Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈♥️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ SEHEMU YA 18

21st Aug, 2025 Views 59



Alex Alijikuta Anaonesha Ushilikiano Kwa Trisha 🥰 Kazi yao Kubwa Ilikua Kubadilishana Juice asilia ya Mungu iliyotiwa Kwenye midomo yao
"I really Love You Trishaa"
Alex Aliongea Huku akimtazama Usoni
Walitazaman KwaDakk Nzimaa Japo Giza Lakin macho yao Yalionana vyema

Usiku Huu Ulikua Ni Usiku Mkubwa Sana Kwao Ulikua Usiku Wa Historia maishani mwao Ni Usiku Ambao waliusubiri KWA Miaka Mingi kabla ya Kukutana Kwao

"Hata Siamin bado Kama Ni wewe Wa Mchana Nawew huyo huyo wa Usiku Nakupenda Sana Mr Handsome"

Trisha Alitoa yake Ya Moyoni KWA Napama Stini Akiwa Yupo kwenye Miguu Ya Alex Aliekaa Chini kwenye Majani Mafupi hata Hawakujali pachafu au Pa Safi
"Naitwa Alex Niite Alex "
Alex Alimtambulisha Jina Lake Halisi Trisha
"Wooh Jina Zuri Kama Wewe Ulivyo ILa Wewe Umezidi U_handsome Siwezi Vunjwa Kiuno Kweli Na Wapenz Wako "
Alex Alikua akicheka Cheka tu Ukizingatia Ni Mgeni Kabisa Kwenye Mapenz,,,
Ye Na Mapenzi Wapi na wapi
Sàsa moyo wake KWA Mara Ya Kwanza umeanguka KWA Trisha bint mbichi Na Mwenye Urembo wa asiri Asie na Mengi

"Mpenzi wangu Trisha najua Hawezi Kujivunja Miguu 😘"

Alex Alimbusu Trisha kumtuliza Mtoto Aache Wenge Yupo Peke yake

"Mbona Hujaniuliza chochote Kuhusu Usiku Ule Kwanini Unaniamini Trisha"

"Noo! Bby nimapema Sana Kwanini Tusiongelee Mapenz yetu Haya Ndo Tumeyaanza Leo Alafu Tuanze Kuongea habar za Watu Wengine We Kwanini uliniamin Unajua wazi KILA Mtu ananitafuta Mimi Ili Kukupata wewe na Wewe ulinisaidia Mpaka Hapo sitakiwi Kukuamin"

"Lakini T mimi Ni muua.....😘
Kabla Hajafikisha neno Lake Alex
Trisha alimpa Busu la Mdomo Kuashilia Anyamaze

"Kwao wewe Ni JAMBAZI Lakin Kwangu Wewe Ni Gentleman Kwasasa Sitaki Kuharibu Furaha Yangu Plzz Alex najua Kuna story Nyuma Lakn Niahidi Kama Kweli Umefanya basi Hauta Fanya nitatembea nawewe kwenye Vipindi Vyote Hata Kama kwenye Tanuri la Moto Nitavua Viatu tupite Wote Nakupenda Sana Alex"

Alex Hakuweza hata Kujibu Akimkumbatia Trisha Huku Machozi yanamtoka
"I Found That Women Mama (mama Nimempata Yule Mwanamke) Alex Aliongea Mwenyew Kiasi Mpk Trisha Alisikia
"Ukoo sàwa Alex "
"Naomba Unisamehe sana Tumekutana Vibaya"
"Hapana Alex Ilikua Lazima iwe Hivi Alafu Tukutane Kipenz "

Walikuja Kushtuka Waadhini wa Alfajr wanaita Walio amin Waenda kumshukuru Mungu Wao
"Mungu Wangu Mbona Leo Pamewah Sana Kukucha"
Trisha Alishangaa hata Hajatosheka Kukaa na Mpenzi wake Mpya Mda Umeisha
"Trisha Baby Naomba Tuondoke Nitarudi Tena Kuwa Makini Sitaki Kukuona na yule Mtu Jamaa Simpendi Na Simjui ni nani Ila Sitaki Kukuona ukiwa karibu nae "

Alex Alimchimba mkwara Trisha Kuhusu Aizack
"Tuna Mengi sana ya Kuongea Trisha Nitunzie Siri Yangu "

"Siri Yako ni siri Yangu Alex Wewe ni mimi Kwasasa Nakupenda"

Hatimae Watu walianza Kupita pita Maeneo yale Si Trisha wala Alex Hakuna Hata Mmoja Alitaman Kumuacha Mwenzie

Walibaki wanaagana Na kuagana Alex alinkumbatia wakakumbatiana Watu Walio Kuwa Wachache wanapita Maeneo Hayo walibak Kuwatazama Tu
"Mpenzi Wangu Nataman Kubaki Hapa lakini wacha Niende Nikaweka mazingira sàwa Nitakuja "

"Usiende Jumla Tafadhar sina Pa Kukupata mie Nipe Hata Namba Ya Simu basii "

Alex Alitoa Namba Ambayo anatumia Na boss Wake Alex hakua Na Simu KWA Sababu hakua Na Mtu wa Kuwasiliana Nae
Simu yake Ilikua Moja Ya kazi Na ina_namba Moja tu 8 ya muajiri Wake

Sàsa Inaingiza namba ya pili ambao ni Trishaa wake

Kishingo Upande sanaaa waliagana mana pamesha Kucha

Trisha Alifika nyumbn Akiwa anacheka Cheka Tu alikua Ni mtu Mwenye mood Nzuri Ambayo Pengine Hajawah Kukutana Nayo kwenye MAISHA Yake
"TRISHAAA"
Alipo Karibia Maeneo ya Kwao Alipokelewa na Sauti Kali ya Ray

Alikuja Aizack Haraka Akamkimbilia
"Vipi Upo salama Trishaa Ulikua wapi"
Aliongea Aizack akionesha mtu Mwenye wasiwasi sanaaa
"We nae asubuhi asubuhi Hivi Vipi Nyumbani mwa Watu"
Trishaa alimuuliza Aizack Badala ya Kujibu

"Yaan Wewe niwaajabu kweli Mtu Tumemsumbua KWA ajiliyako Afu Hujali wala Nini Unajua Tumeanza Kukutafuta sangp?"
Da T alimkalipia Trisha
Trisha Alisogea Mpaka Alipo Dada yake Akamshika Mikono KWA Upole Kabisa
"Nisamehe dada Nilitaman tu Kutoka Niwe Sehem Kutuliza Akili Naomba Mnisahe sana Sàsa Hivi nipo Vizuriiiii Kuanzia Leo Nitakua Happy Nimeamua Kuacha KILA kitu Sàsa"

Trisha Alidanganya Hakutaka Wajue Kwanza Nini anafanya na amefanya
"Aizack asantee kwa Kujali "
Alimgeukia Aizack
Wakaingia Ndani Kikao Hicho cha Dharula kilifanyiwa Nje ya Geti lao

Alex Hakuenda Nyumbani Baada ya Kuaga Na Trisha
Alihakikisha Trisha Anafika kwao kwanza bila Trisha Kujua KILA kilichoendelea Pale Alikishuhudia Lakini Hakusika Maneno
"Huyu Jamaa ni nani? Kuna Haja Ya Kufatilia Taarifa zake "
Alex Aliongea Mwenyew na Baada Ya Kuona wameingia Ndani Alianza Kuondoka
(Umefika Sweetie)
Msg iliingia Kwenye Simu Yake Akiwa Bado Yupo Maeneo Hayo ya Kina Trisha
Jina Lililotuma Msg Hiyo Limeseviwa My Queen❤️

Alisimaisha Pikipiki na Kutulia Amjibu Bibie
(Ndio Queen Vipi Wewe Umefika Salama )
(Yeah Nmekuta Wananitafuta tu)

(Na Jamaa Yako Yule Yupo nae)
Alex Alituma Akimaanisha Aizack
(Nimemkuta ndio Lakini Usijali Kipenz Changu Nitakaa nae Mbali Alex Nimekumisi sana my love Fanya Uje Tena nikuone)

Alex Aliachia Tabasam 😍
(Toka Nje my Queen Utanikuta)

Trishaa Alitoka Haraka Kwenda nje asiamini kama Kweli
KWA Mbalii Alimuona Alex Yupo Akiwa Anamtazama
Alianza Kukimbia kumfata Alipo

Simu ya Alex iliita Kabla Trisha hajamfikia
Namba Ilikua mpya Kabisa
"Usifanye Ujinga wowote Huyo bint Anafatiliwa na Police Haraka ondoka Hapo Ninakuona Na Nitampga Shaba Huyo Bint "
Alex aliishiwa Nguvu Penzi ndo KWanza lina Siku Moja Tena masaa

Alipiga Hesabu za Haraka Haraka

Trisha Alishuhudia Piki Piki Ikiondoka kwa Kasi Sanaaa Eneo Lile Alex Anapotea Kabisa Kwenye macho Yake

.....

Ofa malizia mpaka season two
Soma mpaka mwisho kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NI JAMBAZI ILA ANAYAJUA MAHABA 🙈♥️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ SEHEMU YA 18  >>> https://gonga94.com/semajambo/ni-jambazi-ila-anayajua-mahaba-sehemu-ya-18

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest