Hakim alikuja mbio🤣🤣🤸🏻♀️🤸🏻♀️
"Kulthum naomba tuongee"🥺
"Tuongee nini tena !?"
"Unaelewa nini nahitaji mke wangu,naomba tuelewane.....najua nimekukosea, lakini sisi ni wanandoa😩😩😩bado tuna safari ndefu sana.....tusifikie kudhalilishana huku.....naomba usizifikishe popote pale hizo picha🙏🙏🙏 nitakupatia unachokihitaji"
"Unasema kweli....??"
"Ndio Kulthum,najua una zingine zaidi ya hizo....hivyo nakuomba tuachane na haya plz futa hizo picha"🙏
"Mbona siwezi kufuta hizi picha kiukweli,yaani siwezi huwezi jifanya mwema mbele za watu kumbe imeficha mambo kibao......!!!mume wangu hivi ni wewe ulikuwa unafanya huu ujinga kweli....!?"😩😩😭
"Kulthum nielewe basi mke wangu,nikueleze kipi tena"🥺🥺
"Mimi siwezi kukuelewa bhana tafuta tu lingine la kuniambia kinyume na hapo sipo tayari"😭😭😭🙏
"Nikupe masaa mangapi uwe ushafuta hizo picha???"😡😡😡 Kheee nikashangaa mbona ananikaripia badala ya kunibembeleza tena🥲😭
"Nitafuta nikijisikia"🥲🥲
"Oooh....! vizuri....fanyia chochote utakacho,kama kusambaza, kupost ni wewe tu,halafu utaona kama kuna faida ambayo utaipata"🙏🙏🙏
Akaondoka zake,duh....! mbona hashtuki wala nini.....!!!!🥲 au sababu sio zake ndo maana hajali wala nini....!!!???
Sasa nimtetemeshe na nini huyu mtu jamani,yaani hapa naona kabisa jinsi gani ataniendesha sana,kanikosea lakini haombi msamaha,hajishushi wala kuhofia japo anajua nina ushahidi wa mavitu yake ya ovyo🥺🥺🥺ni mateso😤😤😤au nimtafute Agnes🥱nimtishe yeye jamani....maana namba zao nilichukua yeye pamoja na yule mchepuko mwenzie🤣🤣🤣ngoja nitamtumia mapicha yake usiku asilale kwa amani🥱😂
Buana ilipofika saa tano usiku nikaingia Whatsapp na kumtumia Agnes zile picha zake.....sikuongea nae lolote lile nilituma tu picha shwaaa.....nikazima simu na kulala🤪🤪🤪nikasikia Hakim ananigongea mlango lakini sikufungua hata kidogo🤣🤣🤣 nikajua pengine anataka tuongelee ishu hii hii.....niliupiga zangu usingizi sikutaka wala kufungua, asubuhi niliwahi kuamka mapema sana,nikawasha simu na kutoka nje.....nikakuta Hakim amelala mlangoni kwangu🙄 kimemkuta nini huyu mtu🙄
"Hakim....weee Hakim..baba Hilda mbona kulala hapa jamani?" nilimuamsha🤔
"Kulthum naomba ufute hizo picha kama ni hela au nini utakacho mimi nipo tayari kukupa..!"
"Picha gani? Mimi sina picha ...!"👌
"Kuwa serious mpenzi nakuomba ufute please, yaani naahidi vyovyote utakavyotaka niwe nitakuwa, au nifanye utakavyo nitafanya.....ila please futa hizo picha🙏hata Agnes nitaachana nae...".
"Kumbe bado hujaachana nae?😭🤦🏼♀️ unaendelea kunicheat.....!!''🥺🥺🥺
Nilisikia uchungu sana...... kwahiyo anamthamini sana huyo mchepuko wake😢😢😢na kuniona mimi si lolote na itakuwa usiku Agnes amemlilia ndio maana Hakim akawa amekuja nifuata usiku usiku🙌🙌🙌🙌sasa niwafanyaje hawa watu🥲🥲🥲🤒yaani hapa inaonyesha wazi Agnes anapendwa zaidi yangu🤕😔😏si akfe tu jamani aniachie chibaba wangu🤣🤣🤣nilihisi wivu mpaka mshono unauma😥😢kajitu kenyewe kadogo mimi naanza kuteswa na mapenzi 🤦🏼♀️😂nikifika miaka 30 si nitakuwa nyang'anyang'a🥺🥺🙌na kwanini nililipenda hili likaka😡😡😡yote kayataka baba,kwani nilichunda....!? Kiasi cha kuniozesha kimagendo hivi...!? Si wangeniacha tu nipate mtu nitayempenda mwenyewe toka mwanzoni🤕🤕🤕 ona sasa nimeforce kumpenda na ameanza kuninyanyasa🤦🏼♀️
Nikaamua nimtafute kaka yangu Mustafa na kumwambia yale yanayonisibu yote,nikamuomba anipe ushauri😔 akaniambia nitulie aongee na mume wangu...... nikampatia namba zake aweze kumtafuta.....kwenye simu yangu nako nikaanza kupokea sms za Agnes akisema nifute picha zake atanifikisha kwenye vyombo vya sheria,sikumjibu🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️
Ile siku ikapita,ikafika asubuhi ya siku nyingine......hii siku niliamka na njaa sana,sijui kwanini nikaamua namimi acha tu ninywe chai mapema,muda ambao Hakim pia alikuwa anakunywa.....nikafika mezani nikataka nifungue chupa ya chai ili nimimine..... lakini ikawa ngumu kufungua🤕 yaani Hakim aliikaza sana sijui😏akanitoa mikono yangu na kunifungulia...!
"Nimekutuma...!?"😏 nilimuuliza,halafu nikaifunga nikafungua tena 🤣🤣🤣🙌kwamba sitaki shobo nae🤣😂 sasa Joel akabaki tushangaa😳
"Shem kwani kuna tatizo gani...!? au ni zile habari za juzi!!?"😳😳😳
"Muulize kaka ako ,mi sijui"
"Joel achana na hizi habari tu mdogo wangu,fanya tu uende "Hakim alikatisha mada,sasa nikajiuliza Joel anaenda wapi ila sikutaka wauliza😂😂😂mimi si nimenuna🤣🤣🤣nikajijibu tu pengine anaenda mjini kuna kitu anaenda nunua😁😁😁
"Sawa bro,ila kama kuna tatizo mrekebishe sindio shem....!?"Joel alisema huku ananiangalia mimi
"Ongea huku unamuangalia kaka yako,sio mimi mwenye tatizo ni yeye"👌👌👌
"Kulthum ebu jiheshimu basi mama"🤕🤕🤕
"Mimi tena.....!? sawa tunyweni chai,Joel ni wapi unaenda? maana wewe nawe sio wa kunywa chai sasa hivi.....!?"
"Anaenda kumpokea wifi yako anatokea mkoani anafika na ndege ya asubuhi hii"Hakim akanambia
"Mbona hujaniambia kama tuna mgeni"
"I'm sorry,ni vile tu siko sawa ila hakijaharibika kitu"
''Haya"
"Jamani ngoja mimi niwaache,niwahi" Joel alituaga na kuondoka
Nami nikainuka nikahama kutoka kwenye meza ya chakula na kwenda kukaa kwenye sofa na chai yangu☕Hakim nae alipomaliza kunywa chai akainuka na kuondoka kazini..... nikabaki mwenyewe mimi na mtoto wangu huku nikingoja huyo mgeni ajaye,nikasafisha meza na kupanga vitu vizuri tusionekane wachafu bure😄 baada ya muda Kaka Mustafa akanipigia na kuniambia aliongea na mume wangu na kumwambia kuwa amekiri amekosea na kingine alikuwa anatamani mimi nifute picha za Agnes na maisha mengine yaendelee maana Agnes nae anamtishia kutoa vitu vyake🙆🏻♀️ nikamuuliza ni vitu gani hivyo.....!!!? hapa sindio pakukaza mpaka Hakim aniamkie🤣🤣🤣 kabla kaka hajanijibu Joel akawa ameingia na wageni mdada mkubwa tu na mwanae nahisi nimempita miaka miwili au tunaweza kuwa umri sawa, nikawakaribisha lakini hata hawanichangamkii🙄🙄🙄ndo wifi eeeeeh.....!!!!
ITAENDELEAAA
FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000
NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA.