Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

PENZI LA MUBABA ❣️ 4

31st Jul, 2025 Views 12



Nilimuacha Lewis pale nje nikaingia ndani moja kwa moja nilielekea chumbani kwangu...Nilipofika chumbani kwangu nilikuta msg kutoka kwa dady Henry nilipoifungua alikuwa ananiambia

Lisa samahani natoka kidogo naenda duka la dawa maramoja naenda kuchukuwa dawa

Mfanyakazi wangu nimemkuta anaumwa anahoma kali sana ungekuwa sio mtoto ningekuomba utoke tuende wote

Au unaonaje twende unipe kampani kama haitokuwa shida nyumbani??

Nilipoziona hizo msg nilivurugwa arafu kanikuta nje atahisi nini jamani dah

Nilichukia sana aisee huwezi amini nilibaki nikijilaumutuu

Nikaona nibora nimpigie kwani sijui kanielewaje ila liwalo liwe vyovyote

Nilimpigia sim dady Henry na akapokea

Akaniitikia haloo Lisa

Nilijibu haloo dady Henry

Henry akajibu niambie

Nikabaki nagongesha maneno tuu kisha nikajifanya vipi mgojwa anaendeleaje

Akanijibu anaendelea vizuri nimempa dawa kisha nikamuambia apumzike sasa

Nikajifanya ok vizuri

Dady Henry akaniuliza Lisa yule kijana ni boyπŸ₯Ήfriend wako sio

Nilibaki na kigugumizi nikamjibu hapana kweli tena sio ukweli ni rafiki tuu

Henry akaniambia mbona nimemkuta bado yupo nje tena alikuwa anahasira mno

Nikamjibu hapana sijui yeye nini kimemkuta lakini mimi na yeye hakuna kitu katietu dady Henry

Daddy Henry alijibu lakini nyinyi nivijana bwana alikuwa anaonyesha kunakitu kimetokea

Nilimuambia usijali mimi sijui anakitugani kinaendelea

Nikamuuliza Daddy Henry ehee niambie

Daddy Henry alijibu naona sasa muda umeenda mno tutaongea kesho ili ulale uweze kuwahi kuamka

Nilimjibu kuwa kesho mi weekend hivyo nitapumzika nyumbani vipi wewe unaenda kazini hadi weekend

Daddy Henry alijibu kuwa nitatoka nje ya mji kidogo kikazi ila usijali tutawasiliana tuu rafikiangu

Nilihisi kama kunakitu kimeuchoma moyo wangu kusikia Henry atasafili

Nikamuuliza utakuwa uko kwa siku ngapi

Henry alijibu sio muda sana

Nilimuitikia kwa kunyong'onyea sana kama nimehuzunika sana

Daddy Henry alielewa kwavile nilivyojibu kuwa nimehuzunika akaniuliza vipi mbona kiunyonge hivyo rafiki kunakitu hakipo sawa

Nilijibu hapa usijali niko sawa daddy

Kisha nilimuaga haya pumzika ili kesho uamke mapema uanze safari salama

Daddy Henry alijibu ok sawa na kwako pia

Kisha tulikata sim na kulala nilikuwa nahuzuni mno sijui nesemeje nampenda sana Daddy Henry nampenda hadi nahisi ukichaa

Hata sijui kama analijua hili natamani ajue na kama angejua ningetamani anit*πŸ˜”πŸ˜”ngo..ze basii

Nilijiongelea tuu mwenyewe hadi nilikuja kupitiwa usingizi sikujua kabisaa

Pia nilichelewa kuamka sana siku hiyo nilipokuja kuamka nikakuta msg na kuifungua

Alikuwa Daddy Henry aliniambia nimejaribu kukupigia ila najua utakuwa umechoka sana bado umelala

Haya mimi ndio naondoka pumzika nitakupigia baadae nikisha kuwa nimefika sawa best yangu..

Nilijibu asante nimeiona msg yako rafiki sasa nimeamka

Kisha niliamka na kwenda bafuni kuoga nilipotoka kuoga nikavaa na kwenda sebreni kunywa chai

Nilikuwa mnyonge nyonge tuu muda wote hadi dada akaniuliza Lisa unanini mamy

Nilimjibu dada sinakitu nipo poa mbona

Mama nae akaja na kusema kumbe hata wewe umemuona kipnzi sijui sikuhizi ananini

Hebu niambie Lisa wangu kwani unakitugani kinakusumbua nikusaidie mimi ni mamaako

Nilimjibu hapana niko poa tu mnapenda kukuza mambo tuu nyie yaani hata siwaelewi

Unajua woote wamenitambua haraka kwakuwa wananijua hiyo sio kawaida yangu ya upole mimi nimtu mwenyefujo sana na makelele nyumbani kwetu lait wangejua😌😌

Endelea kufuatilia.......

Full 1000
WhatsApp 0742133100.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MUBABA ❣️ 4  >>> https://gonga94.com/semajambo/penzi-la-mubaba-4
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest