Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

NIMEMUONJESHA ASALI MAFIA BOSSπŸ‘„ EP 5.

31st Jul, 2025 Views 69



Alikuwa kama kachanganyikiwa hivi alinisogelea ila kabla hajanifikia, koku akaanza kuita, alitoka nje halaka kama upepo, ndo namimi nikashtuka huyo, hata sikumwambia koku niliigiza niko sawa kabisa,tukaachana kwenda kwenye pilikapilika zetu...

Upande wa darian, moja haikai mbili haikai, alikuwa kachanganyikiwa sio kawaida, "kwa nini huyu binti nashindwa kujizuia juu yake kwanini 😭, sitakiwi kupenda, sitakiwi kuleta ukalibu na wanawake nitakuwa dhaifu, kuanzia leo sitamkalibia, natakiwa kuwa makini sana, alijiwazia na kujiaminisha ataweza kukaa mbali na manka, binti aliefanya ajihisi tofauti kwa mala ya kwanza, na kufanya kitu yake isimame imara kuliko siku zote toka azaliwe...

Aliamua kuludiaha akili yake kwa kufanya kazi ngumu, aliingia kiwandani, na kuanza kupiga kazi ngumu, hakuna aliehisi utofauti kwa sababu sio mala yake ya kwanza kufanya hivyo, hakuna anaemuelewa akikasilika anakuwaje na akiwa na furaha anakuwaje, muda wote yuko na sura ya kazi kama mtegua mabim vitani,hata kama kapata taarifa ya furaha, huwezi muona akicheka au kuonesha furaha yake...

Tom alikuja kwa bashasha na kumsalimia, alijibu kawaida kamz hakuna kosa katambua, akaja na maji kumpa anywe, asante tom, niko sawa kuna jambo nalishughulikia, sitokunywa wala kula kwa raha mpaka liishe, nitakuwa nikila mala moja kwa siku, hivyo usihangaike na ida zangu, nikimaliza hili jambo naomba ratiba yangu ya chakula na maji iludi kama kawaida...

Tom; Bro ujue mwili ili ufanye kazi vizuli, unahitaji uwe umeshiba, sizani kama ni wazo zuli, kuandaa project ngumu, ilihali huli...

Dariani; usijal naelewa nini na fanya, hii project inauhusiano na uzito pia wa mwili wangu, kuwa na amani ndugu yangu, alijibu nakuendelea na mazoezi lakini Tom aliendelea kuongea mpaka Darian akatumua uboss kumfukuza kwa ukali tena mbele wa watu wengine, Tom aliondoka huku akilaaani vibaya mno, nakuongeza chuki zaidi,alitoka hapi nakwenda kukutana na genge jingine hatali, hili linajihusisha na madawa ya kulevya, linabifu kubwa na Daria kwa sababu, Daria alikataa kuendelea na biashara haram...

Akajitanua na kutengeneza jina lake kwa ukubwa zaidi, bila kutumia wazoefu wa umafia hivyo, wakaona kama dogo anawazibia ridhiki na kuwadharau, wakaunda kikundi kwa ajili ya kumuangusha chini Darian, kila mbinu wanayotumua inafeli, kila wanachokifanya kibaishia pabaya, miladi yake Darian, inakuwa na inasoko, wao wakijalibu wanaishia kufilisika....

Wakimtumia majambazi , wanaludi watu wao wakiwa walevavu wa viungo, wanaludi hawatamaniki, wamepigika mawengine wanaludisha wakiwa wameongezeka majina, kama ni juma, wanakuwa marehemu juma...

Ikafanya sasa hivi wanamuondolea watu wake wa karibu, lengi ni kutafuta udhaifu wa Darian, lakini pia kuiba formula za kampuni yake, pasipokujua hajawai kumwamini mtu kila kitu huwa anachanganya mwenyewe, kiwanda na wasaidizi wao wanaendelea na kuunfa ila kuna kitu kimoja huficha mti yeyote asitambue siri ya ubunifu wa bidhaa zao...

Walimchukua tom na kumlipa pesa ndefu sana, ili tu wapate siri, lakini hawajapata sasa wanamtumua kuhakikisha anaangamia, zilipita siku tatu, hatujaonana na kaka Darian, nilikuwa natamani hata kumuona tu,kumbe hata yeye huko hajiwezi alikuwa akiniwaza kila muda, akaona ya nini kujitesa...

Acha aje ata kuniona kwa mbali tu,kafika kwangu kimya kimya sikuwa nimeludi ndo nilikuwa njiani natoka kwa koku, nimefika ndani kwangu sina hili wala lile kumbe mtu yuko ndani kwangu, kaingiaje sijui, nafika moja kwa moja chumbani nikaoge kwanza...

Lakini nikasikia harufu ya chakula, ila nikapuuza nimetoka tu ivi kuoga, mwamba uyu hapa, nilipiga kelele, akaniwahi na kiss ya mdomo, nilipoa mpaka ananiachia nikawa najionea tu aibu uku najisemea tu moyoni, uyu ananilainisha akati ata kunitia hajui...

Muda huo kashanivuruga vibaya mno, na kibaya zaidi nilikuwa tayali nina latiba ya kwenda kwa boyfriend wangu, nikazipunguze, japo sikuwa nimefanya maamuzi yakueleweka nilikuwa nasita sita, boy mwenyewe ashanichosha kabisa, kila siku ananipiga matukio, mpaka hata hisia nae tena sina...

Nililudi kwenye ufahamu wangu nijamkalibisha, hakujibu chochote aliniambia tu vyas uje tyle chakula tayali, nilishukuru Mungu leo na mimi nakuta nimepikiwa, nilivaa chap chini nikafunga khanga tu sikuona kama kuna ubaya ukizingatia dume nililonalo wala halifanyi kazi, sikuogopa kabisa hata kibrauz nilichokivaa kilikuwa cha ajabu ajabu tu cha kulalia vichuchu vinajichonga...

Nilifika tukaanza kula kimya kimya simu yangu ikaanza kuita, kucheki mpigati, ni msubili mzigo, nikaipuuza iliita wee na misms kibao, mpaka kaka akachukua simu yangu, nilimtizama kwa mshangao, lakini hakujali, alikagua, akaona sms za ahadi ya mzigo, alinitizama kwa hasila...

Nikaogopa akaipiga pale pale ile namba, akampiga biti, ajae mbali na mke wake, mimi πŸ™„, alivyomaliza nijamwambia kaka, kabla ata sijaendelea ajadakia mimi sio kaka ako, nikashtuka huyu kulikoni, akaanza kunigombeza kibaya zaidi na kofi akanipiga, nikapanic yakichaga yakaamka, aya umekataa wewe sio kaka angu aoa unanifokea kama nanj yangu?

Mimi nimekamilika ninahisia sio mtoto wa kunichunga nakula na shiba, aliuliza tu swali moja " unahisia?
Nikajibu kama ulivyosikia mimi nimekamilika,nilishtukua tu nimebebwa uyo mpaka kitandani...

Itaendelea...πŸ’₯

Full 1000
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NIMEMUONJESHA ASALI MAFIA BOSSπŸ‘„ EP 5.  >>> https://gonga94.com/semajambo/nimemuonjesha-asali-mafia-boss-ep-5
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest