Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  never give up harmonize

JAMANI BOSS USIWEKE๐Ÿซฃ* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*

25th Aug, 2025 Views 82



Alikubali kila kitu,baada ya wiki 2 tuliingia wote kazini mimi na yeye toka tufunge ndoa ni mwezi sasa hatujafika ofcn, ajabu kufika sectary alieajiliwa ni mke wa P, na ameshajitangaza na picha ya ndoa yao kabandika ukutani kwa kila mfanyakazi, ni kusemwa tu nasemwa, yani niliishiwa pozi, P hakuingia ofcn alikuja ofcn kwangu, kakuta ninaandika barua ya kuacha kazi, alinikumbatia tu...

Akaitisha mkutano wa wafanyakazi wote,kumbe yule mke wa p alivyojua tu leo tumefika alihisi tu ataaibishwa, akampigia mama mkwe wake aje kuokoa jahazi, tukiwa kwenye mkutano wa dharula, P aliwatangazia wote marufuku kuweka picha yoyote ofcn kwake, kama sio yeye, basi mtu mwenye mamlaka ni mimi,huyo mwingine yeye hamtambui ni ex wife,mbele ya mkewe, mwanamke akainuka akaanza kutengeneza ramasha, apo kashjifinza kishwahili japo hajakushika sana ila tayali kashaanza kukijua na anakiongea..

Bado hatujatulia mama mtu kaja, kawaka vibaya mno, P alichofanya aliita walinzi wamtoe mama ake na mke wake afu akatoa tamko, anamke mmoja sasa mtu ajimix, akanitoa nje tukapanda gari kurudi nyumbani, nilikuwa kimya nikamuomba tu anipeleke kule kituo cha kulelea watoto, alinitizama na kuniomba msamaa, akasema hatuwezi kwenda mikoni mitupu tupite tuhemee, vitu yeye bale ni mfadhili pia siku ile ananikuta pale alienda kusaini mkataba wa ufadhili...

Tulihemea vitu vya kutosha tukaenda bavyo, watoto walivyoniona walifurahi, walinifanya nikasahau kabisa kama niko kwenye matatizo makubwa, P alifulahi mno kuona nilivyona furaha akajua kabisa kumbe nikiwa siko sawa, awe ananileta apa, na kabla hatujaondoka bibi akaja na yule mtoto aliemchukua apa nilifurahi kiwaona jamani, bibi alinijaza pia ushujaa tukampa pesa na joel mtoto aliem adapt tukaomba aje afike nyumbani ajua dada ake naishi wapi...

Tuliondoka nikiwa bado natamani kubaki ila sina ujanja, lakini leo nilikuwa na amani japo sio sana ila angalau,P aliniuliza najisikua kufanya nini, nilimwambia tu anifungulie biashara mimi kazini tena siendi, alikubali akasema alishafanyia kazi hilo, ametafuta flane tupite nizione, kwanza zimepatikana nne, tulipita kuna hio location moja aisee ilikuwa pazuli mno, ila kumbe ni jilani na kampuni mpya ya P mi ata sikujua na niliipenda...

Alikubali na kusema, "Le wewe ni ubavu wangu halali hapa ulipochagua ni jilani na kampuni ya mmeo, muda huo tayali nilishasaini nakulipiwa kodi ya miaka miwili, nikashangaa akanipeleka mpaka pale, akanitambulisha kwa wafanyakazi, akaomba mtu yeyote akija ata kama anapicha ya ndoa yake na yeye, asipewe nafasi ya kuingia aliwapa angalizo na ata kama ni mzazi wangu, wote walielewa Amir alikuja pia, akasema gari ya shem imeshafika naomba nikaichukue bandarini, nilimtizama P nayeye akanitizama, akamluhusu Amir akaomba tubaki wote mpaka Amir aje ndo tuondoke lakini pia anahamua hapa lasmi kufanya kazi kule ataenda Bamdogo wake...

Hii ilinifulahisha sana, nikamkumbatia kabisa, akajua wivu ulikuwa unanitafuna kimya kimya,nilikaa nae tukaagiza chakula ila mimi kikanishinda, nikawa sikielewi, ikabidi niagiziwe kingine nachenyewe kikanishinda, " Le mke wangu au unaumwa? Ata sijui lakini nina njaa sana, adi nikaanza kulia kisa njaa,P akachanganyikiwa akapika dada anauza keki za vipande, nikamuita uku nalia nikachukua moja ikanivutia nikaomba kumi, P alinitizama akakausha ila kwa ulaji wangu alijua kabisa kumi siwezi huwa nakula mbili au moja...

Alilipia nikaanza kula nilizipiga zote nikaagiza na soda sprite,nikaipiga yote, sikubakiza chochote,apo nikawa na furaha tu,P alinishangaa mpaka nikajua ananishangaa nikaanza kulia, akajua sasa hii mbona mpya sio kawaida yangu kulia lia ovyo..Kupata full

Itaendelea....๐Ÿ’ฅ
Offer offer offer
Soma yote kwa sh 800
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI BOSS USIWEKE๐Ÿซฃ* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  >>> https://gonga94.com/semajambo/jamani-boss-usiweke-_____________________________________-sehemu-ya-kumi-na-sita

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
never give up harmonize
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
VERY HANDSOME ?Lover boy??
VERY HANDSOME ?Lover boy??

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest