Elian alikuwa wa kwanza kuamka alimuangalia Winnie usoni akatabasamu ,mlango wa chumba Cha Winnie uligongwa Elian alienda kufungua
" Nini shida Mr Charles?" Aliuliza Elian ,Mr Charles alimuangalia Elian akatabasamu
Elian alikuwa amefunga taulo tu na yupo chumbani kwa Winnie
" Aaah Mr Elian nimepata simu kutoka kwa secretary wako anasema unahitajika haraka sana ofisini kuna mambo ya kuyaweka sawa "
." Okay asante kwa kufikisha ujumbe mpigie simu mwambie ndani ya nusu saa nitakuwa huko "
Elian aliingia chumbani kwa Winnie alichukua nguo zake akaenda chumbani kwake alivalia suti yake nzuri ya kijivu na kuondoka
Winnie aliamka kutoka usingizi lakini hakumkuta Elian
." Mmmmh sijui nitamuangaliaje huyu kaka ni wazi ataniona mimi ni mwanamke rahisi sana "
Winnie alianza kujilaumu alichukua simu yake akamtumia Elian message
: kilichotokea kati yetu ni makosa tufanye kama hakuwahi kutokea kitu chochote naamini na wewe pia ungetaka iwe hivyo
Mida ya mchana Elian alirudi na moja kwa moja alienda chumbani kwa Winnie
" Hii message yako Ina maana gani ?"
Elian alimuuliza Winnie kwa hasira
" Elian najua mimi sio aina ya mwanamke unayempenda hii inamaanisha kilichotokea ni bahati mbaya kwako "
" Wewe kama nani unachukua jukumu la kunisemea uamuzi wangu "
" Sasa mimi nimgefanya nini na nilivyoamka tu haukuwepo ni wazi uliniacha ukukambia hukutaka kupata aibu Wala kuchukua jukumu "
" Sio kama unavyofikilia Winnie nakupenda na Nina maanisha ninachokisema "
" Unasemaje au nimesikia vibaya ?"
" Ni kweli miss Pinky ....no I mean Winnie nakupenda sana "aliongea Elian huku ameshika mabega ya Winnie
" Nakupenda pia Elian " Winnie na Elian walikumbatia
Kwanzia siku hiyo Winnie alihamia chumbani kwa Elian walianza kuishi kama wapenzi rasmi
"Kama hutopenda kitu chochote unaweza kuniambia tubadilishe "
" Chumba chako ni kikubwa sana na kila kitu kipo kwenye mpangilio mzuri"
" Vizuri "
Elian na Winnie waliongea wakiwa wamekumbatiana kitandani
" Ninaweza kukuita majina wanayoitana wapenzi ?"
Winnie alimuuliza Elian
" Yeah lolote Lile ulipendalo sweetheart " Elian alimkiss Winnie kwenye paji la USO
" Basi nitakuita bae , honey, hubby "
aliongea Winnie huku ameziba macho yake
" Kwanini unaona aibu " Elian alianza kumchokoza Winnie walijikuta wanaanza kukimbizana kama watoto
Elian alibadilika ndani yaudafupi hakuwa mkali tena kama zamani kwa wafanyakazi wake
Winnie alihakikisha Elian anapatana na baba yake kama zamani
Elian alimnunulia Winnie nguo ,viatu na pochi za gharama hakusahau kumnunulia gari ,Winnie alizidi kupendeza na kuonekana mrembo zaidi kila siku
Mwalimu mmoja wa kiume mgeni alianza kumfuatilia Winnie na kumtaka kimapenzi
" Dominic naelewa hisia zako lakini siwezi kuwa na wewe nina mpenzi na tunapenda sana tena sana "
alisema Winnie
" Isiwe kesi madam Winnie nimekuelewa vizuri sana ingekuwa ajabu kama mwanamke mzuri kama wewe kuwa single mpaka Sasa hivi, kama hutojali tunaweza kwenda nyumbani kwangu"
alisema Dominic
" Nyumbani.kwako kufanya nini tena ?" Aliuliza Winnie
" Sio kwa Nia mbaya madam Winnie tunaenda tu kupika pamoja kama marafiki "
" Okay hakuna shida lakini sitokata sana "
Winnie na Dominic waliongozana mpaka nyumbani kwa Dominic walipika wakala pamoja
mida ya jioni Dominic alimsindikiza Winnie
" Madam Winnie mimi nitaishia hapa ,nipe basi hug la urafiki "
alisema Dominic
Winnie hakuona kama Kuna shida yoyote alimkumbatia Dominic waliagana akarudi nyumbani
"Miss Winnie ulikuwa wapi ? Bosi anakusubiri ofisini kwake anaonekana ana hasira sana "
Alisema mfanyakazi mmoja
" Asante kwa kuniambia nitaenda kuongea nae " Winnie alienda ofisini kwa Elian
" Hi honey "
Winnie alitaka kumkiss Elian shavuni Elain akamzuia
" Ulikuwa wapi unanijia nyumbani saizi ukiwa unanukia perfume ya kiume ?"
Elian aliuliza Kwa kufoka
" Nilisahau kukwambia honey nilikuwa nyumbani kwa rafiki yang..."
Kabla Winnie hajamaliza kuongea alikatishwa na kibao Cha shavu
" Huyu ndo rafiki yako ? Yani unanifanya mimi mjinga na unanilazimisha nikupigie ikiwa Sina tabia hiyo ya kupiga mwanamke "
Elian alimuonyesha Winnie picha akiwa amekumbatiana na Dominic
" Honey huyu ni rafiki yangu nakuapia "
Winnie alijaribu kumuelezea Elian lakini hakumsikiliza alimsukuma nje ya ofisi yake akafunga mlango ilipita week nzima Elian na Winnie wakiwa hawana maelewano
Full 1000
Whatsp 0784468229.