Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  never give up harmonize

𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐀𝐊𝐀 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐒𝐇 🫨😋 😋🔥17

25th Aug, 2025 Views 117

𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊:....:
SONGA NAYO........
niliendesha gari kwa hasira nilikanyaga mafuta skuwa najali mtu anavuka au mbwa yan skujali chcht nilikua napiga kelele kw nguvu kama chizi nilikua nalia kama nimefiwa inshu sio kuachana na cliff inshu nna mimba alafu ya binam wangu na kaniacha ntawaambia Nini wazaz wangu ntamwambia Nini bibi angu mzaa baba shangaz na wote wanaonizunguka aibu gani hii jamn nilikua nawaza njia nzima mpka nafika nyumbn nikashuka ktk gari nikaingia zangu ndan uku nalia mlangoni nikakutana brie akaniambia subili unalia Nini Sasa🙃🙃 nikamjibu hayakuhusu em nipishe Mimi akaniambia sa Kwan kuwa na mpenz lazima jamn kama akutaki achana nae ona umeanza kufubaa kama vile mgonjwa wa ukimw asiyetumia doz jamn nikamwambia ww unachokotafuta utakipata endelea nikawa nataka kupita akawa ananizuia eti nimwambie nalia nn nilinyanyua mkoba nikampigia nao usoni nikamuacha anaugulia nikaingia zangu ndani nikajifungia mlango uko ndo nililia mpk nikalala bila kuoga Wala kula bas asubh ikafika nikaamka nikaoga app nna mawazo balaa nikachkua mkoba wangu nikatoa sim nilikuta mised call nyingi za Agrey lakn cliff hakunitafuta yani ata kunitumia sms alishindwa nikalia uchungu ukalud upya nikaliaaaa 😭😭😭😭 mpk nilivyojiskia kunyamaza nikanyamaza apo nahis njaa atali nikatoka nje nikamkuta Maggie akaniambia dada uko vzr mbona kama auko saw nikamwambia Niko sawa baba na mama wako wap akasema wametoka asubh ila nahs awajaenda mbali Sana nikamuulz na brie akasema yupo ndan ajaenda chuo nikamwambia Maggie nna njaa magie akasema bas usijal tulia nakuletea chakula

Nikamwambia sawa nikaingia zangu ndan kichwa kilikua kinaniuma nikachkua dawa za maumivu nikameza nikachkua simu nikakuta sms ya mimah ananiulizia hari nikawa nachat nae kidg akaja magie na supu ya kuku na viaz lost na juis akaniwekea kitandani nikaonja nikakuta ndimu imezd kama nnavyopenda nikaonja na viaz vina ndim pia nikamtazama Maggie akatabasam akaniambia usjal najua mtu mweny hari kama yako anatakiwa ale Nini nikamuulz hari yangu hari gani akaniambia Annabell mi nimkubwa najua ww ni mjamzito nikamwambia umejuaje akasema niliwai kubeba mimba kabla cjawa mfanyakaz wa ndan ila mwanaume alinitenda vbaya sana akanitelekeza niliilea Kwa shd namshkur mung nlijifungua na mtt angu ana miaka mitatu saiv 🙄🙄🙄 nikashangaa nikamuulz we Maggie mbn umri wako unaonyesha bado mtoto Sana umewezaje kulea na kuzaa peke ako na mtoto wako Yuko wap akanijibu nilipata mimba nikiwa shule mwanaume alivyoskia nna mimba kanikimbia aliogopa kukamatwa bas ilibidi niilee tu japo nyumbn ilikua inshu kubw lkn ckutaka kutoa mimba nikailea nkazaa mtt alivyofk miaka miwl nikamuacha na bibi ake nikaja mjin kutafuta kaz ndo ivi kila nikipata mshahara natuma nyumbn nikamwambia ooooh pole Sana kwnn aujaniambia Sasa akasema aah ckutaka kusema kuwapa usumbuf nikamwambia saw Asante kwa kunijal unanijali kama vle tumezaliwa pamoja nataman ningekua na undugu na Ww ila sio briela anipend ananiona Mimi kama mtu baki anampenda Diana wakat bila Mimi asingemjua Diana

Maggie akaniambia achana nae anakuonea wivu ila nikwambie kitu dada japo unatoka nyumbn asubuh na unalud usiku lkn mama ameanza kukuhisi ww ni mjamzito kwaio naomba uwe makini na ufanye mpngo umlete baba wa uyo mtoto apa ili mfanye taratibu nyingine kuliko uache mimba ikijitokeze itakua shuuri apa nikamwambia saw ntafanya ulivyoniambia akasema aya mi naenda kumalizia kazi ukimaliza kula ntakuja kutoa vyombo nikasema sawa bas akatoka akaenda zake nje nikala nikamaliza nikampigia mimah nikamwambia mimah mama angu ameanza kunihis na uyu dada wa Kaz ameshajua akijua Brie tu nimekwishwa nafanyaje Mimi Minah akaniambia njoo nyumbn badae tuongee tujue tunafanyaj nikamwambia sawa ntakuja bas nikampigia Agrey tukapiga stor akanichangamsha mana nilimwambia naumwa kwaio akawa akanipigia ananichangamsha tunacheka ananitumia pesa za matunda ilimrad tu aonyeshe kunijal bas iyo sku nilishindwa ndan tu nachezea sim jion ikafika nikaoga ili niende nikaonane na mimah nikajiandaa nikaingia zangu katika gari wakat natoka nikakutana na brie ndo anaingia na gari yake sijui alitoka wap bas akashuka akaja kwny gari yang akagonga kioo nikashusha akaanza kucheka nikamuulz we vp unacheka Nini Sasa akaniambia Annabell my sister mjanja mzima umesoma unafanya vtu kijinga jinga Sasa ngoja nimwambie mama Ako tutaona utalingia nn nikamwambia unataka kumwambia Nini usintishe bana we sema unachotaka kusema

nikapandisha vioo nikasepa njian nikawa najiulz anataka kusema nn Uyu fala😏😏
Nikasema atajua mwenyw bana nikaendesh mpk Kwa mimah alikua amepanga magomen alipanga nyumb nzima alikua na bwana ake anamlipia Kodi kwaio hakuwa na maisha mabaya bas nikafika akanikalibish nikakaa akaniletea juis tukawa tunaongea nikamwambia unahs ntafnyj akasema kama baba wa mtt umemkuta ktk situation kama iyo bas apo Cha kufanya ni kudil na maish Yako (nilimuelezea kuhusu cliff kumkuta na mwanamke) nikamulz nidill na maisha yangu kivp akasema mwambie mama ako kuhusu mimba kama atoelewa ukiona inshu imekuaa ngumu toloka home nenda kapande uanz maisha yako mi nna Iman unapesa za kujikim kimaisha lakn usitoe mimba mana mimba ni kubwa iyo utakufa nikamwambia sawa ila naogopa ujue mimba yangu ni ya binam yangu akaniambia kwn ikiwa ya binam ni Nini unaogopa nn Sasa binam si mtu na Wala sio ndugu yako we lea mimba yako bana acha abali za kuwaza ubinam mm mama angu na baba angu ni mabinam na wameonana wakatuzaa sisi kwaio isikupe shida akaniulz binam yako si yule kaka mzungu sio mzungu mbongo sio mbongo😃😃 nikamwambia yes ni yule akaniambia mwenzangu ata ningekua Mimi ningetembea nae sio Kwa vile alivyo ajavua nguo anashawish je akiwa uchi anakuaje 😂😂😂 nikamwambia mimah acha bana akaniambia akyamungu Annabell yule kaka mzur bana unajua akijaga pale wafanyakaz wanamtolea macho kila mtu anamtamani 😂😂😂 nikacheka

Bas tukapiga stor mpka sa 3 nikamwambia mimah mi naondoka bana akasema Sasa dia ukifika utaniambia nikamwambia sawa bas tukaagana nikaondoka zangu nikafika nyumbn Niko nje ya geti simu yangu ikawa inaita alikua ni Maggie nikapokea akaniambia dada usije home Kuna balaa usije nikamuulz balaa gani gafla akakata sim nikawa najiulz sijui niingie sijui nisiingie nkasema ngoja niende ili nijue Kuna nn ila siingiz gar ndni basi nikashuka katk gar nikaingia ndan Ile nafika seblen mama uyu akaniambia enheee aya njoo sogea apa nikamsikia baba anasema asogee wap asije apa ntamuuza😳😳😳 nikawa nashangaa Kuna nn Kwan apo namuona Maggie anawasiwasi ila Brie akawa anacheka anasema mtt wenu mpendwa na wakipekee uyu sindo mnamsifiaga aya shuzi ilo kawaletea mama akaniambia Annabell Nini iki akanionyesha mkono wake ambao alikua ameshika kile kipimo changu Cha mimba😳😳😳😳mungu wangu kakipata wap nimeumbuka Mimi tooooooba🙆🙆🙆 nakufa

Soma mpaka mwishooo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐀𝐊𝐀 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐒𝐇 🫨😋 😋🔥17  >>> https://gonga94.com/semajambo/jamani-kaka-assssh-17

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
never give up harmonize
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
VERY HANDSOME ?Lover boy??
VERY HANDSOME ?Lover boy??

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest