Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

MKASA WA MAISHA YA MWANAMKE MAGRET J MASAMA MWENYEJI WA MBEYA Sehemu ya Tano ( 5 )

31st Jul, 2025 Views 27


*************
@Kila Mtu
πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’
.............ilipoishia Gafra! Kichefu chefu kilinipata nikajikuta nimetapika pale sebreni "jamani vitu nisivyoviitaji ndivyo navyopata yani kuna wanaume kibao wanatafuta watoto lakini napata mimi nisiyeitaji familia umepata mimba we malaya alienda nyuma ya mlango na kutoa rungu akaniambia"utachagua nikutoe kwa njia ya kusukuma au nikufanyie operation we si kuku unataga unavyojisiki nakumbuka sana maneno hayo kabla sijajifikiria zaidi alinirukia kwa hasira na kunipiga rungu la tumbo nilijikuta napoteza fahamu kwa uchungu ule sikuweza kuvumilia kabisa.
Nilikuja kushituka! nikiwa nimefungwa bandeji kichwani lakini niliamua kutulia kimya kama sijui chochote ili niweze kujua mazungumzo yaliyokuwa yanaendelea kwa muda ule
"Unajua huyu utakuja umuue upate kesi ya mauji isaya"
"Kwanini doctar mie sitaki abebe mimba siitaji kuitwa baba nipo nae tu kwa ajiri ya mama angu ambae anagagania niwe na mwanamke akati mie siitaji swala hilo "
"Hata kama unajua leo ungechelewa kidogo tu kuniita huyu angekufia maana ulimpiga tumboni vibaya"
" Hata kama angekufa hakuna ambae angejua tulimzika Agness umu ndani na hakuna ambae aliwai kujua na leo imebaki historian Unaonaje doctar kama tutamtoa kizazi tu akawa azai kwa muda huu ambao hana fahamu"
"Isaya ilo swala jifikirie sana unajua hiko ni kitu kubwa kuna majuto baadae"
"Kwani jacobo nakulipa bei gani na wewe unakuwa kama ujawai kufanya kazi na Mimi mwajuma yule mwanafunzi wa kidato cha tatu nilikulipa bei gani "
"Hata kama anyway sawa nitakupa muda atapobeba mimba nyengine najua utakuwa ushapata jibu kama akuzalie mtoto au tumtoe kwa leo naona ukajifikirie kidogo"
"Not bad jacobo vipi ataamka saa ngapi huyu mtu maana nataka nitoke nielekee kazini"
"Saa moja baadae ndo atakuwa sawa kwaiyo usijali bwana isaya mbona mambo madogo tumetoa mimba zenye miezi nane ishindikane yenye wiki mbili"
"Hahahaha ndomana nakukubali bwana mdogo ujawai kumuacha mtu salama"
"Sawa basi acha niende tutaendelea kuwasiliana kwa chochote kitakachojiri"
"Ata ivo tuongozane naelekea kazini muda huu nitaporudi jioni najua atakuwa ashaamka"
Walipoondoka niliweza kuinuka japo nilikuwa na maumivu kichwani ila nilijitaidi kujikaza nakukaa kwenye kiti lakini nilijihisi maumivu zaidi tumboni sambamba na damu zilizoganda miguuni nilijikuta natoa chozi baada ya kugundua Mimba ilikuwa imetolewa tena kwa ukatili wa hali ya juu ambao sikuwai kuufikiria hapa duniani.
Gafra! nilipata wazo Nilienda kwenye shangazi kaja langu nakuchukua simu sikujua nimpigie nani ila wazo la kumpigia angel nilikuwa nalo nikatafuta namba zake nakuweza kupiga ila nilijibiwa simu nayopiga haipatikani kwa muda huo sikuwa nachakufanya hata mama angu sikuwa na wazo wa lakumpigia niliamua tu kuirudisha.
Nilikaa pale mpaka usiku lakini hamu ya kula sikuwanayo kabisa muda wote nilijawa na hasira kwa vitendo navyofanyiwa ikiwa wazazi hawanielewi Nani anaweza kunielewa.
Saa tatu usiku nilisikia mlio wa honi nilijikuta tu nazidi kumchukia isaya sikumpenda kabisa yani nikawa natafuta njia ya kujikomboa na jambo hili
Mlango ulifunguliwa aliweza kuingia isaya uku akiwa natabasamu"za hospital inaonekana mtoto hakuwa riziki yetu mke wangu ndo mana mimba imeweza kutoka"sikumjibu nilibaki tu namuangalia "endelea kushangaaa ivo ivo humu ndani ila mimba haitajiki kabisa yani siwezi zaa na Malaya asiye na wazazi "alipomaliza kuongea aliingia ndani na kuniacha pale nimesimama
Baada ya dakika mbili alitoka na kuanza kuniulizwa maswali ambayo sikuwa namajibu nayo"chakula kiko wapi kwanini ujapika kuumwa kidogo tu ata kupika utaki"alinipiga ngumi kwa hasira na kunivuta kitandani kama kawaida yake alinifanyia ule mchezo wake"we siunapata mimba acha nifanye uku upande wa pili ambapo hakuna hasara yoyote na Wala huwezi pata mimba "nakumbuka sana maneno haya lakini sikuwa na chakufanya alipomaliza akaendelea kuongea "mwanamke mchafu wewe yani hata una mvuto "aligeukia pembeni na kulala
Kwa hasira nilizokuwa nazo nilijukuta tu nasimama nakuelekea kwenye kabati la vyombo nilienda nakuchukua kisu tayari kwa kufanya mauaji ya kutisha nilishachoka na hakuna ambae aliweza kunishauri maana wazazi wangu waliendekeza tamaa nyingi
Nilichukua kisu na kuja nachokitandani uku mikono ikiendelea kunitetemeka lakini nilikumbuka jambo iwapo nitaua nitafungwa maana mume wangu isaya nje alikuwa na wafuasi wengi nilifikiria sana lakini kwa nini nisimuue tu nakwenda kukaa jela nipumzike nilifikiria mwishoe nikaamua kurudisha kisu na kulala
Kesho yake mida ya saa sita mchana niliamua kumpigia simu mama angu na kumueleza hali halisi inayoendelea huku nakumbuka aliniambia
"Mwanangu vumilia tu kila ndo nachangamoto zake"
"Lakini mama nimetolewa mimba nafanywa kinyume na maumbile na badilishiwa wanawake au mama ujui kama kuna magonjwa"
"Najua ila Mungu atakulinda usirudi nyumbani sasa ivi utaniabisha kwa wenzangu siunajua ndo kwanza ndoa yako ina miezi mitano
"Mama mbona unakuwa ivo au hukunizaa ulipewa kama zawadi na dactari maana mama mie sikuelewi au uliniokota"
"Unadhubutu vipi kuniambia ivo we kama Nani mtoto nikuzae Mimi na uchungu wako niujue Mimi leo hii ndo unifanyie upumbavu kama huo nishakwambia vumilia huwezi tafuta pa kwenda"
"Lakini mama mbona tunafanyiana ivi huoni uo ni uuwaji mbona mnakuwa kama sio wazazi wangu mie sijategemea kama itakuwa hivi.unajua mama..........gafra nilikatishwa sauti
"Magret unasubutu vipi kulala mika Mimi kama baba ako nakwambia kuwa huwezi kurudi nyumbani usinitie umasikini huwezi iyo ndoa utajua pa kwenda ila uku isije labda kama utakuja na mumeo kutembea alaaaa,mpumbavu wewe alafu mama Jose huyu mtoto wako usiwe unampokelea simu "gafra! simu ilikatwa
Dah wazazi wangu wenyewe wananifanyia hivi kweli au sio wazazi wangu mama aliniokota tu na hakutaka kuniambia swala hili liliniumiza sana kwa wakati ule sikuwa na chakufanya
Nikajaribu kumpigia mama mkwe sikujua niongee nae nini ila tu nilijisikia kumpigia simu iliita kidogo akaipokea
"Mage mwanangu niambie uko salama leo maajabu umenipigia "
"Hamna mama nilikukumbuka tu mama angu "
"Uko salama maana simu nimekupigia na hutaki kunitafuta vipi isaya anasemaje hana usumbufu wowote "
"Hamna mama angu hana shida kabisa mtoto wako"
"Ebu subiri nitakupigia muda sio mrefu Nina wateja hapa"alikata simu
Mama isaya anaonekana ana roho nzuri kuliko hata mwanae ila siwezi kujiaminisha naweza kumwambia kumbe yuko pamoja na mwanae yakawa mambo mengine ila nitamwambiatu.
Ulipita mwezi mmoja lakini siku hii ya leo nilikuwa sipo vizuri nilikuwa natapika na naisi kichefu chefu eeeeh Mungu naomba isiwe mimba nitakufa mie nilikumbuka maneno ya daktari jakobo na mume wangΒΆ
" Hata kama angekufa hakuna ambae angejua tulimzika Agness umu ndani na hakuna ambae aliwai kujua na leo imebaki historian Unaonaje doctar kama tutamtoa kizazi tu akawa azai kwa muda huu ambao hana fahamu"ΒΆnilibaki naogopa nilivyokumbuka maneno ya isaya nikakumbuka na ya jacobo daktari asiye na hata roho ya urumaΒΆSaa moja baadae ndo atakuwa sawa kwaiyo usijali bwana isaya mbona mambo madogo tumetoa mimba zenye miezi nane ishindikane yenye wiki mbili"ΒΆNilijikuta nguvu zikiniisha lakini kuna jambo nililikumbuka mama mkwe aliniambia anaitaji mimba akanipa na vipimo vya kupimia mimba basi ili kujidhihirisha nilienda kwenda shangazi kaja nakutoa kipimo niweka mkojo nikawa nasubiri majibu yalipotoka nilitoa macho kwa uoga na mshangao ...πŸ€”πŸ€” Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.πŸ˜‚ Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯.
Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MKASA WA MAISHA YA MWANAMKE MAGRET J MASAMA MWENYEJI WA MBEYA Sehemu ya Tano ( 5 )  >>> https://gonga94.com/semajambo/mkasa-wa-maisha-ya-mwanamke-magret-j-masama-mwenyeji-wa-mbeya-sehemu-ya-tano-5
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest