Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

NIMEZAMA* 20๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹

9th Aug, 2025 Views 8


Nilisafisha kile chumba nikapanga vitu vizuri
kabisa pakawa Safi..kuchungulia kwenye
kabati nikakutana na ruแป“ndo la nguo chafu...khe
.. inamaana Lulu alivoondoka mara ya
mwisho aliacha nguo chafu kwenye kabati
lake ....mmh sikuwa na neno...nilichukua zile
nguo nikazama bafuni kuzifua....zilikuwa ni nguo
za mtu mzima pamoja na za watoto wakike...bas
wakat huo nlikua nmeacha simu yangu chumbani
kwangu ...nilipomaliza kufua nikaenda nje
kuanika...yaan nilizifulia zile nguo mlemle ndani
ya chumba cha Lulu bafuni kwake....nikaenda nje
nikaenda chumbani kwangu kuchek simu missed
call 16....ninani huyu?...Robby
Kuchek upande wa msg zipo 8 ...ny love njoo
unipe utulive..mama sweetheart ...achana
na Kazi njoo upumzike...yaan zilikuwa msg za
kunipa tabasamic. Bas hapo nikajaaa na
kujipa imani kuu kuwa napendwa mie bahati
ya mtende imeniangukia......nikaingia bafuni
kuoga nikavaa nguo yangu moja wapo kati ya zile
nilizopewa na Robby nikapendeza .nikaenda
jikon nikachukua chai chapati pamoja na matunda
nikaenda chumbani kwake...nikaingia
nikakuta Robby ameweka Pc kitandarni anaonge
na mtu yaan vidio cal.bas nikaweka ile
chai ...alivoniona Tu akazima lle pc akanishika
akanikalisha pale kitandani....bas nikiwaga na
Robby nashindwa kuhesabu idadi ya mabusu
ambayo huwa napigwa ndani ya nusu saa
hahahahahaaha
karibu mrembo wangu ...akanambia....asante
Robby.... karibu chai ... nikamwambia ooh
thank you so much mama...akachukua chai
akaanza Kwa kuninywesha Kama kawaida tukale
Kwa kupokezana tukamaliza ...naomba
unishike mikono nisimame...hee usimame Robby unawezaje?..

Nikamuuliza... mazoezi mama mdogo
mdogo nitaweza.
kweli nikamshika mikono akashuka pale kitandani
akaanza kujivuta hapo kavaa tshert ya dark blue
na bukta nyeupe fupi imembana bas kapendeza
huyo atari..... kaanza kujivuta huku kapitisha
mikono yake kwenye kiuno changu....hivi
mmeelewa nyie ? ....sikieni yaan ni
hivi nlivomshusha pale kitandani akaniachia
mikono akanishika kiuno ..bas nikawa
napiga hatua moja kurudi nyumba nae anapiga
hatua moja kuja mbele hhaahaha amazing Sana
..tulipiga hatua nyingi Sana ...Robby
pumzika...nikamwambia ..hapana mama twende
nina hamu Sana ya kusimama tena ili niharakishe
ndoa yangu.. Nina shida na watoto watano... khe
watano Robby...nilimuuliza..hahahaha
mbona wachache Sana tena hapo nimepunguza
Sana maana nilipangaga wawe 10 ila mama
akasema nipunguze kidogo Ikn Mimi nataka wawe
kumi ili vurugu zijae ndani kwangu .... aliongea
huku kanikazia macho alafu alikuwa serious
..daah watoto kumi kweli? Ndio na
huwezi kuchakaa maana matunzo ni hundred
percent.... kanij ibu....mmh nikaishia kuguna
Tu ....

bas kumbe wakat tunapiga story tayari Joel na
Mwaj walisharudi nyumbani na Lulu akiwa na
watoto wake wawili wakike mmoja miaka 12
mwingine 8....mara ghafla mlango wa chumbani
kwa Robby ukafunguliwa bila hodi watoto
machotara wakaingia wakatukuta tumeshikana
viuno...oh sorry sorry (samahani samahani)
si mnajua watoto wakikaa ughaibuni nao wanakua
na tabia za kizungu...bas wakawa wanatoka
nje ....heeeey come come (Robby akawaita)
nikamsogeza kitandani akakaa.... Millen( Yule
mkubwa) waaao umekua Sana ,na huyu Mishel
(mdogo) woote akawakumbatia pale vitoto vinaita
Tu anko anko mara anko hiki anko kile....hapo
Mimi nimekaa pembeni sielewi kitu maana
wanaongea kingereza Tu na niliishia la NNE D

.....bas mara ghafla Lulu huyu hapa...ni
mzuri mashaalah ....yaan anasura hiyo na mshepu
mzuri mweupe peee kamaa Robby vilevile. Na
wanafanana na Robby kama vitunguu... waaao
boss Lulu .waaao boss Robby nimekumis Sana
boss wangu wakapigana wao pale wakasalimiana
jmn walifurahi balaa....alaf wanapendaga kuitana
Daah fantastic sana...wakaongea Yao
pale ......
hello hujambo... Lulu akanambia...sijambo
shkamoo dada Lulu...nikamjibu....hee unanifaham
kumbe .....a. kaniuluza...ndio mama Lulu
alinambia kuhusu wewe....waao ...Boss
huyu ndo mfanyakazi mpya ? Lulu akamuuliza
Robby ... No no no boss huyu siyo mfanyakazi
she is my close friend anaitwa Sikitu (ni rafiki
yangu wa karibu Sana) ohoo mbona Yuko hapa
chumbani? ...

Ananihudumia si unajua miguu
yangu inashida....Boss hujapona Tu tangu kipindi
kile...shida aliyosababisha Maua mpaka leo
unateseka? Lulu akamuuliza Robby..naelekea
kupona boss huyu mwanadada amenisaidia
Sana( Mimi sasa) akamwambia ...okay fine bas
wakaendelea kupiga story pale nikaanza kuondoka
zangu
Mama unaenda wapi njoo tupige story ...Robby
akanambia...niache tu akapumzike atarudi
baadae..Lulu akasema
Bas nikatoka zangu nikaenda chumbani
kwangu kucheza gem la kwenye simu....nuda
huohuo ikaingia kutoka kwa Robby. u.siwe
mpweke mamma jiandae Leo usiku TUTAKUWA
PAMOJA ..yaan alindika Kwa herufi kubwa
kabisa..... hahahahaha

ITAENDELEA

FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000
NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NIMEZAMA* 20๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹  >>> https://gonga94.com/semajambo/nimezama-20
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

gonga94 official track
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest