J alinitizama akagundua kabisa namaanisha ninachoongea alinikumbatia kwa furaha mno, J mke wangu nakupenda mno, nisikufiche nilikuwa naumia mno kuona unamlilia jamaa na mimi nipo,nilimtuliza mme wangu kwa busu la mdomoni kwanza atulie aache kuongelea watu wasio na tija kwetu, tunamambi mengi yakujadili...
Tuliongea mengi na mikakati ya maisha, geti liligongwa tena hatukwenda kufungua J alinizuia na alipiga simu kuleta mlinzi,alipatikana wa kampuni, tena usiku huo huo, aliingia kazini..
Tulilala kulikucha, nilimuandaa baby mapema saa 11, ili awahi vipindi, nilihakikisha kanywa kabisa na chai, nilitaja kumwandalia na cha mchana akanizuia na kunielekeza kama nitakuwa na nafasi anamtu wake pale mlinzi ata mkuu wa shule nicheki tu kwenye ulahisi kwangu ...
Niliona sawa bola kwa mlinzi, mkuu tena akhaaa, aliomba cha asubuhi,nikampa kijana saivi nishakuwa mzoefu siiogopi tena, alifurahi mwenyewe, akasepa mchana nilianda nikaita toyo, ikanipeleka na hivi nimenenepa hakuna alienijua, nilimpa mlinzi kumbe tayali alikuwa na maelekezo...
Alinichangamkia adi nikamuachia 20, saivipesa sio tatizo, alifurahi mno mlinzi, wakati natoka J akawa amefika, nikamsalimia tu kwambali ili jioni aludi,lakini mbwa uyu akuludi akajitia bize na masomo, nikawa napeleka tu chakula, yeye simuoni...
Adi muda wa ruhusa yangu kuisha ukafika, nikawa naenda kazini, siku ya kwanza kila mtu alinishanga,ata sikuwaoa muda wakunidadisi nilijitia bize, zilipita wiki tatu toka nianze kwenda kazini, lakini sikuonana kabisa na J, chakula nilikuwa nikipeleka nakuta kachukua...
Siku moja nikiwa natoka kazini, nikakutana na peter na toyo yake,akasimama huku ananishangaa akaniita nikageuka, " panda nikusogeze, asante we nenda, " Joy naomba upande tuongee kuachana sio ugomvi, na kuna vitu nahitaji tuwekane sawa...
Heee wewe peter, naomba uwe mwelewa mimi sina ugomvi na wewe, lakini pia mimi sio mtu wa kupewa lift hasa na mme wa mtu, ata kama tunajuana huwa sipandi na kuhusu maongezi mimi na wewe hatuna cha kuongea, mimi sina tatizo na wewd kuwa na amani...
Bahati nzuli toyo wangu akafika nijapanda, peter alionekana kushanga, na kunitamani juu, nimefika tu ivi nyumbani, nasuka nashangaa kuna gari inafunga break, kwa kasi adi vumbi..
Nikashangaa nakuwahi ndani nisije kutekwa bure,nilivyoingia tu ndani ya geti na geti nalo kikagongwa, akaingia J, nijapumua, ila nikakumbuka wiki 4 sasa hatujaonana nikanuna,alivyofika tu cha kwanza nikuuliza, "uyo boya alikuwa anaongea nini na wewe?
Nikaona kabisa hali sio shwali, bahati nzuli nilirecord make nilivyoitwa tu na yale mazingira...
Nikaon nirecord ili hata mke wake akija kunisingizia, niwe na ushahidi,J alisikiliza akashusha pumzi, nikavuta simu yangu niende zangu chumbani, ajanifata uko uko, " mke wangu usinikasilikie nilikuwa bze kidogo ili nisije kufeli, nikiwa nakuona akili yangu muda wote inawaza wewe tu, nikaona nijae kando kwa muda nijifue...
Sikujibu chochote, nijaendelea na mambo yangu, akatoa chips kuku, kaja nayo, ile kusikia harufu tu nilitapika na nina wiki sasa, nikusikia tu harufu ya chips natapika mno, nilitapika uku namlalamilia kwa nini kayaleta...
Alibaki kushangaa mimi uyu ninavyopenda chips kuku leo๐ค,akahisi tayali kuna jambo, alipeleka chips yake kwa mlinzi, akaludi nikamwambia aoge ananuka chips, hakupisha alioga nanguo alizokuwa amevaa akazifua kabisa...
Alivyomaliza tu, akaniambia "twende hosptal sasa hivi,
Nilimtizama๐, sitaki nilimgomea cha ajabu ata hakunikalipia kama anavyofanyaga siku zingine...
Badala yake akampigia doctor wake, akaja akamuomba anifanyie vipimo, nilipimwa na majibu yakatoka...
Kupata mwendelezo bonyeza hij link hapo juu au hii chini ukasome yote hafi mwisho....
Itaendelea....๐ฅ
Full 1000
Whatsp 0784468229.
   
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.