Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Pyar Ho Jane Dushman

Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma

5th Aug, 2025 Views 13

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Juma Zuberi Homera (@juma_zuberi_homera ), ameshinda kwa kishindo kura za Maoni za Ubunge Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma kwa kuzoa ushindi katika Kata zote 21 za Jimbo hilo.

Dkt. Homera ameshinda kwa kupata kura 11,836 sawa na asilimia 92%. Huku aliyekuwa Mbunge wa Jimbo Hilo Vita Rashid Kawawa akiambulia kura 852.

Katika kata hizo matokeo yake aliyozoa kura Dkt. Homera ni kama ifuatavyo;

Lisomonji 431
Limamu 611
Mkongo nakawale 682
Mkongo Gulioni 408
Luchili 844
Luegu 468
Litola 522
Namabengo 895
Msindo 403
Mputa 282
Kitanda 543
Mgombasi 404
Likuyu 565
Rwinga 746
Mchomoro 677
Namtumbo 851
Ligera 326
Hanga 569
Msisima 317
Lusewa 627
Magazini 668
Jumla 11,836

1.Mussa kassim Chowo = 327
2.Dkt Juma Zuberi Homera = 11,836
3.Vita Rashid Kawawa = 852
4.Shaibu hamisi majiwa = 63
5. Sharifu Hassan Ngonyani = 182

Asilimia 92%.

#KitengeUpdates.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma   >>> https://gonga94.com/semajambo/jimbo-la-namtumbo-mkoani-ruvuma
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Pyar Ho Jane Dushman
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

RATIBA YA SIMULI ZETU

Ratiba ya Simulizi

  • USINITANGAZE 02 ❤❤ 05-08-2025 19:00

Ratiba ya Simulizi

  • USINITANGAZE 03 ❤❤ 06-08-2025 04:00

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest