Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

NIMEMUONJESHA ASALI MAFIA BOSS EP 16.

10th Aug, 2025 Views 24



Kila mtu alinielewa hata D, tulifanya mipango yetu kimya kimya hakuna kutoka D pekee ndie alitoka na kuludi kwa njia za panya, alikuwa na vijana wa siri sana aliowalea yeye mwenyewe, aliwaficha na sasa alitaka kuwatumia kwa ajili ya ulinzi...

Siku moja D aliludi nyumbani akiwa na jeraha, la risasi, kila mtu alipata hofu, D ivi huwezi kutulia bila kutoka kwa muda kidogo?
Darian; unahifu juu yangu? Vipi umeanza kunpenda....

Sikumjibu kitu, nilimhudumia tu kimya kimya, nilifanya mizungukk mingi nikajikuta napata kizunguzungu, nikaanguka, ila sikuzima,D alinidaka nakuniuliza, unaumwa na husemi? Amna D niko sawa ni kizunguzungu tu, D akaenda kumwambia mama, na mama angu, alimjibu tu, huyo hana shida yoyote, anasumbuliwa na mtoto wenu huyo, huenda hataki mizunguko, D alishtuka akataka uhakika zaidi, alikuwa akitamani sana mtoto...

Alinitoka mbio nje kaludi na kipimo cha mimba, mimi mwenyewe hata sikuwa najua kama kweli ninayo, nilipima ngoma ikaleta kitu imo, sijawai kumuona D akicheka toka namuona, akijitahidi kucheka mjue kakenua, ila leo alicheka na kunibeba juu juu...

Alifulahi kupita kiasi, manka naomba saivi usifanye chochote, mimi nitakuwa nafanya kazi ndo naondoka, na kama kuna kitu unataka niambie tu nitafanya, au kama kuna kitu kinakukela, wewe niambie tu mke wangu mimi nitaacha...

Niliguna tu nikajibu, acha kutuoa ahadi usizoweza kutimiza, alinisogelea nakujibu " niamini naweza kutimiza kwa ajili yako na mtoto nitaweza...

Unaweza kuwa romantic, mfano ukiniona nimenuna, uniulize tatizo nini? , unaweza kuacha kunipiga nikikukosea?, unaweza kushukuru ata baada ya kukupa utamu, badala ya kumaliza tu ata kunijali hunijali, wala kuonyesha kufurahi furaha yako naiona ukiwa hujalidhika tu ila ukisharidhika huyo na mambo yako...

Manka mke wangu,mimi sijui kama inatakiwa kuwa hivyo mfano ukinina, mimi huwa nahisi huenda unapaswa kuzungumza tatizo moja kwa moja sio mpaka nikuulize, some time nahisi unahitaji utulivu, ila nimekuelewa nitakuwa nauliza nitajilekebisha kila kitu...

Nilimtizama nikakumbuka, afu atanikivaa nguo moya huwa haunisifii, akati mimi napendeza kwa ajili yako, watu wengine tu ndo wananisifia wewe sasa ninaepambana unione niko ๐Ÿ’ฅ ata kuniangalia tu huwa huangalii, mtu unatoka saluni umesukwa barabarani kila mtu anskusifia ila nikija kwako, ata kutambua tu kuwa leo manka kasuka sijui kama huwa unatambua, yani wewe ni shwaa shwaaa shwaaaa....

Leo penyewe ndo nakuona kwa mala ya kwanza umecheka, ungekuwa basi unacheka hivyo ata na mimi tu chumbani si ningekuwa nishajineneoea mwenyewe, ila sasa mtu muda wote kama tuko vitani, dah...

Sawa mke wangu kila kitu nitajilekebisha unavyotaka, naenda uwe proup na mimi mmeo japo kuna vitu kweli naweza nikawa najisahau , usichukulie vibaya kuna vitu inakuwa ngumu kukumbuka muda wote ninachojua mke wangu muda wote ni mrembo, na jinsi ulivyomsafi, huwa sifikilii kama napaswa kukusifia nikijisahau usikasilike, nimefurahi kutambua kuwa mke wangu, huwa anapendeza kwa ajili yangu, hilo litanifanya nikumbuke wajibu wangu, kila nikuonapo...

Itaendelea....๐Ÿ’ฅ

Full 1000
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NIMEMUONJESHA ASALI MAFIA BOSS EP 16.  >>> https://gonga94.com/semajambo/nimemuonjesha-asali-mafia-boss-ep-16
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

gonga94 official track
SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest