Kusikia vile aibu jamani aibu mkojo ukanibana .....hahahaaha...kaka Robby nataka niende chooni..... kufanya nini.... ..aliniuliza ...khe๐คฏ huyu mbuzi nini kwani chooni wanaendaga kupika sambusa au ๐ง...niliwaza .....eeh wamama mlijua nmemwambia subutuuuuu.... weeee nimwambie nije nifukuzwe kazi tamuonea wapi Robby mie hahahah,๐๐........naenda kujisaidia kaka....nilimwambia ohooo sawa. Nenda.....niliinuka kuufata mlango wa kuelekea nje .....wewe sikitu choo kile pale .....๐ณ Mamamamamamamama ....hapa sina ujanja kumbe pana choo hapahapa ndani ........kaka cha nje ndo nimezoea ....... nilimwambia.... kumbuka tumekubaliana usiondoke bila ya ruhusa yangu.......hapohapo nikanywea .....nikarudisha vigimbi vyangu ndani๐ถ......aibu kama kobe......
huyu sasa anataka kunizoea mbona ana amri hivi kwani mi mkewake .......niliwaza. ....kwanza kikazi chenyewe naacha leoleo sipendagi vimtu vyenye amri mimi.......mmmh Lkn niache kazi ? Wee Robby nitamuona wapi๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ....
yooote hayo yalikuwa ni mawazo ambayo niliyawaza Fasta Nikiwa natembea taratibu kuelekea toilet kwa Robby.......nilifungua mlango .....kabla sijaingia toilet.......ukimaliza uniite nije nikuvalishe ๐ณ.....Robby aliongea...huyu kichaa nini kwanza hata kutembea hawezi anivalishe nini kwani mimi sina mikono kione kule....hahahahaha...niliwaza na kuzama toilet ........nilikojoa mpaka mkojo ukaisha Lkn nikabaki nimeduwaaa kushangaa kile ni choo au saloon ya kiume?
Khe...... jamani kuna watu wanaishi sisi wengine tuna sukuma wiki tu.......choo kimejaa vioo ...choo kina mashine ya kunyolea na kiti cha kuzunguka choo kinanukia marashi ....yaan chooni kimejaa spray jmn kha.....
hakuna harufu ya kmba kama ukipita kule bonyokwa kila chocho unakutana na harufu ya kmba๐คฃ๐คฃ...mkaka huyu huwa hanyi au ...nilijiuliza.....mbona hakunikii hata mkojo.......nilivomaliza kukojoa yaani nilimwaga maji ndoo tatu kubwa ili kuzuia harufu isije haribu choo cha watu bure๐คฃ....je ningekuny je walau ningemwaga pipa zima๐คฃ...sikujua jinsi ya kuflash kabisa ......hivyo nilipomaliza tu kumwaga maji ...nikavuta mlango ili nitoke....kufika tu pale chumbani uso kwa uso na mama lulu๐ณ....
Khe mama shkamoo ...nilijibalaguza......mwanangu si tulikuwa wote hapa mda cyo mrefu? Mbona shkamoo tena....aaah aaaash aaah.....okay leo ni Ijumaa kesho ni sabato naomba utamuandaa kaka yako kwaajili ya kwenda kufungua Sabato jion saa kumi na mbili ...pia ikiandaliwa nguo smart za kwendea kesho kanisani....wewe pia unakaribishwa kama utapenda kushiriki nasi ibada .....anhaa sawa mama hakuna shida tutakuwa pamoja ...... Sawa mwanangu sasa .....njoo huku jikoni umchukulie Robby chai atakuwa na njaa ...... na wewe pia uje unywe chai mwanangu.....sawa mama .....
nilitoka na mama lulu nikaenda hadi jikoni nikachukua sles nane za mkate nikazipaka pinet na jam na makolokolo mengine maana nilifundishwa na mama lulu.....nikabeba chupa ya maziwa fresh na kikombe kisha nikaenda chumbani kwa Robby........niligonga mlango.....ingia tu mamy ......ila nyie tuache utani Robby anaita vizuri daah yaaan ile mammy mpaka unahisi roho inachomoka kwa raha๐คฃ๐คฃ๐คฃ......niliingia na kuweka kile kisinia cha chai pale kitandani kwake.......oooh asante mamy ....kuna meza pale kwenye kabati kailete .... Nilienda kufungua kabati na kutoa kimeza flani kilikuwa kizuri kimekunjwa kama vile vya wakorea nikampelekea ........akakichukua na kukiweka pale kitandani kisha akaniambia nimmiminie chai ........nilimimina chai nikampatia .....waao leo tunakunywa chai pamoja kwenye kikombe kimoja....๐ณ Kaka Robby .....abee dada sikitu...aliitikia ....nilivunja mbavu baada ya kusikia Abeee ......mimi chai yangu ipo kule sebuleni .. ngoja nikainywee ...nikainuka fasta ili nikimbie.......subiri kwanza mamy .... tulikubaliana usiondoke bila ruhusa yangu....sijakuruhusu kwenda popote chai tunakunywa wote hapa ......tutapokezana kama togwa........nilishindwa kujizuia jamani ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ....nilivunja mbavu........
ITAENDELEA
FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000
NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA.
   
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.