Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

🦁 SIMBA IMESHUSHA CHUMA HIKI – KINAKABA HADI MADENI YA WATU!

27th Jul, 2025 Views 28



Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa kiungo fundi kutoka Senegal Alassane Maodo KantΓ© (24) akitokea klabu ya CA Bizertin ya Tunisia. KantΓ© anasifika kwa uwezo mkubwa wa kukaba, kupora mipira, na kuchezesha timu katikati ya uwanja akiwa kama kiungo mkabaji (defensive midfielder).

Mchezaji huyo aliyewahi pia kupita katika klabu ya Teungueth FC ya kwao Senegal, ni sehemu ya kikosi cha taifa cha Senegal kilichoshiriki COSAFA Cup mwaka 2022. Ni kijana mwenye nguvu, nidhamu na uwezo wa kupiga pasi ndefu na fupi kwa usahihi wa hali ya juu.

KantΓ© anatarajiwa kuongeza nguvu mpya kwenye safu ya kiungo ya Simba kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya kimataifa, hasa CAF Champions League.

---

πŸ“Œ Taarifa fupi kuhusu Alassane KantΓ©:

πŸ—“οΈ Umri: Miaka 24

πŸ‡ΈπŸ‡³ Utaifa: Senegal

πŸ“ Klabu ya mwisho: CA Bizertin (Tunisia)

⚽ Nafasi: Kiungo mkabaji (CDM)

πŸ”₯ Sifa kuu: Anakaba hadi kivuli chako, anakata mipira kama kisu cha mgahawa!

BONGE LA USAJILI βœ…

@mickyjnrofficial.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🦁 SIMBA IMESHUSHA CHUMA HIKI – KINAKABA HADI MADENI YA WATU!  >>> https://gonga94.com/semajambo/simba-imeshusha-chuma-hiki-kinakaba-hadi-madeni-ya-watu
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Pyar Ho Jane Dushman
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

majario rewards 100 Comments 0
 

A.J.A.D SE03 EP02

majario rewards 100 Comments 0
 

Simulizi: MAPEPE **

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest