Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa

DADA KIBOGA NA MJEDA: 12 Akanifata hadi nilipokaaa akafanya kama anachungulia mie nikafichaaa🤣🤣🤣

5th Aug, 2025 Views 98



Haikutosha akafanya kama anadokoa vile 🤣🤣🤣weeeeh nikasogeza bakuli langu kubwa kama mtungi nikalikumbatiaaa akachekaaa kisha akaelekea jikoni🤣🤣🤣

Kheee namuona anarudi na juisi na glass akanimiminia na yeye akamimina akanywa kisha akaenda kukaa sebleni kuangalia tv

Nikaanza kuumia roho sasa😒😒si unajua mtu ukimfanyia ubaya akikulipa mema inavouma enheee🤣🤣🤣ndo mimi sasa roho ilikuwa inauma hatariii sema nikajikaza nikamaliza kula nikashiba huyooo nikaen da kukaa kwenye kochii

Saa ngapi usingizi usinipitiee😴😴😴

Nakuja kushtuka asubuhi nimelala kitandani na shuka juu nimefunikwaa halafu ndani sina nguo nyieee😡😡😡😡😡😡nilifura hatari

Kwanza nikaanza kunitia dole kwa mparange,nilipoona ahalipiti nikajua marinda yapo

Baada ya hapo nikajiminywaminyaa ikulu,mmmmh sijui nimetiwaaa au sijatiwaa??🙈🙈🙈mwenzenu sijuii maana nililala

Basi ilikuwa saa mbili hio nikaamka nikavaaa huyo hadi sebleni nilivosoma mazingira nikagundua mjeda bado amelala na vile mlinzi nae alikuwa sijui kalala ,mie hata sikujali nikanyata taratibu ,nikafungua geti halafu huyooo nikatoka zangu nnje🤣🤣🤣

Huku nikijisemea haoana chezea dada kiboga wewe👌👌👌👌👌

Nikafunga safari hadi mtipesaaa na kavile nlibeba kiafu kumi na pale kwa mjeda palikuwa sio pageni sana kumbe ni masaki tu ni vile jana ilikuwa usiku sikupatambua vizuri

Bas mwenzenu nikafika hadi mtaani ,siku hio palipoa hatariii njia nzima sishangiliwi tena wala kushobokewaaa kila mtu akiniona ananinyari😭😭😭

Nilijisikia vibaya acha tu na wala sikujiuliza kisa nini maana nilojua kabisa ni ile jana mjeda wangu kuharibu sherehe ya watu😭😭😭

Basi nikawa natembea kama nina mavi kwenye nguo mie

Nikajitahidi hadi nikafika nyumbani kwangu ambapo nikawakuta wapangaji wenzangu na hakuna hata alienichangamkia ama kweli fanya baya moja lifute mema milioni😭😭😭

Furaha ilipotea nikaingia zangu ndani nikakusanya vinguo vyangu viwili vitatu nikaweka kwenye begi la mgongoni huyooo safari ya chalinzw pingo ikaanza maana huko mwenzenu nina kijunba kangu kachumba kimoja japo kagiza ila nilikuwa najibana najenga jenga

Kwa vile mtaani ndo nshaharibu na siwezi maisha ya ugomvi na watu nikaona nikimbie mie

Wapangaji wenzangu hakuna hata alieniuliza nipo wapi wala kujalii

Sio hao tu hata mtaani hakuna alieji kuhusu mimi kama mwanzo 🙌🙌🙌🙌🙌😔😔😔😔😔😔😔nyie nilijisikia vibayaa basi tu

Nikaelekea hadi kwa wakala nikatoa laki mbili kwenye simu ,nyengine nikaweka kwa begi nyengine afukumi nikabeba mkononi

Nikafika kituoni nikapanda gari la kuelekea mbezii ambapo ndani ya lisaa nilifikaa hapo ndo nikaanza kutafuta magari ya chalinzeee

Nikalipa afu saba nauliii kisha nkatafuta siti nkakaa zangu mie akili ipo mbali kweliiiiii

Baada ya muda safari ikaanza😭😭😭njiani mawazo yalizidi hadi nikawa nalia😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭abiria wote wananishangaa mimi ila sikujaliii nikalia hadi nkasinzia

Dada dada we dada dada!!!!!!!!!sauti ya mtu nisiyemjua iliniamshaaa

Itaendelea

Soma mpaka mwisho.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DADA KIBOGA NA MJEDA: 12 Akanifata hadi nilipokaaa akafanya kama anachungulia mie nikafichaaa🤣🤣🤣  >>> https://gonga94.com/semajambo/dada-kiboga-na-mjeda-12-akanifata-hadi-nilipokaaa-akafanya-kama-anachungulia-mie-nikafichaaa
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Afande sele ft Belle 9 dini tumeletewa
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

RATIBA YA SIMULI ZETU

Ratiba ya Simulizi

  • USINITANGAZE 02 ❤❤ 05-08-2025 19:00

Ratiba ya Simulizi

  • USINITANGAZE 03 ❤❤ 06-08-2025 04:00

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest