ENDELEA.........
"Mabinti wa sasa ivi bhana emu shika vitu vyako uondoke!"
"Nilijua lazima unune tu sio kama wewe mda mwingi natumia kuia...msha kuliko kuika...lia!"
"Naona umenichoka Nancy!"
"Wala!, mimi nakwambia ukweli jitahidi isiwe kama pulizio bhana mimi huwa unanikera sema basi tu"
Nancy alichukua vitu na kuondoka na muuza duka alibaki akimtazama jinsi alivyokuwa akiondoka.
Moyoni hata yeye aliwaza kwanini Oscar mpaka anaondoka bako..ra yake ilikuwa wima pasipo kuzima na alihisi Oscar anatumia madawa ndiyo maana, upande wa Oscar baadhi ya watu walikuwa wakimla chabo na ndipo alipogundua na kuamua kuibana vizuri ili wasiendeleee kumla chabo.
Alirudi mpaka kwake na kujipanga kwenda kwenye kijiji alichoambiwa siku inayofata kwa ajili ya kumtafta muuza matatunda.
"Mke wangu!?"
"Abeee mme wangu!"
"Yale masuali mapana bado yapo!?"
"Ndio yapo!"
"Yaandae kesho nitaondoka nayo!"
"Mmmmh unaenda wapi!?"
"Kuna sehemu naenda mara moja!"
"Basi sawa!"
Siku iliyofata Vero alianda na Oscar alivaa buga moja wapo na safari ikaanza ya kuelekea kijijini kumtafta muuza matunda.
Alifika na kutumia zaidi ya siku tatu akimtafta na bahati kwake alimkuta Mama Sam akiuza pombe za kienyeji au gongo tena akiwa kwenye mwonekano wa kizeee.
Moyoni Oscar alisema kazi anayo kutokana na mwonekano wa mwanamama, mbaya zaidi walevi baadhi walimshi...ka maka...lio na wengine qiu..no mara wamkumba...tie yaani ilikuwa ni tabu tupu.
Alikaza roho na kumwita pembeni na Mama Sam alikuwa kaishamsahau kabisa ila baada ya kujitambulisha alimkumbuka vizuri.
"Nilisahau kabisa kama ni wewe, mwezio maisha ya mjini yalinishinda nikaamua kuja kijijini kutafta maisha"
"Pole sana, nimekumbuka ma..mbo yako ndiyo maana nimeamua kukufata mpaka huku!"
"Mmmmh kweli Oscar!?"
"Eeeeh kweli!?"
"Itakuwa unanidanganya yaani wana...wake wote wale wa mjini uwaache alafu uje unitafte mimi huku kijijini inawezekanaje hiyo!?"
"Amini nachokwambia"
Ili kumhakikishia alimsogelea na kushika ta***k lake na kuanza kulipa...psa na mlevi mmoja alisogea walipo huku akilelengeta na alipowafikia alitaka kumpiga kofi Oscar ila alimshitukia na kumkwepa na mlevi alitua mpaka chini kama mzigo.
"Mshezi wewe kijana unamshika ta***k..o mke wetu"
"Oscar achana nao hawa ndivyo walivyo"
"Hata mimi naona, twende tukazaga...muane faster"
"Na wateja je!?"
"Mbona jambo dogo hilo"
Oscar aliingia ndani na kuwanunulia wateja wote waliokuwa mle na baada ya hapo aliondoka naye.
"Twende tu nyumbani kwangu naishi mimi na watoto wangu!"
Oscar aliona sio mbaya hivyo alikubali kuongozana naye mpaka anapoishi.
Walifika na moja kwa moja mwanamama alimpeleka chumbani, aaaaaaaah chumba kizima kilinuka harufu ya gongo tu na Oscar alibaki akitema mate hovyo chumbani.
"Mbona hamna harufu sana na wewe Oscar jamani!"
"Sogea kita..ndan"
Oscar aliona afupishe mambo tu ili afanye kilichomleta na akishamaliza ajiondokee.
Mwanamama alisogea na kupa...nda kitandani na kuvu..a nguo zake zote.
"Yalaaaaaaaaaaaah!"
Oscar aliongea kwa mshangao.
"Unashangaa nini na weww Oscar nj...oo basi!"
"Mmmmmmh!"
Aliguna na kusogea na kilichomfanya ashangae ni weusi uliokuwa umetapakaa kwenye kitu...mbua cha mwanamama, ilionesha dalili ya kupigwa na kuchanganyikiwa ndiyo maana weusi ulikuwa mkubwa kuliko asili ya ngozi yake.
Oscar hakutaka mambo mengi zaidi ya ku...toa na kuzamisha na mwanamama alitoa sau..ti ya juu pasipo kujali kama yupo kwake.
"Aaaaaaa.....shiiii"
Show iliendelea mle mle chum..bani na mda ulivyozidi kwenda harufu ya pombe aliyokuwa akiisikia aliacha kusikia na kuendeleza mizag...amuo.
"Oscar yooooooooh, unajua yoooooooo!, Welooooooo, yalaaaaaaaah"
Maneno ya ajabu na ya kikabila yalimtoka mwanamama na kuzidi kup..andisha midadi ya Oscar.
Huku nje watoto wa mwanamama walisikia sauti ya mama yao ndani na mmoja wao aliwaambia wenzako.
"Mama yupo ndani anafa**nya"
"Nyooo uongo hawa***fany ila wapo wanaongea tu"
"Lione hili wewe mpaka sasa ivi hujajua tu wanavyofanyaga!?"
Wakati wao wanaongea kaka yao mkubwa alifika na baiskeli aliyekuwa akiitwa Sam na kuwakuta wadogo zake wakibishana maneno ya ajabu ajabu.
Naye alipotega sikio alisikia sauti ya mama yake akipele. kewa moto upande wa ndani na Oscar.
"Huyu anataka kuzoea kutuletea walevi wake hapa, subiri leo nimuoneshe sasa"
Sam aliingia kwenye chumba chake na kuchukua panga analotumia kukatia kuni na kuzama kwenye chumba cha mama yake na kumkuta Oscar akiendelea kupiga sho. w.
"Mazoea yanataka kuzidi leo damu inamwagika hapa"
Aliongea na kunyenyua panga lake na.........ITAENDELEA.
Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801
Namba za Malipo ๐๐๐๐
0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN..
   
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.