Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

AISHIIII! INAUMA ILA TAMU SHEMEJI🔞 Sehemu ya tatu ( Wewe kama sio msomaji chombezo usisome)

27th Aug, 2025 Views 152



👉 Dah sijui nikubari au nifanyaje chozi lake linanipa unyonge mimi tena kapiga magoti,

Dah yani...👇

Kabra sijampa jibu simu yake inaita namba ngeni ikabidi apokee alipopokea tu akasikia sauti ya mjomba yake inamwambia.

" Mwanangu wewe wa kiume jikaze mama yako ayupo duniani njoo kiume ukijua kuna msiba.

" Mume wangu alilia uku ameshika simu anasema,

" Mama alikuwa anasubiria nioe kabla ajapata wajukuu ndio anakufa😭😭😭.

" Mimi nikalishusha kilio sasa cha kike kile,

" 😭😭😭Mamaaaa mama mkwe kwanini umewai kuondoka.

" Sasa zoezi la kujaribu kuweka kwenye mb*o yake kwenye mk*ndu likahishia hapo mume wangu akaniambia,

" Itakuwa Basi aya matatizo yangu ni uchuro au wewe unasemaje mke wangu.

" Na mimi nikasema,
Ndio uchuro huu mume wangu.

" Basi walikuja majirani kutupa pole na kutufariji ndio kazi ya Mungu aina makosa,

Basi asubui hao mimi na mume wangu tunaenda mkoani kuzika yani msiba mzito,

Tunafika mkoani tunakuta mdogo wa mume wangu anaitwa joji amezimia yeye ndio kipenzi cha mama yake,

Mume wangu anaangaika na mdogo wake kwa sababu amezimia na baada kuzinduka akamwambia,

" Mdogo wangu usiwaze sana ndio ivyo mama atupo nae subiri tumpumzishe mama wewe na mimi tutaenda wote mjini sawa.

" Shemeji joji akasema,
Sawa kaka ila dah inauma sana mama mama mama 😭😭😭.

" Analia tena.

" Sasa majirani wambea awakosi sio mjini tu ata kijijini wakaanza kuteta,

" Hii ndio shida mtoto wa kiume kumpenda sana mama sasa analia kama mtoto wa kike alikuwa anasemwaga na baba yake acha kukaa na mama yako kila wakati nenda kacheze ataki ona sasa anawaza ataishije bila mama yake.

" Wakati wanamzungumzia mimi nasikia arafu ndio naria Lia nabembelezwa si unajua uwezi kukaa kimya kisa kafa mama mkweo sio mama mzazi,

Basi mpango wa mazishi yakafanyika siku mbili mbele tulimzika mama mkwe,

Na siku ya tano mume wangu akamwambia baba yake.

" Baba mimi naondoka joji mjini hili apotee aya mazingira kidogo si unajua akiona mti ule atamkumbuka mama walikuwa wanakaa pale akiona nyumba hii Basi kilio kitakuwa akimuhishi yeye.

" Baba mkwe akasema,
Itakuwa vizuri na umtafutie kazi ya kufanya asikae tu kama mzigo utamchoka Siku si nyingi.

" Mume wangu akasema,
Baba siwezi kumchoka mdogo wangu ata iweje tupo wawili tu alafu ndio nimchoke Mungu anihepushie iyo roho mbari.

" Baba yake akasema,
Sawa omba sana Mungu usije kuwa na iyo roho kwa sababu naona mimi kwenye family mbari mbari wakiwa pamoja lazima wagombane ila kama wewe mwenyewe una kili autakuwa na roho iyo Basi na Mungu atakuhepusha.

" Basi ikawa imeisha ivyo tunarudi na shemeji joji mjini.

" Sasa kwenye Basi nashangaa mume wangu anakula karanga mbichi miksa nazi mbata,

Mimi nikasema kimoyoni itakuwa gari limewaka nini ndio maana ananilia karanga mbichi uku najisemea kimoyoni nilifurahi kweli nikunwe mimi.

" Basi tukashuka kwenye Basi mume wangu akaenda kwa wapemba wanauza pweza,

Yeye akaagiza mchuzi wa pweza bakuri mbili.

" Mimi namwangalia tu nasema kimoyoni gali limewaka uyu mbona anajikoki.

" Shemeji joji yeye anakula vikababu yani ataki kula mchuzi wa pweza.

Sasa tumetoka hapo tumefika nyumbani mume wangu akamuonyesha chumba joji cha kulala.

" Na joji akuwa na iyana akaenda zake kulala.

" Mimi nikaenda kuoga miksa kuosha kuu**ma vizuri najua Leo kazi kazi nikaimwagia maji ya kutosha iwe safi na iwe na utayari kwa matumizi ya kitandani,

Nikatoka zangu chooni nikaenda chumbani nikalala bila chupi najua Leo mume wangu anaitaka kweli kuma yangu kwa sababu sio kwa kujikoki vile,

Mume wangu akaenda kuoga na yeye kavaa tauro ndani akuvaa chochote akaoga akarudi sasa chumbani akapanda kitandani,

" Mimi nikamsogelea kichokozi yani nipo tayari kwa kumpa ku*ma anit**mbe. Sasa mume wangu nakamshangaa ana.......
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AISHIIII! INAUMA ILA TAMU SHEMEJI🔞 Sehemu ya tatu ( Wewe kama sio msomaji chombezo usisome)  >>> https://gonga94.com/semajambo/aishiiii-inauma-ila-tamu-shemeji-sehemu-ya-tatu-wewe-kama-sio-msomaji-chombezo-usisome

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
profile
majario 27 Aug 2025 19:22
AISHIIII! INAUMA ILA TAMU SHEMEJI🔞

Sehemu ya tatu

( Wewe kama sio msomaji chombezo usisome)
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest