Basi nikamchungulia 😜😜😜😜😜😜😜😜nilivoona kaondoka mie huyo nikaanza kucharaza kwatoo kuelekea kwenye chumba cha gizaa changu miee huku nikinua nna milioni mbili kwa simu halooo🤣🤣🤣🤣boss mimi hunambii kitu mie
Basi njiani nikatoa afu ishirini nikanunua nyama kilo mbiliii na vikolokolooo nyama zenyewe zile ngumuuu zile kama tako la mbuzi mzee zile za kilo afu tano bei ya jionii🤣🤣🤣
Nikqrudi zangu geto kama kawaida yangu majirani zangu ndio udugu wangu sina baya sina kona sina dhambi wala roho ya chuma cha kuning'inizia nyama buchani🤣🤣🤣🤣
Majirani zanguuuuuuuu!!!!!!!!!majiraniiiiiii!!!!!!nawaita mara tatuuuuuuuu ya nne hairudiwi wala haisomwiiii
Twaja dada kibogaaaa weeeeeeeh wakaitikaa hao baada ya muda wakajazana mlangonii ma dadapoa wangu mimi🥰🥰
Sasa sikieni nimekuja na nyama hapa kilo mbili hiii na viungo na ndani nina mchele saa moja kasoro hiii leo wateja hamna wala kula hamjalaa sasa tokeni nnje hapa mie naenda ndani nakuja kuokota kuni
Halooooooo huyo ndo dada kibo ulaya hayupo kote hayupoo yupo hapaaaaaa👌👌👌👌👌
Nikaitikia mtipesaaaa si pengineee🤣🤣🤣
Nikaingia zangu ndani mie nikabadili gauni special hiloooo lile alilonunua mjeda mapenee
Hapo nishapanga kuliuzaa maana kwa mahesabu yangu ya karibu elfu hamsini sikosi mie🤣🤣🤣🤣
Nikavaa zangu kijora changu chekundu si haba nikawa nimemetisha na rangi ya nyama🤣🤣🤣🙌🙌
Basi nikaficha simu yangu chini ya kiroba cha mchele kama kawaida yangu kisha nikatoka nnje na ungo na masufuria maana majirani zangu mie hata vyombo hawana🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Basi nikatoka hadi nnje nikaka na madada poa wangu aka majirani wa dada kibooo tukakoleza moto wa kuni huku story zinaendelea
"Basi dada kibo kesho kuna sherehe si unaikunbuka ileee tulochukua sare majuzi shostiiii saa moja usiku ndo inaanza huko masakii shogaaaa nakutegemea maana kwenye mambo hayo hujambo"halima akasema hayo
We usinambie ???halafu nilishasahau basi kesho mapema saa kumi tukodi tarumbetaaa halooo shughuli nnayo na natamba nayoo👌👌👌👌👌👌👌
Basi kama kawaida ya mie na majirani zangu tukapika tulivomaliza tukajilia zetu ule mtindo wa zunguka tumfunde mwaliii🤣🤣🤣🤣au geuka pembeni ukute mambo tayari 🙌🙌🙌🙌
Baada ya muda tukamaliza zetu tukafanya usafii tukaingia zetu ndani kika mtu na mambo yakeee
Sinaga baya mwenzenu msinione nimefyatuka akili ila uchoyo sina kabisaaa kabisaa nna roho safiii kama almasi🤣🤣
Basi nikaingia zangu kulala mie nilikuwa nimechoka hata kuoga sikuwaza kabisaa
Asubuhi ikafika nikaamshwa na simu inaita io kama kengele ya israel kuashiria kifooo,kuangalia nani??kumbe halimaa khaaa
Ngoja nimfate hukohuko alipo haiwezekani akaja kuniharibia amani mimi ,kashanyanduliwa huko anakuja kunipumzikia mbwa huyu mfyuii😏😏😏
Nikatoka chumbani nakwambia na kanga yangu moja mkuku mkuku hadi mlangoni kwa halimaa
Halimaaaa!!!!!!!!!!we halimaaaaa weweeeee embu toka humo ndanii
Nini tena dada kiboga jamani ??vipi kwema???
We unanipigia pigia sahizi kwemaa??kuniharibia usingizi tu nikapaniki hapo hatariii
We dada kibo nawee saa kumi kasoroo hiii unasema nakuharibia usingizi ???
Unasemaje halima wewe??mmmmh nikaona niangalie saaa ,nikagundua ni kweli saa kumi hioooo😔😔😔😔😔😔nikaunbuka mie ila sikutaka kuonekana mdogoo 🤣🤣nikakinbia huyooo hadi chumbani
Hivi nioge kweli????eti??au basi siogo shughi yenyewe hadi nichezecheze nirudi na mijasho🤣🤣🤣🤣basi nikavaa zangu bila kuoga kijora changu cha kijaniii huyooo nikampitia halima na mama kibongee safari ikaanzaa
Njia nzimaaa, dada kibooooooooo umenogaa hatariiii wapiii hioooo
Naenda kutolewa bikra na mjedaa🤣🤣🤣nawajibu huku nalitingisha zigo langu wanacheka mie naondoka zanguu
Kwa ubahili wetu tukatembea hadi masaki nakwambia kutoka mtipesaa ,tumefukaa kila aina ya mito ilimradi shoti kati🤣🤣🤣kufika huko hoi kama mbwa mzee🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Hata hamu ya kucheza unahisi nilikuwa nayooo🤣🤣🤣🤣aiiiii
Basi mie na mashoga zangu tukakaa kwanza kwenye viti huku tunaangalia angaliaa mandhariii
Mara wakaweka mziki wangu pendwaa
🎶🎶Sina muda huo sinaaaa wa kukaa kibarazani nimsimange mtuuuu,nna hamsini zanguuu,zinanipeleka mbioooo🎶🎶🎶🎶
Mie tena nikaamka nikaaanza kuchezaaa hatariii🤣🤣🤣nnavolikata sasa acha tuu
Nimechezaaa weeeeh ile nataka nikae tu saa ngapi wakaweka singeli🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌wametibua mizimu ya kipare hapo ndo nikawa nalizungushaa hatariiii huku pembeni mashoga zangu nao wakikata vifuui vyao maana matako hawana🤣🤣🤣
Aiseee mie pwaaa pwutaa pwiiiiii kucheza na mimi mizimu ikapanda hadi nkapandisha dela nkabaki na chupiii tu halooo🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Gaflaaaa nikashangaa mziki umezimwaa watu wote wanakimbia nipo peke yangu kati ,dera lipo juuu chupi nnje
Kuangalia nyuma naona gari la kijeshi linaingiaaa nikasema mama🙌🙌🙌🙌nimeishaaaa leoo😭😭😭😭😭
Niite kibogaaaaaaaaaaa👌👌👌👌👌👌
Kumaliza mpaka mwishooo ni sh 1000 tu
Wahi WhatsApp sasa namba 0743433005.