Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

SIKUJUA LECTURER NI MJEDA 10 Alijua kuwa anatengeneza ukaribu kati yetu Kumbe

18th Sep, 2025 Views 26

ndio alikuwa anazidi kuharibu mara dufu yaan...
Maisha yangu yakawa yanaendelea ila nilikuwa nina mawazo sana kuhusu hatma yangu, siku ambayo wazaz wangu watakuja kujua kuwa sijafanya mitihan ya mwisho na siwez kupata cheti na wakati ndio wananitegemea, nilikuwa nahisi kuishiwa nguvu...
Siku ilipita ila kwa tabu nayo, kesho yake nikatoka nikaenda chuo maana kuna mashoga zangu hawakuwa wamemaliza mitihan maana wao walikuwa kwenye mchepuo tofauti na ambao nachukua mimi...
Nilipofika nikashangaa nakutana na ex boyfriend aliponiona alanifata na kuanza kunitukana..
"Unajua kabisa wewe sio mwanachuo na huwez kupata cheti, ila unakosa aibu na kuendelea kuja chuon, unataka uwaponze na wenzako nini..

Nikacheka kwa dharau na kusema " ingekuwa wanaokuja chuon n wanachuo na malecturer pekee nadhan mpaka sasa hivi ungekuwa unatembea na hotpot manaa hata chakula kisingekuwepo, labda niseme tu nimekuja hapa kwa sababu ya kutafuta wateja, kama unataka kununua na ukafika bei njoo nunua...

"Unaweza kuuza nn wewe, labda uuze mwili wako, akasema..
"Ewaaa hivyo hivyo, kumbe unajua naweza kuuza mwili wangu, njoo nunua basi, maana siunajua ninavyonuka njaa angalau unipunguzie umaskin, na nikuambie tu, ile bikra yangu nimeshaitoa hivyo sasa hivi hautapata shida ukikutana na mimi9 tena, na wanasema kuwa mimi ni mtamu balaa, sijui ndio inabana sana, yaan ukigusa tu wazungu hao dakika za kuhesabu..

Sikuwah kumjibusha lakin sikujua ule ujasiri niliupata wapi, maana nilikuwa najibu kwa kujiamin kana kwamba majibu yalikuwa sehemu nayasoma, ex boyfriend akaniangalia kwa hasira sana, ni kama hata yeye mwenyewe hakuwa anategemea kabisa kama naweza kumjibu vile ambavyo nilikuwa namjibu wakati ule, aliniona kama mwanamke wa tofauti sana ambae hakuwah kumjua, alishazoea kunioa mnyonge na kunionea sana, alikosa cha kujibu na kama tunavyojua wanaume sio watu wa kujibishana sana, hivyo akaniangalia kwa dakika kadhaa kisha akaondoka zake..

Sijui kwanini nilijisikia vizuri sana nilipoona amekasirika, nikatabasamu na kujisemea kuwa " angalau nimemfundisha adabu...
Kume stepahan akaanza kuteswa na kujiamin kwangu, mwanzo hakuamin kama Yule mwanaume alikuwa mwanaume wangu, na kumbe alishafatilia na akajua ni mmoja wa wakufunzi pale chuoni, alijoona kama mjinga kumuacha mwanamke kama mimi, alijiaminisha kuwa alikuwa ananipenda sana, ila sikuwa nadhan kama alikuwa ananipenda ila ni kwamba anaumia kwa nini amenikosea na alikuwa anajua kuwa nampenda kupita kitu chochote kile na nipo sawa, alitegemea kuniona nachanganyikiwa lakini badala yake naendelea kunawiri na kupendeza kwa raha zangu…

Alienda akawaza sana, kuna muda alimuona flora kama sio mwanamke sahihi kwake, alitaman kurudiana na mimi, ila hakujua ataanzia wapi, maana alinikosea sana, na sio kwamba alikuwa anataka kurudiana na mimi kwa kuwa ananipenda sana, ila kwakuwa ni kwanini siumii kama anavyotegemea, na siku zote wanawake, kama mwanaume alikuumiza na akataka kurudi kwako usikae ukajidanganya kuwa anakupenda sana na hawezi kuishi bila ww, ila ukweli ni kwamba anashangaa ni kwanini hauumii kama ambavyo ametegemea yeye, hivyo kama alikuumiza kidogo, subiria kulazwa kwa matukio ambayo atakuwa anakupiga mfululizo…

Akawa anatuma sms ya kuomba msamaha alafu anafuta, anatuma alafu anafuta, kuna muda akili na moyo wake ulikuwa unamuambia kuwa anatakiwa kuniomba msamaha na kuomba mambo yarudi kama ambavyo yalikuwa mwanzo, ila kuna wakati akawa amebaki ameshika simu yake akiamini kuniomba msamaha ni kama udhaifu na hakutaka kuonekana dhaifu mbele yangu….
Kuna muda nikawa nikifikiria kuhusu Stephan najiona bonge la fala yaan, sijui hata nilikuwa naumia na kuwaza nini kwa kinyago cha mpapure kama yeye, ila mapenzi jamani, yaan ingekuwa kipindi kingine ningeshaanza kumuomba msamaha hata kama nilikuwa nimekosewa mimi…

ITAENDELEA ...

Full 1000
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SIKUJUA LECTURER NI MJEDA 10 Alijua kuwa anatengeneza ukaribu kati yetu Kumbe  >>> https://gonga94.com/semajambo/sikujua-lecturer-ni-mjeda-10-alijua-kuwa-anatengeneza-ukaribu-kati-yetu-kumbe

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Tangazo - Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest