⚠️ ONYO: Hadithi hii inahusisha maudhui ya watu wazima. Inafaa kusomwa na walio na umri wa miaka 18 na kuendelea. Ina maelezo ya mahusiano ya kimapenzi, hisia za mwili, na maisha ya vijana. Tafadhali soma kwa uangalifu na kwa umri unaostahili
0789824178
Kwa majina naitwa Zainabu Juma, ni mzaliwa wa jiji la Kisangara, na ni mtoto wa pili katika familia ya mzee Juma yenye watoto wawili ambao ni mimi na dadangu Fatuma. Wazazi wangu walikua na hali ya kawaida ya maisha kabisa, hatukua na uwezo mkubwa sana japo waliweza kujenga tu nyumba ambayo ndio tulikua tunaishi, nzuri kiasi ina fensi na geti dogo mana nadhani walijua hawawezi nunua gari. Mama yangu alikua anajishuhulisha na upishi wa dagaa huku baba yangu akiwa anafanya kazi kwenye kampuni Fulani kama mlinzi wa hio kampuni. Dadangu alisoma mpaka kidato cha nne akafeli hivo akapelekwa chuo cha ufundi kusoma mambo ya secretary huko wakati mimi niko kidato cha kwanza. Mimi na dadangu tulipishana sana nadhani mama alikua na shida katika kupata mtoto mwingine. Nilikua mtulivu sana kipindi nasoma wala sikuwa na papala kama wenzangu wa Mpakani, wengi walianza kujihusisha na mapenzi wakati tukiwa shule ya msingi lkn mimi nilikua mtulivu sana na sikuwa nahitaji wanaume kabisa. Rafiki niliokua nao shule ya msingi wengi hawakuendelea na masomo kitu ambacho kilinifanya nipate rafiki mwengine shuleni alikua naitwa Halima. Tulimaliza kidato cha kwanza salama kabisa mimi na Halima wangu tena tukiwa marafiki wakubwa sana hadi nyumbani wanatujua japo mama yangu alikua hapendezwi sana na Halima kutokana na uvivu wake, alikua akija nyumbani yangu analala tu. Tulipoanza kidato cha pili siku moja tumetoka zetu shule jioni niko na Halima na wasichana wengine naosoma nao watatu jumla tukawa watano tulikua tunakatiza mitaani huku tukipiga sana stori, sikujua kwa nini lkn mimi katika marafiki zangu ndio nilikuaga nasikilizwa sana, naweza wambie tufanye hivi wananisikia, naweza wambia hiki sitaki wananisikiliza pia hivo nilikua kama bosi kwa rafiki zangu, basi tukiwa tunatembea tulipita kwenye duka la mkaka Fulani alikua ametuzoea kila tukipita pale tunamsalimia na kumpiga mizinga ya bigjii au pipi kwa hio siku hio kulikua na wakaka wanne pale wanapiga nae stori sisi kama kawaida yetu tukaita bigiiiiii mambo, akaitika powa nambieni, tukasema ndo tunapita hivo, Halima akasema pigii fanya bigjii basi jamaa, bigi akasema halafu nyie mtakuja nifilisi nyie ujue bigjii hazina faida kabisa? Mkaka mmoja akasema aah big ebu wape bana shida nn sasa bigjii tu unalalamika wape box zima kwanza mi nalipa, Halima akatabasam akasema asante kaka mzuri, basi big akaleta kibox kizima cha bigjii tukapokea na kuanza kugawana huku tunacheka cheka na kuondoka huku tunasema asante kaka, tuliondoka Halima akasema hivi mmewaona wale wakaka jamaa? Mbona kama wapya? Mshawahi waona huku nyie kwani? Mimi nikasema hata sijawahi waona akasema kuna mmoja pale acha Yule alietununulia bigjii ni mzuri jamaa, Salima akasema yupi? Halima akasema alivaa prova na kofia na jeans na raba kaweka mikono mfukoni jamaa kaka ni mzuri hatari, mimi nikasema mmh Halima ulimtazama sana wa nini kaka wa watu hadi ukajua kila kitu? Saida akasema eti jamaa, Halima akasema macho hayana pazia bana mimi nimeona ila kaka ni mzuri sana. Tukacheka mimi nikasema tuachane na mambo ya uzuri wa wanaume ebu twendeni kwa mama Zuhura kwanza nikabadili nguo ndio niwasindikize, wakasema powa. Mama kama kawaida yake alikua anauza zake dagaa hivo nyumbani hakukua na mtu, nilifika nikakuta ugali nimewekewa nikala na rafiki zangu nikawambia osheni vyombo nioge mana asubuhi sikuoga leo baridi, wakasema sawa, nikaoga zangu nikaenda chumbani wao wakaja mana walishaosha vyombo vyote, nikiwa najifuta Halima akasema ila Zainabu unajua unashepu nzuri sana ww? Siamini mpaka leo bikra. Nikasema we mshenzi nn ebu achana na mimi bwana Saida akasema kweli una tako na hips na huna matiti jamaa sio kama Salima kabeba kifua kama anatenda tya kunyonyesha watoto sehemu na tako hana, Salima akasema wee niacheni jamaa kwanini niliomba mimi, wewe mwenyewe Saida mbona upo kama uliangukia chooni unahips tako huna toka zako, Halima akasema heheee jamaa leo mmeamua kuchaluana sio, Mariam akasema jamaa katika kundi letu la watu watano mimi Mariam, Saida, Halima, Salima na Zainabu aisee tuwe wakweli Zainabu ndio mzuri sana kuanzia shepu mguu hadi sura, Halima akasema wee mimi je mbona tako ninalo na sura? Mariam akasema unalo lala kukalia lkn muonea Zainabu, mimi nikacheka nikasema jamaa acheni hayo nishavaa twendeni. Waliendelea kubishana mimi wala sikuwajali, basi tukawa tunaelekea kina Halima sasa na ilikua lazima tupite kwa big tukapita tukawakuta wale wakaka pale tena, sasa Halima si ni muongeaji akamchokoza big wakataniana kisha tukapita zetu, tulikaa kina Halima na kina Saida wakaniacha pale nilivoona muda umenda sana kigiza nikaaga Halima akanisindikiza kidogo nikaendelea na safari, nilipita pale kwa big nikamkuta big peke ake nikamuita bigiiiiii usikumwema, big akasema eeeh Zainabu njoo, nilikua macho hapa nakusubiri ww ujue? Nikasema kwa nini mimi tena? Akasema nina ujumbe wako, nikasema ujumbe gani? Akasema we si utulie ngoja nihudumie wateja kwanza. Nikasema bana big eeh kama hutaki niambia mimi naenda zangu mana nawahi kupika nyumbani mama atanitoa roho, akasema subir bana kidogo. Nikasema nachelewa ujue akasema sasa hivi tyulia, nikiwa pale namsubiri nikamuona babangu anatokae awe nilikimbia hadi home nikaanza kukoleza mkaa na kukata sukuma wiki mana ndio mboga mama alisema tokea asubuhi niipike, baba alifika na nyama akanipa akasema pika hii haraka nataka nile niwahi kazini, nikasema sawa, nilitoka nje nikawasha jiko la kuni na kuosha nyama kisha nikabandika mana ilishakatwa, mimi niliendelea na sukuma wiki. Nilipika ugali haraka baba alikua anapenda sana kula ugali na supu sio nyama ya kuungwa hivo nikamtolea supu akala akajiandaa na kwenda zake kazini, nikawa nimetulia na mimi naunga mboga sasa taratibu huku nikiwaza big alisema anaujumbe wangu ujumbe umetoka wapi huu? Mmh niende sasa hivi? Hapana nitampitia kesho nikitoka shule. Basi nilimaliza kupika mama nae ndio akawa anarudi, akasema ww umemaliza kupika au bado ulikua unazurula tu? Nikasema nishapika kitambo tu mama na baba kala kaenda kazini, akasema ndo hilo sukuma wiki? Nikasema baba ameleta na nyama, mama akasema bora mzee kawa wa faida nilikua na mawazo na bora dagaa wangu waapona naenda uza kesho. Nikacheka, akasema eheeee nilitaka kusahau ebu sogea hapa, nikasogea akasema sitaki kukuona na Yule rafiki ako Salima sijui sitaki aje hapa wala sitaki kusikia uko nae, nikasema heee mama kwa nini? Akasema kakutwa na mwanaume leo bagalani mtoto hana adabu Yule sasa amekua gumzo huku sitaki kabisa uhusishwe nae, mtoto mdogo anakua muhuni kama nini sijui sitaki kumuona nikikuona nae Zainabu nitakupigeni na kuwapelekeni polisi shenzi kabisa, aliongea mama huku akiwa amekasirika kabisa, sikuamini kabisa mana Salima hakuwahi tuambia kama ana bwana mbona sa imekuaje? Ngoja kukikucha nitajua, mama akasema umeniskia sitaki, nikasema nimekusikia mama. Akasema haya endelea niletee ugali nile mimi. Nikamuandalia huku nikiwaza. Akasema hivi dadako hajarudi tu? Nikasema bado, akasema mmh shule gani hajarudi mpaka sa hivi? Nikasema sijui mimi, akasema ngoja atarudi atanikuta. Mimi nilimuandalia nikajipakulia na mimi nikaanza kula ndio na dada nae akawa anaingia, mama alimdaka juu juu akasema ehee sa hivi sa ngapi na ndio unaingia kama ww ndio mwenye nyumba mwenzetu? Dada akasema mama nilichelewa tulikua na mtihani usiku, mama akasema mtoto hata kama sijasoma usinifanye mjinga, mambo ya kurudi nyumbani kwangu usiku sitaki kama unaona unakosa uhuru kapange ila kwangu saa moja mwisho. Dada akasema samahani mama, mama akamsonya tu. Tulienda kulala mimi nilikua nalala chumba changu na dada chake lkn nilikua nawaza big ujumbe na shoga angu kufumaniwa, kulivokucha niliwahi sana kuamka nikajiandaa na kwenda shule, nilikua namsubiri Salima kwa hamu aniambie nn kimetokea lkn walifika shoga zangu wote Salima hakuja, basi tukapiga umbea wa Salima na kuamua kumtenga tena mimi nikiwa ndio nimetoa amri mana ametudhalilisha, na nikasema kabisa atakae ongea nae basi naye aendelee nae sisi tumuache. Muda wa kutoka ulifika mimi nikakumbuka big ujumbe nikawaza niwaambie mashoga nikaona ngoja niwaambie, nikawambia jana wakati napita big alisema anaujumbe wangu sijui kutoka wapi naomba twendeni tukampitie, wakakubali tukaenda, big akasema Yule kaka alietununua bigjii ndio amesema anashida na ww anataka kukuona leo. Nikasema anione kwa ajili gani? Akasema sijui jamaa mimi kaniambia hivo tu. Halima akasema shoga kubali tuone anajipya gani, nikasema akaa ni mwambie sitaki, kitendo hiko ndio kama kilikua kimeamsha mori kaka alianza niagizia zawadi mara matunda, mara keki, mara biskuti basi nakula na rafiki zangu ila simtaki, aliendelea tu kuleta vitu nikajikuta navutiwa nae sasa alikua anaitwa Nassor, wenzie wanamuita Nas, siku moja alinibananisha nimetoka sokoni kwenye uchochoro wa karibu na nyumbani akanibembeleza na kuniambia ananipenda sana anaomba nikubali na niwe wake nikasema hapana mimi sitaki mapenzi kwa sasa naomba niache tu, Nas alinibembeleza hadi machozi nikamuonea huruma nikakubali, akafurahi sana ila nikamwambia hakuna kufanya mapenzi, akasema sawa amekubali, basi nilianza mapenzi na Nas kwa stail hio na sikuwaambia marafiki zangu ila wao walijua tunapiga stori tu. Nas alinitambulisha kwa rafiki zake wote ikiwemo Yule Halima aliekua anamzimia aliekua anaitwa Rashidi. Yy Rashidi hakua muongeaji sana kumskia akiongea ilikua mara chache sana, basi rafiki zangu na rafiki za Nas tukawa marafiki na kipindi hiko kina Nas wanasoma chuo cha KIST ambacho kwa sasa kinaitwa KUST, Nyamagana Kisangara. Mara nyingi tukawa tunaongozana na kupiga sana stori huku mimi nikiandaliwa mazingira ya kutiwa na Nas lkn mimi nikienda nakua na kina Halima, na kipindi chote hiko Halima anateseka na penzi la Rashidi ambaye yy hana muda kabisa na Halima. Siku moja nilikua na Halima akaniomba nimsindikize kwa Rashidi nikamuliza kufanya nn? Akasema anataka akamwambie anampenda, mimi nikasema ww ni mwanamke unamuambiaje mwanaume unampenda huoni kwamba atakuona Malaya? Akasema mimi nafanyaje nampenda sana na yy anaonesha dalili za kutonipenda naumia sana rafiki angu naomba usiwambie kina Saida naomba basi unisaidie, aliongea huku analia, nikasema mmh basi subir mimi niende nikaongee nae nitakupa jibu, akasema sawa. Nikasema basi nisaidie nifanye kazi zote nyumbani kisha nioge ndio niende, Halima akasema we oga mimi nafanya kazi zote usijali, nikasema sawa, nikaenda kuoga nikarudi nikavaa yy anaosha vyombo, akasema nenda ukirudi utakuta kila kitu tayari, nikasema sawa. Nilitoka moja kwa moja hadi kwa Rashidi mana alikua anakaa geto la peke ake tena jirani na nyumbani yangu tofauti ni kama nyumba tano, wakati wenzie ni mbali. Nilifika nikagonga geto lake akaitikia akaja kufungua, aliponiona akasema Zainabu karibu, nikasema asante, akasema uko mwenyewe au umekuja na mtu? Nikasema nipo mwenyewe, akasema okay ingia basi, sikuwa na masahaka mana ni shemeji wao wanajua mimi na Nas tulivo hivo nikajiamini na kuingia, alikua amevaa bukta na t-shati geto kwake kuna kitanda kikubwa kizuri na kompyuta tena laptop enzi hizo mtu kumiliki laptop ni utajiri sana, pia kuna spika kubwa ya muziki mnene na kikochi fln pia meza na kitu vya kusomea, niliingia nikaakaa mezani, akapunguza sauti ya muziki akasema karibu, nikasema asante nina shida na ww, akasema kabla hujasema kunywa juice hii hapa kwanza, akanipa juice ya box, kisha nikaanza kunywa, akasema umetoka wapi? Nikasema nyumbani, akasema okay umewasiliana na Nas leo, nikasema noo kwanini yuko wapi? Akasema sijachekiana nae leo nikajua ndio shida yako, nikasema hapana nimeagizwa na rafiki angu Halima. Akasema hivi Zainabu unapenda sana movie niliskia, nikacheka nikasema ndio akasema kuna movie moja hapa inaitwa Zawadi najua utaipenda niliitafuta sababu yako, nikastuka nikasema kweli? Akasema ndio ngoja nikuekee, akaweka, nilianza kuangalia ile movie ya kiana brandy niliipenda mpaka nikasahau kabisa kama nilitumwa, nilinogewa Rashidi akatoka nje baada ya muda akarudi na chips kuku alinikaribisha nikaanza kula huku naangalia movie basi inatia huruma nalia kidogo naendelea niliangalia mpaka movie ikaisha kabisa. Nikasema jamaa nzuri sana, akasema umeipenda eeh? Nikasema sana tena nzuri mno, Rashidi akasema nitakutafutia zingine nzuri zaidi na sababu umelia nitakua nakuita Zawadi, nikatabasamu huku machozi yananitoka eti Rashidi akanisogelea akanikumbatia, nilistuka, kabla hata sijasema kitu akanipiga denda la maana, sikuwahi busiwa hivo mana hata Nas nilikua namkatalia alikua ananibusu mashavuni ni lkn Rashidi alininyonya mate kweli kweli.