Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

SEHEMU YA NANE* MADAM JOY NA MIMBA YA CEO MWANAFUNZI โฃ๏ธ

5th Aug, 2025 Views 51



Niliguna tu nakujibu, amna mimi popote tu, lakini kwa nini unaniita, kabla sijamuuliza akanikatisha J naomba maswali binafsi tukaongelee tuendako sawa sukari yangu?..

Nilikausha tu, make najionea mauza uza tu, kichwa kilikuwa kinauma vibaya mno,tulifika mimi huku mgeni najionea vigeni tu, tulifika mpaka kwenye nyumba moja nzuri ni chumba kimoja na sebure self na kijiko lakini ni ndani ya geti, kila kitu kipo kasoro chakula tu, nilimuuliza mbona umechukua chumba kimoja? Alinitizama kwa muda mimi huo ujasili wakutizamana nae sina, kabla hajanijibu nikaondoka akanidaka mkono, J niachie nataka kuoga nilale nimechoka...

" Na mimi nataka kuoga pia, sio mbaya tukaenda wote, ili nikujibu maswali yako, eee๐Ÿ™„, basi anza wewe, " hapana tutaoga wote nahitaji unielewe vizuli kabisa, nahisi hunielewi J navyokuita mke, siiti kujifurahisha namaanisha,muda huo anaongea tuko ziro distance, yani nimebananishwa haswaa...

Niliongea kwa sauti ya chini,J ujue unaniumiza hapa, na hayo unayoongea unanichanganya, sasa hapo mimi nakuelewaje ghafra ghafra tu yani, afu we mwanafunzi jamani...

" J kwenye huo uanafunzi wangu, kuna chochote sikutoshelezi kama mme? Wapi napelea kufti kwenye nafasi ya mme? Naomba uniambie leo, J mi ata sielewi, unanichanganya, unafanya mambi kama mwanaume sawa, lakini sielewi unawezaje? Na pia mimi ata sielewi sijui nikuelezeje tu naogopa...

Mbaya zaidi umeshanitumia๐Ÿ˜ญ, " J wangu, usiumie kwa hili niamini, mimi ndie mme wako na sitokuacha, nitakuoa,siwezi kukuacha hio jeuri sina, naomba usichukulie hili kama kosa kwako, mmh unaongea tu hapa kwa sababu tu unataka kunitumia, ukichoka ninajua nini utakachofanya...

" J sio mimi siwezi kukuacha hata kama, wewe ndie utataka kuniacha nikwambie tu sitokuacha,labda tu nikukumbushe, ili ujue kabisa mimi kukuacha haitowezekana, hii ni ahadi yangu ya toka zamani, niliahidi hili mbele ya wazazi wako,nilishtuka wazazi wangu?...

"Ndio najua hukumbuki ila mimi nilikuwa namaanisha, acha nikukumbushe, ukiwa na miaka 9, ulifiwa na wazazi wako kwa ajali ya gari, mimi nilikuwa na miaka 16, tulikutana siku 5 kabla ya wazazi wako kufariki, ulinisaidia kunifungulia nilimokuwa nimefungiwa na mama yangu wa kambo , ili nikauzwe nje ya nchi, ulinitilosha na kuiba simu kwenu ukanisaidia nikaongea na mama yangu mzazi...

Siku hio hio akaja kunichukua, nilikuahidi nitaludi, nikakuaga nakusema nikiwa mkubwa nitakuoa, baada ya siku 7 nililudi kuja kukuaga naenda nje ya nchi kimasomo,nilikutana na msiba, mmekwisha zika, nilikuja na kukuta unaaga unalia kwenye makaburi ya wazazi wako...

Ukiwa na bibi yako, nililia na wewe, nikamkumbuja marehemu baba yangu, nilikumbuka mateso niliyopitia baada ya baba kufariki, nilihisi pia utayapitia, nilikuonea huruma, nakukuapia mbele ya wazazi wako, kuwa nitakuwa mmeo,naenda shule kukupambana nikutafutie, nitaludi kwa ajilu yako, je umekumbuka? Najua jina langu hukuwahi kulijua, ila mimi nililijua lako, na sio tu hivyi nilishika na arama zote za mwilini kwako, hasa hio ya mkononi uliyoumia ukiwa unanitolosha๐Ÿ˜ญ...
Kupata yote mpaka mwisho bonyeza hio link hapi juu ukasome yote hadi mwisho...

Itaendelea...๐Ÿ’ฅ

Full 1000
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SEHEMU YA NANE* MADAM JOY NA MIMBA YA CEO MWANAFUNZI โฃ๏ธ  >>> https://gonga94.com/semajambo/sehemu-ya-nane-madam-joy-na-mimba-ya-ceo-mwanafunzi
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Pyar Ho Jane Dushman
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
offa ya msimu wa nanenane
offa ya msimu wa nanenane

RATIBA YA SIMULI ZETU

Ratiba ya Simulizi

  • USINITANGAZE 02 โคโค 05-08-2025 19:00

Ratiba ya Simulizi

  • USINITANGAZE 03 โคโค 06-08-2025 04:00

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest