𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊:....:
SONGA NAYO........
mama akanitazama nilijua ananiamishia kesi mim nikawa naogopa akantazama brie afu akamwambia ivi unaniona mm ni mpumbavu kiasi Iko Yan ufanye ww upumbavu afu useme ni ya Anna uyo ana unalala nae chumban kimoja...oooopsii kidogo nilishisha pumz mana nilihis nauliwa mama akaniambia unamuona uyu mtoto alivyo mpumbavu skuiz amekuaje uyu mbna kabidilika Sana yan kitu unafanya ww unamsingizia mwenzio huoni haya librie likawa kimya tu mama akaniambia ana nenda kanipe ule mti kulikuaga na fimbo ya ufagio zile za kufagia ndan Sasa ufagio ukawa umeisha ikabakiile fimbo mama aliifadh store nikaenda kufata Ile fimbo nikampa mama brie akaanza kudundwa 🤣🤣 linakimbia kimbia seblen nzima mama anamfata anampiga mi mbavu Sina nacheka bas kidg akaja baba aliongozana na cliff baba akauliza mama brie shida Nini mda uo brie kaenda kujificha nyuma ya cliff😂😂 mi nacheka Niko hoi mama akamjibu baba akamwambia ntamuua mtoto ako mimi naona ameanza kuota mbawa Sasa baba akauliza amefanyaje Kwan mpk unampiga na ilo fimbo lote huoni utamuumiza nikamsikia mama anasema na avunjike kabisa ntampkl hospital kwa pesa yang uyu mtt amekua mpumbavu anafany upumbavu tukiwa atupo alafu lilivyo halina aya linamsingizia Annabell bas baba akamwambia mama em fany yaishe bas awa watoto wameshakua watu wazma acha bana tabia ya kuwapiga piga Hailey picha nzuri ....mama akamjibu watu wazma ni kwako au kwao lakini sio nyumbn kwangu kama anajiona kakua atoke apa akapange uko afanye upuuz wake kwanza unavyomtetea unajua amefanya nn uyo baba akauliza amefanyaje akamgeukia na briela akamuulz et umefny nn umemfanya nn mama ako briela akabaki kimya tu analia mama akamwambia mjibu baba ako Sasa mpumbavu mmoja ww na ntakuua nakwambia stak ujinga Mimi Yan uo uhun Stak kabisa mama akaingia Zake ndan😂😂😳 libriela nalo kikatoka nyuma ya cliff likakimbilia chumban kwake mi mda uo nalicheka nalizomea baba akasema usimzomee bana muachen bas baba akamgeukia cliff akamwambia anko karibu mi ngoja mikatulize Iko kisiran changu naona kimeshawaka saiz😃😃 alimaanisha mkewake ndo kisiran bas cliff akamwambia aina shida anko mi pia naondoka tutaongea kesho baba akasema sawa akaingia zake ndan Maggie akaingia jikon akaniacha seblen na cliff apo namtazama kiroho kinanidunda nasubir aanze kuniongelesha lakn Wala akuniongelesha akageuka zake akafungua mlango akatoka😳😳😳 ndo nn Sasa mbna kama yupo serious uyu nikasimama nikafungua mlango
Nikamuona kaingia katk gar yake anaondoka nikafunga mlango kinyonge nikaingia chumban kwangu nikasimama katk dressing table nikasema mungu Wang Nini iki jamn mbona kama ameniacha kiukwel ukwel au ananipima anataka kuona kama Niko serious au lah aah naomba iwe ivo asiniache ntachanganyikiwa aisee bas nikasogea kitandani nikaka nasubr cm kutoka Kwa cliff au ata message lakn wapiiii hakunitumia ikaingia tu sms kutoka kwa Agrey ananiulza hii line inapokea pesa nikamjibu yes akasema nakutumia pesa nikamwambia ya nn akasema nakutumia tu ufany ata shopping nikamwambia sawa asante nikaeka sim chini ikaingia imethibitishwa laki 3 nikaitazm tu nikaeka simu uko nawza kwann Sasa cliff anitafut nasio kawaida yake nilikaa kitndn mpk mda wa kula unafika nikaenda kula brie hakuja kula alisusa eti 😃😃 mama akasema muacheni kashiba uyo akuna kwenda kumwita bas tukala nikalud zangu chumban nikatazama simu holaaa akuna sms Wala mised call ya cliff😳😳😳 dah nikajilaza kinyonge yan nikajikuta ni mtu wa mawazo tu nikapitiwa na usingiz baaasi bana siku zikaenda wiki zikakatika bila cliff kunisms nikajua tu apa nishaachwa nimeyataka mwenyw ila uvumilivu ukawa unanishinda nikawa namtext lakn hanijibu na sms zinanyesha delivery 🙄🙄 nikikutana nae nasimama nikijua atasimama pia lakn alikua ananipita tu na ata akija nyumbn akawa ananisalimia tu bas ataongea na wengine mi Wala anisemeshi mpk anaondoka Ile Hali ilikua inaniumiza Sana japo alikua anakuja amara Kwa mala nyumbn nikawa amauona lakn niliumia kwasababu alikua haji Kwa sababau yangu alikua anakuja Kwa mambo yake na anisemeshi chcht Zaid ya salam nilijikuta naanza kummis Sana cliff nikawa mtu wa mawazo miez ikawa inaenda nikaona naanza kukonda brie akawa ananisema et skuiz mnakonda naskia mmeachwa naona kishepu Cha uchokoz shepu nzur yoote imekwsha maskini poleeee kuachwa kunauma 😃😃😃akawa ananicheka mi Wala cmfatilii mama akawa ananiulza Kwan unann skuiz mbn unaisha Kazn autak kwenda unaenda kimagutu unakonda uso wako unapoteza Nuru kama unamimba shida Nini Kwan 🙄😳nikawa namjibu Niko saw tu
nikaanzaga na tabia ya kulala nikienda ofsn muda mwng nalala chakula nikawa napenda kula kitu chenye ndimu lakn sikuwa nasikia kichefu chefu Wala kizungu zungu ila mabadiliko yakawa ni kulala uchovu mala maziwa yangu yakaanza kuuma nikawa najiuliza Nini Sasa iki afu kama vtu vmeanza kucheza na mbona nablid kama kawaida japo blind yangu ilikua ni vitone tone mwala mwez huu naona vitone mwez ujao sioni lakn cjabld Ile blid ya mfulilizo Kwa mda mref miez minne Sasa nilikua ata sifatilii cz najuaga kutokubld ni kawaida na nilikua najua ata uvimbe tumbon huwa unatabia ya kucheza cheza lkn Sasa hii too much mbona na katumbo kameanza kukua mbaya Zaid tangu nmefanyana na cliff Ile siku alonifanya Kwa hasira nyumbn kwake cjafanya Tena mpk Leo mungu wangu nikajua tu apa nishanasa na kama ni mimba ni kubwa hii maana mpk kitu kinacheza sio ndogo bas nilizoeana Sana na yule mimah mdada wa pale Kazn ikabd nimuulz mana yy tayal ameshazaa anajua nikamuulz ivi mtoto anaanza kucheza tumboni akiwa na miez mingap akaniambia minne kuendelea nikasema mmmh najhs nna mimba mana nahs nalala ovyo napenda kula vyakula vya ndim na ata katumbo kangu kanakua afu Kuna vitu naskia kama vinacheza mimah akaniambia mmmh em nionyeshe tumbo lako lifunue nilione mda uo tupo ofsini kwang
Nikafungua brauz akaniambia shusha kidg iyo skin nilione ilo tumbo lilivyo Kwa chini nikashusha akashangaa akasema we ana mimba kubwa hii uoni mstar uo umeanza kutoka 😳😳😳😳 mimba mungu wangu nilimuulz inamana nna mimba akaniambia unamimba huon ata maziwa yako yamekua meusi Sana katika chuchu na yamevimba huon mstar uo chini? unamimba shoga angu na iyo ni kubwa auna ata haja ya kupima iyo ni mimba tu🙄🙄 nilijikuta nakaa chini nilianza kutoka jasho nikamuulz mimah aiwezekan kuitoa mimah akaniambia utoe kwann wakat unamaisha mazur tu em acha izo dhana za kutoa mimba kwanza ni dhambi usiue kiumbe kisicho na atia Annabell ....nikamwambia we mimah mi ntasemaje Sasa nyumban ntaonekana vip unazan mi naweka wap sura yangu akaniulz uweke sura yako wap kivip mbn unamambo ya ajabu ww unaogopa nn umri uo bado unawaogopa wazaz wako kwanza si unae baba wa mtt unachokiogopa ni nn nikamwambia mimah baba wa mtt tumegombana miez minne imepita saiv ata nikimtumia sms anijibu ata tukikutana njian ananipita tu ameniacha ataki chochote kunihusu😭😭😭 nikawa nalia mimah
akaniambia em tuliza iyo presha maj yaneshamwagika ayazoleki Cha kufanya mfate baba wa mtt umwambie ili ajue amekuacha na mimba ukilia utajiumiza bure kipenz changu bas akanibembeleza nikanyamaza nikaona Kaz azifanyiki nikabeba poch yangu nikaondoka nikapitia duka la dawa kwanza nikannua kipimo nikamuomba yule nes anisaidie kupima bas akanipa kikopo nikajisaidia akaja akaeka kipimo dk mbili tu majibu yakaja yani mistali imekolea vibaya mnoooo nes akaniambia hongera mpenz unamimba kubwa Sana nikamwambia Asante akanipa kile kipimo nikakieka ktk mkoba nikatoka nikaingia kwny gar apo ishakua kama sa Moja ivi nikaenda mpk kigambon Kwa cliff nikaacha gar nje nikashuka nikagonga get mlinz akanifungulia nikaingia ndan nikaenda mlangoni nikagonga nikaskia mtu anaulizia nani ila saut ilikua ya mdada afu aliulz Kwa kingeleza Wala ckumjibu akaja kunifungulia alikua mdada wa kizungu sijui ni muafrikast mzuri balaa amevaa kibukta kidogo na flana nikamtazama bila kuongea kitu apo usoni nna michoz nishalia Sana ktk gar kidogo nikamskia cliff anaulz Nan uyo beby mbona apiti Sasa🙄🙄🙄🙄 behy yani ni mwanamke wake kwaio nikaingia cliff akaniona lakn Wala hakuonesha kushtuka akaniambia Annabell karibu uku anatabasam nikamwambia safi Sana hongera mnooo nimekuskia unasema beb ooooh safiiii hongera kumbe ndo mana unanikwepa aujibu sms zangu unaniona kinyaa wakat umeshanihalibu umenialibia maisha alafu kumbe una beby wako poa kila la kheri nikatoka zangu nje uku nakimbia cliff alosimama mda uo akawa anakuja mi nikaingia katk gari nikaiwasha kibatiiiii nikaondoka nikamuacha cliff ananitazama............
Soma mpaka mwishooooo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.
Maoni
Click here to login and comments