Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

MKASA WA MAISHA YA MWANAMKE MAGRET J MASAMA MWENYEJI WA MBEYA Sehemu ya Sita ( 6 )

31st Jul, 2025 Views 28


*************
@Kila Mtu
πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’
...................Nilijikuta nguvu zikiniisha lakini kuna jambo nililikumbuka mama mkwe aliniambia anaitaji mimba akanipa na vipimo vya kupimia mimba basi ili kujidhihirisha nilienda kwenda shangazi kaja nakutoa kipimo niweka mkojo nikawa nasubiri majibu yalipotoka nilitoa macho kwa uoga na mshangao nilijikuta kweli na mimba sikuogopa mimba niliogopa iwapo mume wangu angejua kama nina mimba ni nini kingetokea
Siku iliisha uku moyoni bado nikiwa na wasiwasi kwanini nimebeba mimba na mume wangu ataamua nini niliwaza lakini nilikosa Majibu kabisa kutokana na swala hili ,
Nakumbuka ilikuwa jumapili moja isaya alikuwa hajaenda kazini tulikuwa tunapata chakula cha mchana uku akiendelea kunisimanga kwa maneno ya hapa na pale lakini gafra! nijihisi kichefu chefu mwishoe nikatapika kabisa nilibaki nikiogopa maana Siri iliweza kugundulika
"Haaaaah mimba waaooh mke wangu"nakumbuka isaya alizungumza ivo baada ya kuhisi Nina mimba nilimuangalia tu kwa uoga
"Usiogope bwana saiv sitokupiga wala kukutoa mimba nataka tu unizalie mtoto wa kike maana leo nimekaa na watumishi kuna kisa kimenigusa nimeona niache kukufanyia ukati wa kijinsi naomba nisamehe sana kwa yote"aliongea maneno mengi tu isaya ya kuniomba msamaha na kunitakiwa mafanikio mema
Sikuwai kumuelewa maneno yake lakini ilipita wiki nzima alikuwa yupo busy na kazi zake Wala hakunisumbua kabisa kuhusu mimba hasa hasa alikuwa ananiletea nilichokuwa nakitaka mambo yalibaadilika kabisa ndani hakuwa isaya yule naye mjua Mimi mpaka nikawa nakosa jibu
Nakumbuka siku moja ulikuwa usiku wa jumanne kuamkia juma tano saa saba kamili usiku nillkurupuka kutoka usingizi sababu nilibanwa na haja ndogo nilishangaa kutomkuta isaya kitandani lakini sikufatilia sana akati naelekea chooni nilimsikia isaya akiongea na simu jikoni
"Hahahahaha dactari bwana nimeamua nimpe furaha japo ata wiki moja"
"Jumamosi hii njoo nitamuwekea dawa kwenye chakula maana sikuizi ananiamini"
"Aaaaah dactari kwani ukimtoa kizazi ndo kwangu utakosa kazi au "
"Kazi zipo nyingi mbona kuna wanafunzi utakuwa unakuja kuwato mimba kuhusu kazi ata usijali we njoo tu tumtoe asizae tena maana kwa kushika mimba kama kachanjiwa"
"Hahahahaha we njoo bwana usijali kuna fungo lako hapa ila tutawasiliana iyo j mosi"alipomaliza alikata simu
Taratibu kwa kiwewe almanusura niteleze lakini nilijizuia nilirudi ndani ili asiweze jua kama nilisikia mazungumzo yake taratibu nikapanda kitandani na kujikausha
Asubuhi yake kama kawaida alielekea kazini ndipo nilipoamua nafasi ya kutoka nikazungumze na Mlinzi pale getini nijue ananishauri vipi
"Mama la mama naona leo umetoka nje "mlinzi wa getini alinichangamkia kama ananijua vile
"Yeah nimeamua nitoke nije kubadilisha mawazo maana unakaa ndani kama utumbo unakosa mawazo mapya kila iitwayo leo
"Hahaha inaonekana mcheshi sana basi tu mumeo anakuzingua eeeeh niambie umefata ushauri upi maana ukija kuna mpya hapa
Basi ikabidi nimwambie jinsi hali ilivyo kwa upande wangu na mambo yote anayofanya mume wangu
"Apo cha kukushauri nachoona ungeelekea nyumbani kwenu Kwanza ukakae na wazazi wako uwaeleze hali halisi ili mjue inakuaje maana leo ni jumatano ukiendelea kushangaa na kufatisha wazazi wako utaalibu mfumo mzima wa maisha yako nenda nyumbani kawaelezee hali halisi ukiona hawakuelewi anza maisha yako sasa ata Mimi nitakusaidia kiasi kadhaa kama utakwama"
Nafikiri ijumaa naweza kuondoka naomba ukaniuzie hii simu yangu uniletee pesa ili nifanye kama nauli sawa ndugu yangu
"Hamna hii simu usiuze mie nitakupa elfu 60 kesho hivyo usijali kuwa na amani kabisa namba yangu hiyo save kabisa nitakupa mbinu ya kuondoka hapa ifikapo kesho hivyo kuwa na amani kabisa "aliniambia mlinzi
Sawa acha niingie ndani basi nikaandae chakula ifikapo kesho nitakuja tujue tunafanyaje
Basi nilirudi ndani nakumbuka isaya hakuacha chochote kwa siku hiyo nikaamua kutulia tu kumsubiria mpaka ataporudi sikujua atarudi saa ngapi
Jioni alirudi kama kawaida yake alikuwa na furaha kuliko kawaida alinibusu ila nijua tu nimnafki nilikuwa nasubiri kesho niweze kuondoka nakumbuka aliniletea chips na kuku kwakuwa nilisikia mipango nilihisi anaitaji kunizoesha ili ijumaa aweze kunifanyia kile kitendo chake lakini nilibaki tu nikitabasamu maana alichokitaka kukifanya nilishakielewa
Basi nilikula chips nilipomaliza tulilala aukunisumbua kwa chochote kila mtu aligeukia upande wake
Nilikuja kushituka! asubuhi mwili wangu ulikuwa unaniuma sana nilipojiangalia miguuni nilikuwa na michirizi ya damu na haikuwa kitandani nilipokuwa jana n nilijikuta sebreni uku mkononi nikiwa nimeshikishwa kikaratasi machozi yalinitoka kuna tukio kama nililihisi ila nilijikaza nikaamua nikisome kile kikaratasi nikabaki nimetoa macho......... ...πŸ€”πŸ€” Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.πŸ˜‚ Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯.
Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MKASA WA MAISHA YA MWANAMKE MAGRET J MASAMA MWENYEJI WA MBEYA Sehemu ya Sita ( 6 )  >>> https://gonga94.com/semajambo/mkasa-wa-maisha-ya-mwanamke-magret-j-masama-mwenyeji-wa-mbeya-sehemu-ya-sita-6
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

MTOTO WA MAMA LISHE

majario rewards 100 Comments 0
 

MY LUNA SEHEMU YA : 06

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest