WACHEZAJI WANADAI PESA NDEFU SANA
Siyo wanadai Pesa tu,bali ni pesa Nyingi sana na Bonus Nyingi ambazo ni Sehemu ya Mikataba yao, Bonus zingine zilikuwa ni Sehemu ya Ahadi walipokuwa group Stage
Miezi miwili sasa Hawajalipwa Mishaara yao Ambayo ni Haki ya Kimkataba na Bonus wachezaji hao wanadai Bonus Nyingi Taangu wakiwa wanacheza Group Stage Mechi dhidi ya Tp Mazembe pale Congo, Mechi ya marudiano Benjamin Mkapa Dhidi ya Tp Mazembe pia waliaahidiwa Bonus Kubwa, Tajiri alitoa Pesa Yote ya Bonus ila haikuwafikia Wachezaji hadi Leo.
Pia Kuna Bonus za Ligi kila baada ya Kushinda Mechi kadhaa kwenye ligi huwa wanapewa kulingana na Mikataba yao.
Boss alishatoa Bonus zote na Mishaara ya yote Lakini hakuna pesa yoyote iliyowafikia Wachezaji.
Pesa Haijulikana imeenda Wapi na Rais Ndiye aliyekabiziwa Mzigo wote wa maokoto.
Chanzo changu cha Uhakika cha Taarifa kimeniambia Rais anaogopa hata kufika Kambini kuonana na Wachezaji Wake,Usalama Kambini ni Mdogo sana wachezaji wanataka kulipwa Pesa zao.
Mwanasheria wa Club aliyejiuzuru aliomba kulipwa Stahiki zake Lakini WACHEZAJI WANADAI PESA NDEFU SANA
Siyo wanadai Pesa tu,bali ni pesa Nyingi sana na Bonus Nyingi ambazo ni Sehemu ya Mikataba yao, Bonus zingine zilikuwa ni Sehemu ya Ahadi walipokuwa group Stage
Miezi miwili sasa Hawajalipwa Mishaara yao Ambayo ni Haki ya Kimkataba na Bonus wachezaji hao wanadai Bonus Nyingi Taangu wakiwa wanacheza Group Stage Mechi dhidi ya Tp Mazembe pale Congo, Mechi ya marudiano Benjamin Mkapa Dhidi ya Tp Mazembe pia waliaahidiwa Bonus Kubwa, Tajiri alitoa Pesa Yote ya Bonus ila haikuwafikia Wachezaji hadi Leo.
Pia Kuna Bonus za Ligi kila baada ya Kushinda Mechi kadhaa kwenye ligi huwa wanapewa kulingana na Mikataba yao.
Boss alishatoa Bonus zote na Mishaara ya yote Lakini hakuna pesa yoyote iliyowafikia Wachezaji.
Pesa Haijulikana imeenda Wapi na Rais Ndiye aliyekabiziwa Mzigo wote wa maokoto.
Chanzo changu cha Uhakika cha Taarifa kimeniambia Rais anaogopa hata kufika Kambini kuonana na Wachezaji Wake,Usalama Kambini ni Mdogo sana wachezaji wanataka kulipwa Pesa zao.
Mwanasheria wa Club aliyejiuzuru aliomba kulipwa Stahiki zake Lakini Ofisi ya Mh Rais ilisema haiwezi kumlipa kwasababu hajawahi Kushinda kesi Yoyote ya Club,kaambiwa kitengo chake cha Sheria Ndani ya Club kimeingiza Club kwenye Hasara Hivyo hatalipwa pesa yoyote.
MOTO UNAWAKA MKIONA MOSHI WA MWEUSI UMETOKA NJE MJUE WANATAKA PESA ZAO. chake cha Sheria Ndani ya Club kimeingiza Club kwenye Hasara Hivyo hatalipwa pesa yoyote.
MKIONA MOSHI WA MWEUSI UMETOKA NJE MJUE WANATAKA PESA ZAO..