ENDELEA........
Oscar hakuwa na mudi kabisa ila alimuacha mkewe aichezee anavyojua, mambo yakulisha...na yalisimama kwa mda na show ilianza kupigwa pale pale, Vero alika...lia na kuiweka kwenye njia na mineng..uo ikaanza, dafu la kwanza alilivunja akiwa juu na kumku..mbatia Oscar na kuendelea kuzung...usha qiuno chake mpaka pale alipovu..nja dafu la pili.
"Nimeto...sha sasa mme wangu!"
"Mimi bado!"
Oscar alimbinua na kuiendeleza show na dakika ziliyoyoma akiwa bado kaikamatia kisawa sawa mpaka pale alipochoka licha ya mtali..mbo wake kuendelea kuwa nd..iii na baada ya wao kumaliza waliendelea kula mpaka pale walipotosheka na kwenda ku..lala.
Siku iliyofata Oscar aliamkia kwa Nesi akiwa na matumaini kidogo ya mri..ja wake kuzimishwa, alimkuta Nesi akiwa na wateja baadhi hivyo alitulia mpaka pale alipomaliza kuwahudumia wakabaki wawili tu ndani ya duka.
"Njoo huku Oscar!"
Walipelekana kwenye chemba na Nesi akamwambia autoe mtali..mbo wake na Oscar alifanya kama alivyoambiwa kwa kuutoa nje.
"Kuna dawa nimepewa ngoja nijaribu nione kama itakusaidia!"
"Poa wewe jaribu tu, nimechoka hili lidude kusima..ma kila mda nakoswa amani kabisa"
Nesi alichukua sindano huku ndani yake kukiwa na dawa na kuu..shika mp...ni wake na kuuchoma dawa.
"Ooooh!"
"Pole vumilia tu!"
Aliongea na kuichomoa sindano.
"Kaa hapo kwenye kiti kwanza upumzike tuone kama dawa itafanya kazi!"
Oscar alikaa kama alivyoambiwa na wakati huo huo kuna mwanaume alifika na Nesi aliposikia sauti yake alitoka mbio kwa ajili ya kwenda kumsikiliza.
"Mmmh umekuja kunitembelea!?"
"Kwani kuna ubaya mimi kuja huku mke wangu!?"
"Hamna ubaya!, sema nipo na mgonjwa namhudumia!"
"Haina shida wewe endelea tu na huduma mimi ngoja nikae hapa!"
Mmewe aliongea na kukaa kwenye kiti kilichokuwa pembeni na huku Oscar alianza kutoa sauti za maumivu hali iliyomlazimu Nesi akimbie haraka kwenda kumuangalia.
"Kuna shida gani!?"
"Inauma mno!"
Kwa maumivu aliyokuwa akiyasikia mpaka chozi lilidondoka na faster Nesi aliina...ma na kulishika ru...ngu lake na kuanza kulipuliza.
"Bado nasikia tu maumivu tu"
Nesi alizidi kupuliza aone kama atamsaidia na baada ya kuona Oscar anaendelea kulalamika kuwa anamaumivu alisogeza mdomo wake na kuanza ku....inyny...
"Ohooooo angalau!"
Oscar aliongea na Nesi aliendelea kuin..yony..a ili kutuliza maumivu aliyokuwa akiyasikia Oscar.
Huku mmewe aliyekuwa amekaa alishindwa kuelewa ni matibabu ya aina gani aliyokuwa akiyafanya mkewe, penzi sabuni ya roho bhana saa ngapi asinyenyuke alipokuwa amekaa na kwenda mpaka kwenye chumba walichokuwemo na macho yalimtoka baada ya kumshuhudia mkewe akiwa bize ku..nyny mashi...ne ya Oscar.
"Ayaaaaaaa mke wangu!?"
Nesi alishitushwa na sauti ya mmewe na kugeuka.
"Yaani unamny..ony?"
Haraka aliutoa mdo..mo wake kwenye mrija wa Oscar.
"Nilikuwa na mtibuu tu!"
"Kumtibu!?"
Oscar aliv...aa ngu...o zake na kuondoka haraka akimuacha nesi kwenye kesi nzito na mmewe, hakuna kilichokuwa kimebadilika kwake zaidi ya kusikia maumivu makali kwenye mpi...ni wake na aliamua kurudi kwake kwa ajili ya kwenda kupumzika.
Masaa matatu yalipopita kidogo maumivu yalikuwa yamepungua lakini bado mtalimbo ulikuwa wima vile vile, Oscar aliona bora aendelee na jukumu lake la kuwatafta wote aliowahi kute...mbea nao hivyo alianza kuwaza ni yupi anayefata.
Jina lililokuja kwenye akili yake ni la binti aitwae Agatha, Oscar alikumbuka vizuri siku aliyokutana na Agatha na kumshaw..ishi mpaka akaingia kingi na kuingia naye kwenye mahusiano na hata siku aliyokata naye mazoea Agatha alionesha uhitaji wa kutaka mahusiano yao yasife, kwa kiasi flani alihisi huwenda ni Agatha aliyemfanyizia mambo.
Jukumu lilianza la kuhakikisha anamtafuta Agatha na sehemu ya kuanzia ilikuwa alipokuwa akifanyia kazi Agatha, mguu wake ulimpeleka mpaka alipokuwa akifanyia kazi Agatha lakini alikutana na taarifa za Agatha kuhama na alipofatilia alipenyezewa kuwa Agatha ameolewa na mwanasiasa mkubwa mwenye pesa zake na ni ngumu kuonana naye.
Msalama mwingine uliokuwa mbele yake aliuona Oscar na kichwa kiliwaka moto akiwaza ataanzaje kumpata Agatha, peke yake aliona itakuwa ngumu kumfikia hivyo aliamua kumshirikisha Bon na mipango ikaanza kupangwa ya namna ya kumpata Agatha.
Walifatilia mpaka sehemu alipokuwa akiishi Agatha na mjengo uliwaogopesha kwani kulikuwa na ulinzi mkali kiasi kwamba nafasi ya kuonana na Agatha ni 0.0001%
"Naona uachane naye tu Agatha alafu sidhani kama ni yeye aliyekuloga!"
Maneno ya Bon ndiyo yalizidi kumvunja moyo kabisa Oscar ambaye naye alijikuta akikubaliana naye.
Aliona asitishe kumfatilia Agatha lakini siku mbili mbele alijikuta akishikwa na maumivu makali sehemu za si..ri na alipojaribu kutumia vidonge maumivu hayakukata zaidi ya kuongezeka, dalili za kukata moto aliziona na ndipo wazo lilipokuja la kwenda kwa mganga, Oscar alifika kwa mganga.
"Unajisahau sana kijana"
Mganga aliongea huku akifanya mambo yake na kidogo maumivu kwa Oscar yalipungua.
"Nimeshakwambia ukizubaa utapoteza maisha sasa wewe endelea kuzembea!"
Baada ya mganga kumkazia alirudi kwenye kazi tena kwa kasi ya 5G kumtafta X aliyemloga.
Alianza na Agatha licha ya ugumu uliokuwepo wa kuonana naye kutokana na yeye kuolewa na mwanasiasa mkubwa.
Oscar alienda kwao na Agatha na kudanganya kuwa anasiri nzito anayohitaji kumwambia Agatha hivyo aliwataka wamkutanishe naye na bahati nzuri ushawishi wake ulikuwa mkubwa mpaka wakakubali kumkutanisha na Agatha.
"Ongea haraka sina mda wa kupoteza"
Agatha aliongea bila hata kumwangalia usoni na kwake alikuwa kama takataka tu na Oscar alitulia kwa sekunde kadhaa akiwaza namna ya kumwingilia ili amshawishi.........ITAENDELEA.
Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801
Namba za Malipo ๐๐๐๐
0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN..
   
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.