" J unaliza swali gani sasa hilo, mtaji unatoa wapi, kwamba mimi niko wapi? Pale pale aliniingizia ml 70 kwenye acount yangu,tayali nilikuwa nimeshawasha simu, nilivyonunuliwa tu simu, nikatamani tu kuwa hewani, hata maumivu ya kuachwa na mlokore nikawa sina kabisa, nilivyowasha simu sms kama zote, sikujibu hata moja wala kusoma, nilifuta zote...
Nikawa bize kupiga picha tu, kwahiyo pesa ilivyoingia tu nijaona sms ya bank kunijulisha, nilimtizama mala mbilimbili, J mbona pesa nyingi sana hii, J wala hata hakujibu, aliendelea nakazi zake kwenye pc, nilimsogelea akaniambia " ukinigusa tu mke wangu ujue kabisa, utanipa kama huna mpango wa kunipa usiniguse...
Niliganda kwanza, nikaamua kuingiza mada ambayo najua tu lazima ajibu, " bibi kasema anataka mahali yake, sasa wewe maliza pesa yote kunipa mimi uku unadaiwa mahari, kwrli nilifanikiwa, apo apo, akaweka laptop nakusema tuondoke twende kwa bibi, tutatokea huko kuludi shuleni, alikata ticket ya ndege, ya jioni, ikabidi tukahemee vitu baadhi, kwa ajili ya bibi na sisi wenyewe tukiludi shule...
Tulifika arusha saa mbili usiku tukaogopa kwenda usiku sio tabia nzuri, asubuhi kulivyokucha, tukahemea vyakula na vitu kadhaa tena tukaenda kwa bibi, muda huo nishampa taarifa bibi, alikuwa na dada wa kazi nilikuwa namlipa kila mwezi kwa ajili ya kukaa na bibi tangu kwa muda, make bibi alikataa kuondoka kwake....
Alitaka niwe na sehemu yakuludi na kusema naenda likizo nyumbani, na mji usijekuhalibika, tulifika tukapokelewa vizuli mno, tulichinjiwa,tukatoa zawadi pale, na bibi yangu anapenda sana ufugaji, J akatizama kiwanja kilikuwa kikubwa mno ni maboreshi tu, aliita mafundi wakaja kujenga banda la kuku, na banda la mbuzi, akapinga ukuta nyumba na mbele ya nyumba akaweka flame za biashara 4, uku ndani mjengo wa kisasa ukaanza kujengwa...
Alitoa kishika uchumba na pesa ya faini kwa kunioa bila ruhusa ya bibi, akakataliwa kutoa mahali mpaka aje na wazee wake, kama hawatokubali ndio aje yeye, alikubali, tukaondoka nilijikuta naanza kupendeza tu, mimi ni mwembamba jamani, ila nilinenepa tena unene ule wa wastan kwa wiki tu nikawa nimebadirika mno...
J alihakikisha sikohoi, yani alinijali kupita kiasi,alitakuwa kuludi shule, jumapili lakini tulichelewa tumefika jumapili jioni, nikamuomba apumzike kwanza kesho ataenda, alinielewa, tukuwa ndani na J wangu, tunajadili tutaishije kipi kinafata na yeye anaelekea kumaliza bado miezi miwili tu amalize...
Tukasikia hodi, ilibidi tutizamane, nikamuomba afunge chumbani nikafungue, nilitoka naenda kufungua nakutana na rozi, " hee ni wewe ama naota 🧐, usinambie haujaumia kuachwa kwenye mataa na mlokole kumuoa Estar ama huna taarifa shogaa?..
Nilicheka tu kwanza kisha nikamjibu, najua kila kitu, wala haijaniumiza mahali, hakuwa wangu, angekuwa wangu asingeenda so huo muda wakusikitika sina, nina mambo yangu kibao, nikae nahangaika na ujinga 😃, niliongea nikuwa na amani kabisa ata chembechembe ya maumivu sikuwa nayo kabisa...
Rozi hakuamini, alibaki ananishangaa, kwanza nimependeza vibaya mno, kichwa ninesuka nywele ya gharama, " mwenzangu nilivyoona huji kazini nikajua huenda unaona aibu, uko unajiuguza kidonda, nikajikuta nimecheka kwa dharau, Roz dada angu mimi siwezi mlilia mlokole ata kidogo, kuna wanaume wakulilia ila sio peter...
Rozi hakuamini, mala simu take ikaita kwa ule mshangao akajikuta kapokea simu tena iko na sauti ya juu...
"Haloo we Roz, ebu nipe habari shoga angu, umekapata au kameshajinyonga? Alikuwa ni Esta nilibaki kuwacheka tu, nijamwambia oya Roz bb ataka kufunga mlango wahi uludishe repot kwa boss wako, akashtuka na kukata simu faster kisha huyo...
Nililudi chumbani uku nacheka tu, J alisikiliza kila kitu akaniuliza "J mke wangu, sasa hivi huna wivu tena na uyo jamaa? Nilicheka na kusema ata kidogo, yani hata nikimkuta hapo na mke wake hainishtui kabisa...
Kupata mwendelezo bonyeza hii link hapo juu au hii chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu...
Itaendelea....💥
Full 1000
Whatsp 0784468229.
   
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.