakataa kwamba hakunifanyia ujinga kwanini atoroke kipindi hicho hicho"

Lydia kimyaa , Vicky akamwambia basi sawa ila ukimuona mwambie nina mimba yake wala sihitaji malezi yake lakini nataka mwanangu akizaliwa aite baba hilo kwangu linatosha

"We Vicky wewee una mimba ya moze , hamkubakana nyie mlielewana"

"Utajua wewe iwe tulielewana au alinibaka mwambie nina mimba y..."

Kabla hajafikisha neno lake lydia alimnasa kibao cha uso

"Mpuuzi malaya wewe , kwahiyo umebeba mimba ndio imekuja mbona hukunifata wakati mnaelewana kulala"

Vicky nae mambo yashamvuruga alimuweka kibao na yeye cha uso , lydia akarudisha
Vicky akaona mambo yasiwe mengi alimvamia wakaanza kuzibuana ma ngumii na walikuwa wawili tu

Walipigana , hali ya Vicky ilikuwa bado dhaifu ,lydia akajipatia point zake alimpiga
Bahati mbaya kwa lydia , Bahati nzuri kwa Vicky siku hiyo Rahul alikuwa yupo hapo hotelini kwa mambo yake

Ndie alikuwa mtu wa kwanza kuona huo ugomvi , alikimbia mbio kwenda kuamua

Akamvuta Vicky pembeni , alikuwa ashaumia Usoni na mdomoni damu zinatoka

Lydia akamwambia nitakuumiza wewe mjinga ,chezea hao hao na hilo mimba toa bwana ndo kakukimbia hivyoo!! Mfyuuu"

Rahul akamtoa Vicky bila hata kusema neno akamchukua mpaka ndani ya Gari yake akamuweka akatoka kufata maji akamletea

"Kunywa haya maji kidogo " Rahul akampa Vicky akanywa kwa hasira kweli

"Nilikuona wakati unaingia kuna vitu nilikuwa namalizia malizia mpaka nimemaliza sikukuona kurudi ndio nikaamua kufata ile njia niliyokuona" Rahul akatoa maelezo kwa Vicky bila hata kuulizwa

Vicky akamjibu aah sawa , hakuwa hata na mood ya kuongea , Rahul akamwambia twende hospital sawa
Vicky akasema hapana niache tu niende nyumbani ,

"Hapana nitakuwa sina akili kukuacha uende njia yako wakati upo kwenye hali hii Vicky hapana "
Rahul alilazimisha sana ndio Vicky akakubali kwenda huko hospital

"Shiiit , Vicky unastahili kumbe kufaaaa aah" masha alipiga ngumi ukutani baada ya kuona Tukio zima tangu Rahul anakuja na Vicky , na sasa wanaondoka wotee

" Huu ukaribu hapana hapana lazima niukomeshee na kwanini imekuwaje??"
Alichukua simu yake haraka akarafuta namba ya Vicky akaipiga

Simu ya Vicky iliita akaitazama anapiga masha akataka kupokea lakini Rahul akaichukua ile simu akamwambia

"Sio sasa ,Unatakiwa kupumzika sawa " aliizima ile simu akaiweka pembeni

Masha simu haikupokelewa akapiga tena haipatikani

Hasiraa zilizidi akaanza kufata gari upende ilipo pita ile ya Rahul , hakuiona hata imekatishia wapiii alitembeza gari kwa hasiraaa lakini wapi alipiga na kupiga namba ya Vicky bado haikuwa hewani

Akakumbuka namba ya Rahul hakupatiwa Rahul alimwambia ukiwa na shida na mimii piga simu ya ofisini kwahiyo hakuwahi kumpatia namba yake ya mkononi

"Rahul nakuapiaaa , siku nikiolewa na Mr Alberto walai nakufukuza kazi mimi mwenyewe mfyu" akaitupa simu yake huko kwa hasiraa

Rahul alimpeleka hospital , Vicky alishangaa kuona Rahul analipia kipimo cha Ultrasound akamuuliza kwanini nipige hiyo
Rahul akamwambia wewe ni mjamzito purukushani kama zile ni hatari kwa afya yako na mtotoo"
Vicky alikuwa kama ametoneshwa alianza kuliaa bila hata kujivunga alilia mnoo
Rahul akaingia kibarua kwa kumbembeleza Vicky

"Pata vipimo kwanza utakuwa sawa, Usijali kukataliwa na mwanaume sio mwisho wa safari yako maisha bado yako upande wako na wewe ni mschana mmoja hivi ambaee sijui nikuelezee vipii ,lakini Vicky wewe ni mwanamke ambae natamani Sana mambo yabadilike uwe wewe"

"Ni we mimi kivipi ??"

"Ooh pima kwanza tutaongea"

Alipima vipimo vingi vingi hali yake ilikuwa sawa , rahul akamwambia acha kugombana na mtu yeyote yule mimi nitakuwa na wewe bega kwa bega unanielewa Vicky???
.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BILLIONEA NDANI YA HOTELIπŸ’—πŸ’— SEHEMU YA   >>> https://gonga94.com/semajambo/billionea-ndani-ya-hoteli-sehemu-ya
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest