π² (Based on True Story β usisahau kufollow STORY ZA Zamrata )
Mchumia juani baada ya kuuzamisha ulimi kwenye sanduku la raha kelele ndo kitu kilichofuata. Nilikuwa nafeel naelea hewani uzuri wa ugonjwa ukutani na daktari mzuri ni lazima upone ndo alivyomchumia juani kwangu japo kuna mnyampara ila mchumia juani ananijulia sio siri huyu kaka jambazi . Wakina Denis acha waendelee kumtafuta mi niendelee kula raha za dunia ...
Baadaye akaitoa ile pipi kijiti nankunipa niliilamba ile pipi aisee ilikuwa tamu yaaani nimewahi kulamba au kula pipi kijiti ila ya mchumia juani sijuwi ni ya wapi mpaka nikawa nawaza waliokuwa wamewahi kula pipi hiyo . Watakuwa wanaimisi sana maana unaweza akata kuangusha ulimi kwa kuitamani pipi hiyo...
Baada ya maandalizi mazito ya tukio kubwa la kihistoria . Zoezi la kuanza kunifikisha kilimanjaro lilianza na mimi nikiwa abilia huku mchumia juani yeye ni dereva hii safari haina konda wala nani ni mimi na yeye tu . Safari yetu ilianza kwa dereva wangu mpendwa mchumia juani kuliendesha gari taratibu lakini raha niliyoipa kwa ule mwendo mmmmmh siwezi sema ....
Baada ya dakika kazaa sifa zilianza kwenye kiti nilikaa kifo cha mende hapi ndo nilijua kwanini kuku hakojoi? Nilikimbizwa kwenye gar .
" Jamani mchumia juani punguza spidi"
" Lakini alichosikia yeye ni ongeza spidi "
" Aaaaaaaaaaaaaah aaaaaaas jamani mchumia juani"
" Bora ukae kimya gari liko full tank nitapunguza spidi nikitaka..."
" Alizidi kuongeza dozi mpaka nikaoa wazungu wakitoka kwa kasi kutoka kwenye mlango wa rahaaaaaa
Aaaaaaaaah utaniua jamani nisamehe , si uendeshe taratibu tafadhari.."
" We mdada" aliita
" Eeeeeh nambie" niliitika
" Unajua inaweza leo ikawa mwisho wa mimi kuendesha hili gari"
" Kwanini "
Hakujibu aliendelea kukandamiza huo msumari yaaani sio siri kijasho kinanitoka mtoto wa kike maana sio kwa ile spidi .hapo hapo ikabidi tu nibadilishe mkao maana ule ulinichosha sana ... Chuku...yote ilikuwa ndo mkao mpya ...
Nilijua labda spidi ya gari itapunguzwa lakini wapi nilimwambia aongeze tunakaribia kufika hakusita alifanya kama nilivyotaka aliongeza spidi 150 yaaani hapo safari ya kuwaita wazungu ilizdi kupamba motooooo
Nilipiga kelele lakini haikusaidia ile nafika kilele cha mlima kilimanjaro sauti ya risasi ilisikika pale pale na mchumia juani akaanguka chini ....
Muda huo nipo chini tena bwiiiii huko askari wanakuja na bunduki .....
Niliogopa maana sikujua nitaeleza nini maana tayari wameshafika na mtuhumiwa ndo nilikuwa naye sio kuwa naye tu cha kushangaza ni ambacho nilikuwa nafanya naye ?
ITAENDELEA...
(Powered by Kelvin Mlowe | 0699286085).