Majibu yakatoka kitu imo, nilitoa macho sikuwa nimefkria kabisa, nilipata uoga mpaka kwikwi ikanishika, J aliwahi kunituliza, doctor akampa maelekezo, akanileta chumbani, nakuniomba nipumzike aniandalie chakula...
Sikumjibu bado nilikuwa na hasila nae, ili bidi, aludi kwanza kunituliza ndo akapike, "mke wangu usinikasilikie basi, nilitaka tu kupata utulivu, saivi sitofanta hivyo tena, sitokukela sukari yangu...
Nikainuka nitoke akawahi kunikubatia kwa nyuma, uku ananimbembeleza, Jeon unamakusudi, ivi ulishindwa nini kunijulisha, mpaka ukanitia hofu kwani mimi sijui kama wewe ni mwanafunzi kiasi kwamba nisikuelewe?
We nenda tu kaendelee na utaratibu wako mimi nimeshazoea...
" Nisamee mke wangu, nakuahidi haitojiludia tena, nitakuwa na kushilikisha kila kitu,aliomba msama mpaka akapiga goti, nikawaza, huyu kiumbe wangu, bado mwezi mmoja tu, aingie kwenye mtihani nisije nikamvuluga kafeli...
Nikaamua kumsamee ila sio kweli,nikwa nje tu ila mtihani ukiisha ugomvi utaanza upyaaaa...
Nilimsamee akafurahi mwenyewe, akaniuliza nataka kula nini, nikataka ugari, dagaa wa bilinganya, alinipikia nikula sikubakiza ata punje, nijakomba mpaka sufuria,akaona dah aongeze tu huenda sijashiba, alivyopika nikagoma kukila kibaya...
Alinitizama akaanza tu kucheka, " aya mke wangu unataka nini mama? Nataka ukae hapo utulie usome,alinitizama akakubali, kweli akachukua Pc yake, akaanza kujisomea, mimi nilipitiwa na usingi...
Nakuja kuamka, nakuta mtu yuko bize kusoma kashapika nakufua kanifulia nguo zote chafu, yani sina kazi,niliamka, nikakuta kapika ugali na nyama sikula, nikapika dagaa zangu chukuchuku, nikawa nakula, alinishangaa mimi ndo kwanza nakula kwa furaha kabisa ...
Alinitizama uku ananishangaa, akaniacha nile tu ninachokipenda, nilivyomaliza nikashushia na maji,huyo kuingia kulala, ata sikuandaa chochote kwa ajili ya jazi, nilikuwa na mitihani ya kusahisha kwa ajili ya likizo ya pasaka, lakini sikuwa nimemaliza na kesho ndo ilikuwa mwisho...
J wangu akaamua kunisaidia akasahisha mitihani yote, na kunipangia wa kwanza mpaka wa mwisho, niliamka kumuanda
Nikakuta na mimi kila kitu kiko sawa...
Nilimshukulu maka kumi kumi, tulijiandaa na kwenda kazini mimba ilijua kunisumbua hiu na kipindi hiki niliwa nasoma online shirt coz za usimamizi wa biashara, hivyi mambi yakawa mengi, siku hazigandi, J akafanya mitihani yakw akahitimu, siku ya graduation, mama ake alikuja alikuwa amekwisha ongea nae kuwa wapeleke mahali...
Baada ya graduation mama ake aliomba kwanza Jeon awnde nje akamsaidie changamoto moja huko kampuni yake imeingia kwenye tatizo kisha ndio aludi walete mahali na takatibu zingine ziendele...
Nilikubali sikuwa na hiyana kwa sababu ni jambo la muhinu, kwelu nilimsindikiza J wangu mpka uwanja wa ndege, alinisisitiza kuwa makini na bibi atakuja kuniangalia kashaongea nae, alivyoondoka nikaludi kumuaga mama mkwe ili niludi kazini ..
Aliniluhusu, nikageuza mpaka kwangu, siku ya aliyofika J uturuki, alinitaarifu tukiwa tunawasiliana ghafla akapotea hewani, nikawa kila nikimtafuta simpatati na mimi nikiwa natoka kwenda sokoni nikaibiwa simu na line iliyokuwemo ni line niliyosajiliwa na J...
Ulipita mwezi mzima hatuna mawasiliano na J , mwezi uliofata nikiwa kazini picha zangu na J zikaanza kuzagaa shuleni, kibaya zaidi mtu ambae hata sikumtegemea kufanya hivi ndie aliyefanya, ten bila hofu yeyote...
Kupata mwendelezo wote bonyeza hii link hapa chini au juu ukasome yote hadi mwisho...
Itaendelea ....💥
Full 1000
Whatsp 0784468229.
   
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.