Menu






Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili

ILA BABA MKWE! ❤❤ 03

20th Dec, 2025 Views 43




Nyie nashindwa ata namna ya kuelezea baada ya Baba mkwe kunishika ila nilijishangaa nikianza kumfata mwenyewe pasipo kupenda yani akili zangu zilihama jamani! sijui aliniloga ata mimi mwenyewe sielewi, kitendo cha Baba mkwe kunishika nilijikuta nikimfata mwenyewe.

Baba mkwe pasipo kuniambia aliingia mpaka chumbani na mimi nilisogea mpaka mlangoni, hakutaka kutumia nguvu zaidi ya kunivutia chumbani.
Alivua shati lake alilovaa na baadae alinivulisha na mimi, kwani nilikuwa na nguvu ya kumkatalia wala!! sikuwa na nguvu hizo mbele ya Baba mkwe wangu, kila alichokuwa akikifanya kwangu nilikuwa simkatalii, mpaka anamaliza kunivulisha nguo zangu na yeye kuvua nguo zake hakuna mtu aliyemuongelesha mwenzake, tulianza kufanya mapenzi mimi na Baba mkwe na siku hiyo nilikuwa sisikii raha yoyote ile maana akili zilikuwa kama zimeganda.
Tulipomaliza ndipo akili yangu ilipokaa sawa.
"Umeniloga wewe mzee!?"
"Nani! mimi Fatuma!?"
"Ndio wewe kwani naongea na nani!?"
"Nimekuloga kivipi huku ulinifata mwenyewe mpaka huku chumbani au mimi nimekuongelesha tangu nimefika hapa!?"
"Ulinishika alafu mimi nikaanza kukufata tu bira kujijua, nakuja kumwambia Nasir!" niliongea huku nikitoka kwenye chumba chake lakini tayari alikuwa ameshafanikisha lengo lake la kunizagamua.
Nilifika sebuleni na simu yangu iliita huku mpigaji akiwa ni Nasir mwenyewe, niliipokea simu na kuiwekea sikioni.
"Fatuma unaendeleaje mke wangu!?"
"Naendelea vizuri tu"
"Mda sio mrefu nitarudi ila temu hii utafurahi mwenyewe, yani utapenda Fatuma nilichokutana nacho huku basi tu ila lazima nitakuwa sawa Fatuma"
"Aya mme wangu ila tu...
Nilipokonywa simu na baba mkwe wangu aliyekuwa akisikiliza maongezi yetu.
"Hello mwanangu!?"
"Aaah kumbe ni baba shikamoo baba!"
"Ujitahidi uwahi kurudi huku mke wako ananiuliza kila siku utarudi lini!"
"Nimeshamwambia mda sio mrefu nitarudi nyumbani"
"Aaaah hapo sawa utakuwa umefanya jambo la maana" Baba mkwe alimjibu na kuikata simu mwenyewe kisha baada ya hapo alinigeukia na kuniambia.
"Yaliyotokea yaache kama yalivyo Fatuma usije kumwambia kijana wangu vinginevyo usije kunilaumu!"
"Kwahiyo unanitisha Baba Mkwe sio!?"
"Sikutishi ila nakwambia tu ila ata hivyo wewe mtamu kushinda ata mke wangu" Baba Mkwe aliongea huku akinikenulia meno yake na mda huo nahisi alikuwa tayari ameshaanza kuhitaji mizagamuo tena kwa mara nyingine, niliondoka kwenda kuendelea na kazi zangu, siku hiyo ilipita pasipo Baba Mkwe kunisumbua.

Baada ya siku kadhaa Nasir alirudi akiwa kaongozana na mama yake mzazi, Nasir siku hiyo alionekana kuwa na hamu na mimi kwani hakutaka ata kunipa nafasi ya kuanza kumuuliza maswali alipotoka, Nasir alinipeleka chumbani na kuanza uchokozi wake, alinichokoza weeee! kwa kunipapasa mpaka pale alipoona chakula kipo tayari kwa kuliwa, siku hiyo niliona mabadiliko kidogo kwa Nasir, mpini wake ulikuwa umesimama kama msumali tofauti na siku zote tangu nimfahamu.
"Taratibu Nasir!"
"Ninahamu mno Fatuma niache niifanye kazi yangu"
"Mmmh Aya!" niliguna maana mchezo mzuri unahitaji ushirikiano kwa wote wawili lakini mwenzangu alitaka kuutawala mchezo peke yake, Nasir alinivua nguo zangu zote, moyoni nilijisemea leo kazi ninayo kwani Nasir alionesha kupata tiba ya uhakika haswa!

Mtanange ulianza kati yangu na Nasir, mchezo aliushika huku mimi nikiwa ni mshiriki kivuli tu, dekika tano hazikupita Nasir alifika kileleni.
"Mbona haijafanya kitu!?" aliongea huku akiwa nyuma ya makalio yangu mda huo nikiwa nimeinama mbuzi kagoma kwenda.
"Nini Nasir!?"
"Dawa haijafanya kitu!?"
"Mimi mbona sielewi kinachoendelea!?, maneno yako yananichanganya Nasir!"
"Huelewi nini Fatuma, nilihakikishiwa kuwa nitafanya mapenzi kwa mda mrefu ila nimefanya kwa dekika 5 tu" Nasir aliongea kwa kukereka, na aliona haitoshi aliamua kukaa kitandani.

Nilimwangalia hivyo ilibidi nishike kidevu chake na kumwambia.
"Niangalie Nasir!"
Nasir alifanya kama nilivyomwambia kwa kunitazama.
"Mimi nimeridhika na wewe jinsi ulivyo haina haja ya kuhangaika, ukiwa hivyo tutakuwa masikini maana hutafanya kazi na mda wote utawaza kutafuta dawa tu ili tuzagamuane vizuri, utapata wapi mda wa kutafuta pesa Nasir!?"
"Hujui tu ninavyotaka Fatuma!, mimi nataka niwe napiga show mpaka masaa matano Fatuma"
"Masaa matano!?"
"Eeeeh!"
"Unataka nichanike ndiyo ufurahi!?" nilimuuliza maana siwezi kumaliza masaa matano nikiwa nafanya mapenzi na mwanaume, nilipenda kuridhizishwa sawa ila sio kufanya mapenzi kwa mda mrefu zaidi kwani ingekuwa kero kwangu.
Ilibidi nivae nguo zangu na Nasir alikuwa akinitazama tu.
"Wakikuuliza waambie dawa imefanya kazi Fatuma!"
"Kina nani tena Nasir!?"
"Wazazi wangu maana najua watakuuliza tu" Nasir aliongea, ilibidi nitoke na kwenda nje.

Nilikutana na Baba Mkwe aliyekuwa akiniangalia na ilionekana aliumizwa kuniona nikiwa na Nasir chumbani, Mama Mkwe alinisogelea na kuniuliza.
"Vipi mwanangu mambo yameenda vizuri huko ndani!?"
"Ndio mama yameenda vizuri" nilimjibu na Baba Mkwe alibaki kunitazama tu.
"Sasa mwanangu kesho sisi tutarudi nyumbani mwite Nasir nifanye nae maongezi hapa"
"Nani amekwambia kesho tunaondoka Mama Nasir!?" Baba Mkwe alimuuliza swali Mkewe.

Walianza kujibishana na mimi nilibaki nikiwatazama na baadae niliwaaga kwa kuwaambia kuna kazi ninazotakiwa kwenda kuzifanya, sijui walichokubaliana ila baadae Nasir aliniambia kuwa Baba yake tutaishi nae nyumbani pamoja kwa mda.

Niliishia kuguna maana mimi na Baba Mkwe tayari tumeshafanya mapenzi na nilijua tu ni tamu yangu ndiyo imemfanya Baba Mkwe atake kuishi na sisi.
Usiku wa siku hiyo sikusikia kelele zozote za kunyanduana kwenye chumba walichokuwa wakilala na asubuhi ilipofika Mama Mkwe aliondoka huku akisindikizwa na Nasir aliyekuwa akienda kazini.

Nyumbani tulibaki wawili tu yani mimi na Baba Mkwe wangu, nilimuandalia chai na kumkaribisha.
"Fatuma njoo ukae pembeni yangu hapa!"
"Hapana Baba mimi na kazi nyingi za kufanya"
niliongea huku nikiwa naondoka, nilijua lengo lake nikutaka nikae karibu ili aanze kunichokonoa kwa kunishika na kunipapasa ili kunipandisha nyeg..!.

Nilifika jikoni na kuanza kuosha vyombo huku nikiwa nimeinama chuma mboga! nilishangaa nikishikwa kiuno na nilivyogeuka nilimuona Baba mkwe.
"Ila Baba mkwe kwanini lakini unakuwa ivi kwangu!?"
"Fatuma jana nimeacha kumpiga mashine mke wangu ili nikutunzie wewe nguvu maana najua Nasir hakukuridhishi kabisa"
Aliongea huku akinisogealea.

Niliona Baba mkwe anataka kuniletea matani, licha ya kuwa alijua kumkuna mwanamke vizuri na kuwa na mashine nzuri na tamu ila sikupenda kabisa alichonifanyia Baba Mkwe kunishika kiuno changu....ITAENDELEA.

.
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha

Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ILA BABA MKWE! ❤❤ 03




Nyie nashindwa ata namna ya kuelezea baada ya Baba mkwe kunishika ila nilijishangaa nikianza kumfata mwenyewe pasipo kupenda yani akili zangu zilihama jamani! sijui aliniloga ata mimi mwenyewe sielewi, kitendo cha Baba mkwe kunishika nilijikuta nikimfata mwenyewe.

Baba mkwe pasipo kuniambia aliingia mpaka chumbani na mimi nilisogea mpaka mlangoni, hakutaka kutumia nguvu zaidi ya kunivutia chumbani.
Alivua shati lake alilovaa na baadae alinivulisha na mimi, kwani nilikuwa na nguvu ya kumkatalia wala!! sikuwa na nguvu hizo mbele ya Baba mkwe wangu, kila alichokuwa akikifanya kwangu nilikuwa simkatalii, mpaka anamaliza kunivulisha nguo zangu na yeye kuvua nguo zake hakuna mtu aliyemuongelesha mwenzake, tulianza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ila-baba-mkwe-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
MWENDELEZO SOMA HAPA

Maoni

You're not logged in


gonga94 official track
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ila-baba-mkwe
ILA BABA MKWE! ❤❤ (A) 01
ILA BABA MKWE! ❤❤ (A) 01
ILA BABA MKWE! ❤❤ 02
ILA BABA MKWE! ❤❤ 02
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest