Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

πŸ”₯UWIIIIIIIIIIIIIII BABA MDOGO MIMI MWANAOπŸ”₯ Sehemu ya pili. πŸ‘‰ Wewe tanua nitakupiga sasa...πŸ‘‡ Mimi nikizidiwa nataka tu haki yangu ya ndoa.

17th Sep, 2025 Views 36



( Niliweka viganja vya mikono kwenye masikio yangu na nikakandamiza kabisa lengo nisisikie maongezi ya baba...msongo wa mawazo na usingizi ukanichukua ikawa afadhali kwangu...mimi ndio wa kwanza kuamka pale sebuleni....asubuhi nikaamka nikafanya usafi...mama akaamka akafua nguo za mikojo yani kama vile anakaa na mtoto mdogo...baba akaamka akaoga akaondoka...mama anapokea simu kutoka kwa mama mdogo mke wa baba mdogo)

" Nataka nikutumie nauli nitume kwenye namba hii.

" Ndio.

" Maana nimeshindwa kutuma kwenye namba ya Shemeji kwa sababu mdogo wake ameniambia aliwai kumtumia nauli akainywea pombe.

" Mwenzangu mimi nina mtihani sana mume wangu siku izi anakunywa pombe kweli kweli.

" Ndio ndoa iyo mwenzangu kikubwa uvumilivu.

" Sawa.

( Dk 5 mbele mama akatumiwa nauli mimi niende dar kwa baba mdogo...basi sasa nikaanza kufua zile nguo afadhali afadhali kidogo hili niondoke nazo mama ananipa husia wakati mimi nafua)

" Mwanangu unaenda kwenye jiji lenye kila aina ya kabira lenye kila aina ya rangi naomba mwanangu ubaki na rangi yako usije ukajichubua cha pili ubaki na tabia yako usije kuiga Tabia za watu mwanangu wewe msichana hapo kuna kila aina wanaume watakutongoza si wazee si vijana kuwa makini mjini kuna waume za watu na kuna wachumba wa watu sitaki kusikia umeingia kwenye mahusiano mjini kuna ukimwi nje nje mwanangu nenda katulie kamsikilize baba yako mdogo kwa kila jambo.

" Sawa mama nimekuelewa siwezi kwenda kinyume na unayonihusia.

" Nitafurahi mwanangu Leo ulale mapema hili asubuhi uwai kuamka uwende mjini chengine mwanangu si unajua huu mji.

" Ndio niambie una nini?

" Usiage iwe siri hii maana vijana wakiaga wanaenda mjini wakifika uko wanakuwa mateja kumbe vichawi vimemsindikiza na uchawi wanasema asifanikiwe uyu.

" Sawa mama.

( Duu niliwaza ni mambo tu ya zamani ambayo yapo kichwani mwa mama kuaga ni kusukumiwa uchawi ila siwezi kwenda kinyume chake nilikaa kimya nikafanya usafi nikamaliza nikapika nikala ni nikaenda kulala mapema..usiku baba karudi yupo pombe mama kamfungulia ananipita sebuleni anasema)

" Uyu kalala saizi anaumwa?

" Kesho anaenda mjini.

" Aya muamshe akakojoe aludi kulala ufunge mlango sitaki iwe kama Jana nataka kuanza kugonga yeye anagonga mlango.

" Mume wangu twende ndani amina kalala.

" Mwamshe aende kukojoa nje uko mimi baba yake nataka kukojoa ndani.

( Mama ananiamsha kama mtoto vile Sana ananiambia)

" Nenda mwanangu kakojoe kwanza urudi kulala.

" Mama mimi sina mkojo.

" Nenda kajikung'ute kung'ute utatoka tu.

( Yani kanikatisha usingizi wangu kweli nilienda nje chooni nikarudi nikalala uzuri nina usingizi wa papo kwa papo asubuhi nikaondoka mama alinisindikiza...nikapanda basi na kweli nikafika dar...nimevaa mavazi ya heshima nguo mpaka chini mama mdogo akanipokea yeye kavaa nguo fupi pamoja na mimba yake akaniambia)

" Amina mwanangu mavazi aya yanakusanya uchafu hupo dar mguu unao mwanangu yanini ujibane kama upo kijijini twende dukani nikununulie nguo zinaendana na jiji.

" Sawa mama mdogo.

( sikutaka kumgomea maana ata yeye kavaa...tukaingia dukani akaninunulia suruali ya kubana mixsa tshirt...jamani sijisifi ila kumbe mimi mzuri mzigo umechomoza...akaninunulia nguo nyingi tu alafu tukarudi sasa nyumbani...namuuliza)

" Baba mdogo yupo wapi?

" Kazini yeye anarudi usiku.

" Sawa.

( Mama mdogo ni mkarimu sana akanionyesha chumba cha kulala mimi kizuri akaniambia)

" Msubili baba yako mdogo angalia tv mimi naenda kulala kidogo nasikia usingizi.
.
" Sawa mama mdogo.

( Kweli akaenda kulala mimi nipo na suruali imenibana vizuri naangalia tv nasikia raha mala nasikia kengere inalia ishara ya mtu yupo nje nikaenda kufungua mlango ni baba mdogo akaingia na gali nikafunga mlango cha ajabu baba mdogo anashuka kwenye gali ananikumbatia mwanawe ananiambia)

" Karibu mwanangu kipenzi.

" Asante baba mdogo.

( Mwanzo nilijua ukarimu tu ananikumbatia kidogo ananiachia nashangaa mikono yake inashuka chini kwenye mzigo wangu uku ananisifia)

" Mwanangu umependeza alafu umekua tumekuza kumbe mpaka uku umekuwa.

( Iyo mpaka uku mikono yake imeshika mzigo wangu yani anayatomasa na kuyasifia...nawaza nimtoe mikono au nimsikilizie nijue mwisho wake nini?) Mmmh bamdogo huyuuu

ITAENDELEA...
Full 2000
Whatsapp 0657171961

KWETU Morogoro.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸ”₯UWIIIIIIIIIIIIIII BABA MDOGO MIMI MWANAOπŸ”₯ Sehemu ya pili. πŸ‘‰ Wewe tanua nitakupiga sasa...πŸ‘‡ Mimi nikizidiwa nataka tu haki yangu ya ndoa.  >>> https://gonga94.com/semajambo/uwiiiiiiiiiiiiiii-baba-mdogo-mimi-mwanao-sehemu-ya-pili-wewe-tanua-nitakupiga-sasa-mimi-nikizidiwa-n

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Tangazo - Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest