Nilitabasamu, sasa sikuwa hata na hamu na yeye nimechoka na kusema siwezi kabisa. Lakini kabla sijafanya kitu chochote kile mwanamke wangu alinivuta kitandani na akaniweka chini yeye akawa juu yangu.
Nikawa namtazama yeye anatabasamu na taratibu midomo yake ikawa kwenye midomo yangu. Alianza kunibusu vile anavyotaka, kiukweli alijitahidi kufanya kila alichoweza kunifanya nifurahie.
Mwanamke wangu huyu anapenda sana mapenzi, kiukweli sina hakika sana kama nimewahi kumridhisha. Nina uthubutu wa kusema hivi kwasababu kwanza hajawahi kuchoka, hajawahi kutosheka unaweza wewe ukachoka hoi ukamuacha hapo na yeye bado anataka, kuna muda mpaka namuuliza “baby umetosheka?”
Anatabasamu na kusema “Yes babe, thanks so much nakupenda.”
Lakini ukimtazama wewe ndiyo umechoka yeye bado yupi vizuri kabisa. Hivyo hata siku hii nilikuwa hoi, mwenzangu anasema “baby please niongeze, baby nichape tena”
Ninamtazama nasema “utaniua we mwanamke, si unajua tulikuwa na siku ngumu eenh?”
Basi yeye anasema “basi wewe lala tu, mimi nitafanya mwenyewe.”
Namuangalia mpaka nakasirika na hajali hata. Huyu ndiyo mwanamke wangu mimi ambaye nimemuoa.
Nimelala zangu nimenuna, fungate wala sifurahii na hapa moyoni nina jambo langu ndiyo kabisa. Ninakumbuka mke wangu alinisogelea, na kulala mwilini mwangu kumtoa siwezi ila sasa inabidi nivumilie.
Yupo hapo ananiambia “ndiyo maana nakupenda mpenzi, wewe ni msweet sana. I love you hubby!
INAENDELEA..
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments