Nilishtuka nikainuka akanikamata mkono, kisha akasema, D naomba tuonge plz mamy๐, nilimtizama kwa hasira, kwa hio kuongea mpaka tushikane viuno?, nisamee nimetereza tu,nilimtizama nikakaa, akaanza " D naomba tu niwe muwazi mwenzio nakupenda naomba unipe nafasi, nahitaji uwe mke wangu, aisee yani kukuheshimu kote unakuja kuniambia utumbo gani ๐ค, au kwa sababu nililewa siku ile sasa unataka kutumia hicho kigezo, " No D umenielewa vibaya, mimi sijaanza kukupenda jana, nakupenda mda, nini? Huo mda mimi umenijulia wapi? " P aliogopa kusema alisema " D kwa sasa sitokwambia hilo ila jua ni kitambo sana, nakuelewa sitanii namaanisha kutoka moyoni...
Ngoja nikwambie tu ni ivi mimi na mahusiano ni paka na panya, hakuna kiumbe nakichukia kama mwanaume, sasa basi naomba futa uo ujinga kichwani kwako ubaki kuwa Boss wangu Basiii ayo unayowaza kwangu haiwezekani sina imani na nyie viumbe, tena koma usijekusubutu hata kunitamani nakuapia patachimbika, niliongea kwa hasira sana mpaka P akakosa nguvu za kuongea chochote akabaki tu kuumia, akaona kwa jinsi nilivyopanic aniache kwanza...
Alitoka bila kuaga huku anataka kulia, nilichukia nikajikuta napata hasira mno, nikagomba mpaka hasira zilipotulia nikalala kabisa, mchana njaa ikaanza ikabidi nipike tu chai tena sikuwa na namna,upande wa Prince alianza kulia mwenyewe, akamwita rafiki yake amshauri, akamwambia acha kulia huenda amejeruhiwa sana, ama lile tukio la utotoni lilimuathiri ki saikorojia, mpe mda na usikate tamaa juu yake, endelea mi naamini ipo siku atakukuerewa na atakuwa wako,hapana bro natakiwi kutumia akiri ya ziada sina muda wa kusubiri zaidi, nampenda ๐ญ, umeplan nini? " Nitajua cha kufanya bro ila siwezi kukubari kumkosa, aliinuka kama mtu alieshtuka na jambo furani,alikuja alienda mpaka kwake, akalala kabisa hakutaka usumbufu aliamka muda wa kwenda kazini...
Alikuja kunichukua kakuta nimeshasepa kitambo,akaja kazini na kunipa kazi nyingi kimya kimya, ni vitendo tu, tuliingia saa moja jioni, tukafikia chumba cha upasuaji, nilipewa maelekezo kwa makini kazi ikaanza ilikuwa ngumu nilichoka, mpaka wanamaliza kila kitu miguu inauma kwa kusimama, niliamua kuwa mpole, tumemaliza akaniambia nimfate, tumefika ofcn kwake akaanza kuniambia anahitaji kunifanyia checup, heee Doctor Boss mi siumwi, akanitizama jicho kari sijawai muona nalo, nikawa mpole akaanza kunipima mala ananiuliza mala ya mwisho kuingia period...
Nilijibu lakini kishingo upande alivyo maliza akaniambia nikapumzike lakini alikuwa kwenye uso tena wa tabasamu,hiii wiki yote iliisha kwa kimya kimya,wiki iliyofata nilikuwa mchana, siku ya kwanza nilivyofika nikawa nasikia tu fununu CEO kaondoka kaenda kwenye biashara zake zingine, angarau saivi tutapumzika,sikufatikia niliendelea na kazi apa ndo niliipata vizuri kumbe kule nilikuwa nadekezwa napewa mpaka kitanda yani uku ilikuwa ni mwendo wa usafi, kuchoma sindano wagonjwa, kuwasafisha majeraha kuhakikisha wanapata dawa kwa wakati, tena nikawekwa wodini nyie ๐, aisee iki kipindi ndo nilijua ness ni zaidi ya doctor, mambo tuyayofanya doctor hafiki na vitu tunavyovijua ni zaidi ya doctor, kwa sababu tunafanya kazi na madoctor tofauti tofauti tinajifunza aina nyingi za tiba na tunajua ipi inafanya kazi vizuli kuliko ya nani, na takwimunza wagonjwa tofauti tofauti, zinafamya tunakuwa bora na kuna muda tunakuwa walimu kwa madoctor, na ushauli wetu siku zote unakuwa the best kuliko ata wa doctor, ila kazi yetu ni ngumu hakuna kupumua, unaludi ukiwa umechoka ata muda wa kuzurula huna๐ญ...
Usiku wa day 2 nililudi zangu mapema saa 12 jioni, nikapika chakula nikala nikalala kumbe ule uchovu sijafunga mlango, nikiwa usingizini nikashtukia, kama napapashwa ivi, nikapuuza na ule uchovu nikawa nahisi ni ndoto tu, nikawa nanyonywa matiti, nimelala na khanga tu ila nikahisi sina ata hio khanga nikaendelea kuuuza mpaka nikahisi ukimi unapita kwenye kiharage changu...
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapa juu au chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu...
Full 1000
Whatsp 0784468229.
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments