Alivyotoka tu mimi mbio kufunga funga milango, kesho yake ilikuwa jumamosi, niliamua kufanya fanya usafi nyumbani, nilivyomaliza nikatoka kwenda kuosha nywele ndo nikakumbuka yaliyonitokea jana, ila sasa kimbembe sehemu kubwa nikawa nakumbuka tu mambo ya kijinga...
Nilienda kuosha nywele, lakini sikusuka, nilifunga zangu mchicha, uyo nikaenda kuhemea chakula na mahitaji ya nyumbani kwangu, sikuisahau laki, ila kadi sikubeba kabisa, nilijua tu, huyu mwanafunzi hana pesa, amedunduliza za kuomba omba na kudanganya kwa wazazi ndo kaamua anipe mimi...
Nilienda duka ninalochukulia vitu nakuta nimeshalipiwa tena zaidi ya ninavyochukua, niliuliza nani kanilipia, nijahisi huenda mlokole wangu kaludisha moyo nyuma, lakini hakuwa akinihudumia hii vipi🤔,niliwa nahoji mwenye duka akanionesha oicha ya Jeon, dah nikachoka na hofu juu vipi wakijua ni mwanafunzi, niliomba nikahemee kwanza vitu nitapitia hivyi vingine make vilikuwa vingi mno, mcheke kg 50 ilihali mimi sijawahi kuhemea zaidi ya kg 15...
Sukai mfuko, maharage, ngano, mafuta dumu zima, yani vitu vilikuwa ni vingi, nikaambiwa adi mbebaji ameshalipwa nilichoka,nilienda kuhemea vitu vyangu vidogo dogo, huku nawaza mno, pesa niliyopanga kuchukuliw chakula nikamtumia bibi yangu, alifurahi mno...
Nililudi nikachukua mizigo na uyo dereva alielipwa kunibebea, akanikabizi na jagi la kuchemshia maji na jiko kubwa la oven, linalotumia umeme na gas, nilichoka uyu kijana kachukua pesa ya ada ama🤔...
Tulifika nyumbani nakuta tena kuna watu getini, wako na kitanda kimoja kizuli yani mmmh, na godoro inch 10 ya spring, nao wananipa maelekezo ety, wameagizwa na Jeon, nikaona sasa huu msala Jeon hawezi toa vitu vyote hivi, huenda ni mtego, kuna mtu jatuona jana au mzazi wake, sasa wananitega, nikavikataa na kusema simjui, wakanionesha picha bado nikakataa...
Wakampigia nakunipa simu, kupokea hivi sauti ni yake kabisa,J mke wangu, acha usumbufu wafungulie waingize vitu ndani, jioni nitachomoka nije kukusaidia kufunga kitanda, najua nikija saivi hutokuwa na amani ama nije? Kusikia nije nikajibu halakahalaka hamna, waingize tu na kitanda usijali ninaweza kufunga...
Hakujibu chochote alikata tu simu, muda huo natetemeka vibaya mno, nikawafungulia mlango, waliingiza kila kitu, wale wa kitanda walikuja pia na feni,tv inch 60, bufa kubwa, sikuwa na king'amuzi kiliwekwa,wakiwa wanamalizia malizia, umbea ukawa umeshafika kwa madam rozi, saa 12 jioni huyu hapa, wale wa king'amuzi ndo walikuwa wamemaliza tu kuhakikisha kama king'amuzi wamekufunga sawa, na kifulushi nimelipiwa cha mwaka mzima...
Roz kafika anashangaa ndani kwangu kumebadilika mno, yani kunavutia nilikuwa na tv inch 24, imetolewa sasa nina mtv tena hinsence smart tv, uku bufa linadunda sio pw,kwa mshahara wangu ivi vitu vyote ni uongo labda kama nimekopa lakini ata mkopo mmmh ni pesa ndefu mno kukopeshwa itanighalimu miaka kkuna hadi frij la milion moja na nusu yani gharama za hivi vitu vilivyoingia leo kwa haraka haraka Tu si chini ya ml 6 ...
Roz alianza " shoga ebu nipe chimbo umepata wapi hili danga? Inaonekana mlokole alikuwa anakuzibia ridhiki, siamini wewe huyo🤔, umetoa wapi nisanye basi shogaangu na mie,nilibaki namshangaa tu kwanza mwenzake apo, nipo kwenye mshtuko wa hatali, nawaza uyu mwanafunzi kulikoni, mbona sielewi...
Niliamua kuchekecha halaka huyu mbea asijue kitu, nikamjibu, Rozi sasa hivi hasila zangu nimehamishia kufanya maendeleo, nimekopa, shuleni pesa, nataka pia kufungua biashara, nitakuwa nalejesha kila mwezi kwa kukatwa kwenye mshahara mpaka deni langu litakapo isha,nilijibu lakini ndani naogopa...
Joy ivi huogopi🤔, utaishije yani umeenda kukopa ununye vitu vya gharama ndani, umesahau kama kuna kuka na kuna kodi? Shoga umeyakanyaga, kumbe kweli wewe bado unautoto sana, badala ungefungua hata biashara, 🙌 naomba usije kuomba hifadhi kwangu wala kunikopa, nakupa kabisa angalizo...
Sikujibu chochote, ajabu akaanza nipeko basi mchele shoga angu nikasukumie siku, siunajua tena hizi taree ni ngumu, mshahara tumeshamalizs runasubili hio wiki ijayo nigawie wakusukumia izi siku basi...
Kupata mwendelezo full bonyeza hii link hapa juu ya hadithi, ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu....
Itaendelea....💥
Full 1000
Whatsp 0784468229.