Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  never give up harmonize

HAIZIMI 07 ❤❤.

7th Aug, 2025 Views 17



ENDELEA.......
Alifika na kuonesha moyo wa huruma kwa Oscar baada ya kupewa mkasa mzima ila Oscar hakutaka kumuacha arudi ivi ivi pasipo kutuliza mawazo, mbugii ilianza kupigwa na wakiwa kwenye mchezo simu ya Oscar ilianza kuita ila hakuna aliyekuwa na habari kati yao zaidi show kuendelea.
Chini juuu ndiyo kitu kilichokuwa kikifanywa na binti wa watu mpaka pale qiuno chake kilipochoka na stahili nyingi..ne kuchukua nafasi yake.
"Kwanini tu usibaki ivi ivi Oscar jamaniiii!"
"Siwezi!"
"Mmmmh kwanini huwezi!?"
"Kuna mda ina...uma mpaka nahisi inataka kung'oka, nikibaki ivi hamtachelewa kunizika!"
"Huwezi kufa kipnz baki tu ivi ivi yaani ni mwendo wa kuunganisha tu mpaka raha, na kesho nitalia mno ukiondoka"
Furaha ya tend..o ilimwendesha binti wa watu mbele ya Oscar na kulopoka maneno ya kila rangi na mda huo round nne zilikuwa zimeshakatika tayari.

Kimbembe kilikuja kwa Oscar aliyenza kusikia maumivu makali karibu mwili mzima licha ya kuwa mtambo bado ulikuwa kwenye shu...ghuli pevu na binti aliyaona mabadiliko yake.
"Kuna tatizo!?"
"Sijisikii vizuri!"
"Mmmmh basi pumzika!"
Oscar alim...chomoa mwanajeshi wake na kujilaza pembeni akisikiliza maumivu yaliyokuwa yakiu...tesa mwili wake na binti akaanza kumpa...ps kifuani kama kumpoza.
"Griigriigriii!"
"Nisogezee hiyo simu"
Binti alisogeza simu kama alivyoambiwa na Oscar akaipokea baada ya kugundua kuwa ni mke wake anayempigia.
"Mbona ulinidanganya mme wangu!?"
"Nilikudanyanya kuhusu nini!?"
"Kwamba upo kwenye mambo yenu ya kibiashara kumbe hamna"
"Nani kakwambia kama sipo kwenye mambo yangu ya kibiashara!"
"Mwenzako kaja hapa kukutembelea na kukujulia hali ndiyo kaniambia kila kitu"
"Unamaanisha Bon?"
Vero alikubali na Oscar aliamua kumwambia ukweli tu kuwa yupo anatafta tiba ya yeye kupona.
"Utarudi lini huku?"
"Kesho tu nitakuwa hapo!"
"Basi sawa"
Alikata simu na kuiweka pembeni na kuendelea kube..bshana na binti aliyekuwa naye.

Siku iliyofata asubuhi na mapema Oscar alijiandaa kwa ajili ya safari ila binti wa watu aliyejitambulisha kwa jina la Agnes alioneshwa kusikitishwa kwa kuondoka kwake na ilibaki kidogo tu amwage machozi, alijua kilichokuwa kikimuumiza ni kuona anaipeleka mbali si...raha ikiwa bado Agnes aliihitaji ila hakuwa na namna zaidi ya kuondoka.

Safari nzima Oscar aliitumia kuwaza mwanamke anayefata na aliyekuja kwenye chake ni binti aliyekuwa akiitwa Rehema aliyekuwa akifanyakazi kwenye mgahawa karibu kabisa na eneo analofanyia biashara pamoja na Bon lakini alipata wazo la kwenda kwa mganga kwanza kabra ya kuanza kumtafta Rehema, alifika kwake na kupokelewa na Vero na baada ya mda alienda kwa mganga.
"Naona umerudi kijana, umeshaikamilisha kazi!?"
"Wapi mganga bado ipo vi..le vi le tu, wote niliotembea nao hakuna hata mmoja aliyeniloga"
"Kwani wameisha!?"
"Bado hawajaisha!"
"Sasa unataka mimi nifanyeje!?"
"Jaribu kuangalia njia nyingine hii hali imenichosha mganga"
Oscar alilalamika kama vile mganga ndiye aliyemtuma achovye hovyo mpaka kutupiwa kombola.
Mganga alimsogelea kiukaribu zaidi na kuongea.
"Nisikilize kijana, unapozidi kuchelewa unazidi kuhatarisha maisha yako na hapo kinachokusaidia ni dawa niliyokupa mara ya kwanza lasivyo wangekuwa wameshakuzika tayari, nenda ukaendelea na kazi ya kute...mbea na wanawake wote uliowahi kutoka...na nao mpaka pale utakapompata mbaya wako aliyekuloga"
Aliinamisha kichwa na kunyenyuka na kutoka ila mganga alimwita na kumpatia dawa nyingine itakayomwongezea nguvu.

Kazi ilianza kwa Oscar kumtafta binti aliyekuwa akiitwa Rehema kama alivyokuwa amepanga, alienda mpaka sehemu Rehema aliyokuwa anafanyia kazi ya mgahawa na kumuulizia lakini alichoka baada ya kuambiwa Rehema kawa kichaa baada ya kufumwa akichepu..ka na mme wa mtu.
Oscar alikaa huku akiwaza ni wapi pakuanzia ili ampateRehema na akiwa kwenye mawazo kuna mtu alimshika kwa nyuma na kumwongelesha.
"Kumbe upo hapa jamaa yangu!"
Alikuwa ni Bon aliyekuwa nyuma yake.
"Dah acha tu!"
Oscar alinyenyuka na bahati mbaya kwake mtali...mbo wake alikuwa hajaubana vizuri kwenye mkanda na mtu wa kwanza kuona alikuwa ni Bon.
"Oya jiweke vizuri"
Oscar aliubana vizuri mtali...mbo wake na kusogea pembeni ili aongee vizuri na Bon.
"Pole sana wife wako aliniambia kila kitu, kwahiyo hapa unafanya nini!?"
"Namtafta Rehema!"
"Duh yule kichaa!?"
Oscar alikubali na kumpa mkasa mzima na jukumu alilopewa na mganga.
"Dah, pole sana ila tatizo jamaa yangu ulikuwa unapita mno na wewe bora ningekuwa mimi maana wangu hawazidi watano"
"Acha tu hapa nawaza pakumpata Rehema nijaribishe nione kama nitapona"
"Twende huku tukamwangalie"
Bon alianza kuzunguka naye akimpeleka mitaa ambayo Rehema hupenda kutembea mara kwa mara lakini hawakufanikiwa kumpata mpaka siku hiyo inaisha.

Siku iliyofata asubuhi na mapema Oscar aliamkia tena kwenye kazi ya kumtafta Rehema na bahati kwake kuna mtu alimwonesha mahali Rehema alipokuwa.

Oscar alienda mpaka sehemu alipoonesha tena akikimbia huku mpini wake ukinesa na baadhi ya watu wakila chabo lakini hakujali zaidi ya kumuwahi Rehema.
"Gymmmmmmmm gymmmmm gymmmmm!, tokaaaa, tokaaa, tokaaaaaa, ana mb....ooo kubwa ana mb...ooo kubwaaa hiloooo kibamia"
Ni maneno yaliyokuwa yakitamkwa na Rehema aliyekuwa u...chi wa mnyama huku tunda lake likizu..ngukwa na bustani tu.
"Aaaaaaaah!"
Oscar aliongea na kutema mate chini kwa kinyaaa alichokiona kwa Rehema.......ITAENDELEA.

Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801

Namba za Malipo 👇👇👇👇

0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN..
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

HAIZIMI 07 ❤❤.  >>> https://gonga94.com/semajambo/haizimi-07
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

never give up harmonize
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
offa ya msimu wa nanenane
offa ya msimu wa nanenane

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest