Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

PILOT NIACHIE NIMEKOMA JAMANI*👌 *_____________________________________* *SEHEMU YA 01 na 2

28th Aug, 2025 Views 49



Mwenzenu yamenikuta leo, mimi ni mhudumu wa ndege, hii kazi niliipambania mno, ili tu nimkwepe mama angu aliekuwa anataka kuniozesha, kisa anaona siolewi kila siku yeye anachangia watu, anataka na yeye afanye shughuri na hana mtoto mwingine zaidi yangu, nikaona niache biashara yangu ya mitumba nitafute ajira niliyosomea ili nisiwe na onana nae mara kwa mara, nilipata kazi na hii ilikuwa ruti yangu ya kwanza, lakini haikuchukua muda tukarudi tena, ni kama wiki tatu tu, nikaona ni bora nichukue room nisiende kwanza nyumbani, kwa kuwa hapa tutakuwa na siku tatu tu, ya nne tunaondoka, nitaenda nyumbani awam nyingine, nilichukua chumba kwa siri sana nisionekane, lakini wakati nimechukua naingia, namuona pia Pilot wangu nae anaingia chumba jirani na changu, akanishangaa, lakini hakuuliza, baada ya muda kuna mhudum akasema naitwa na yule pilot nikashangaa naitwa🤔....

Nilitii nikaenda akaomba nimsaidie kwenda kununua kitu dukani yeye hayuko sawa, hawezi kutoka, nilitamani kulia, angejua mwenzie nimejificha angenihurumia tu, alinipa pesa ety nikamnunulie nguo, hana nguo za ziada alizonazo ni chafu, na hana ratiba ya kwenda kwake, nilitamani ata anipe tu nimfulie ila sikuwa na jeuri ya kuongea kabisa, nilitoka, mpaka maduka ya kiume uku najificha uso wangu, nilipewa card ya benk sijui alijiamini nini uyu mwamba kunipa card yake aisee, nilitoa pesa aliyonambia...

Nikaingia kuchagua nguo, nilikuwa mtaalam wa fashion, coz nilishafanya biashara ya nguo hivyo kwenye kuchagua nguo mimi ni moto wa kuotea mbali, nilichagua pamba haswaa, nikageuza na Bolt mpaka hotel, nimefika moja kwa moja mpaka chumba cha Pilot Amir

Nikampatia card yake na nguo, apo nishampiga ganji, nguo anazochukulia 80, mimi nimechukuria elf 45, kwa hio kwenye kila nguo nimepiga pesa yakutosha tu, na nguo nimechukua OG, alifurahi nimechagua rangi nzuri mno, akasema atakuwa ananiagiza mimi kwenye nguo yeye hawezi huwa anateseka sana kuchagua nguo, ndio maana ananunua mashati meupe tu...

Nilicheka nakumwambia asijari ngoja nimpishe ajaribishie then atanambia kama kuna tatizo lolote, tukaelewana, nikawa natoka nyie nyie nafungua tu hivi mlango, nakutana na timu, kuna mbibi na walinzi, na kucheki nyuma mama angu nyie nilihisi kupaa, nikachanganyikiwa, nikataka kufunga mlango nikimbie kujificha, ila nilikuwa nimeshacherewa, walinzi walinishika nikarudishwa ndani na kumkuta Pilot T, ametoa shart yuko kifua wazi, yeye mwenyewe kwanza akashtuka...

" Bibi nini hiki tena, muda huo na mimi namwambia mama mbona umekuja huku? " Kwa hio Alice hapa ndio kazini ee? Mama sio hivyo hujanielewa twende nikakueleweshe, Bibi ake Pilot akazuia hapa tutaelewana hapa hapa hakuna cha kwenda kuelewana pembeni, kwa sababu tumewakuteni pamoja, " Bibi hujaelewa muache aende mtoto wa watu, " Amir naona umenisahau, sasa ni hivi mama wa bint si yuko hapa ee?..
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapa juu au chini ukasome yote hadi mwisho kwa buku tu...

Itaendelea...💥

*SEHEMU YA PILI*

Bibi unataka kufanya nini? Nyie kumbe Pilot nae alikuwa na mtihani kama wangu, na aliogopa kurudi kwake kwa sababu tu ya kelele za kuoa, sasa Bibi yake akataka kutuozesha apo apo, mama nae akaunga mkono, tukaanza kujitetea mimi mkristo mwenzangu mwislam lakini haikusaidia mama angu yuko kusema mwanamke hana dini, nilianza kulia naomba watuelewe, lakini haikusaidia, Pilot Amir akamuomba bibi yake sana, lakini bibi akatishia kujiua ikabidi, Amir anibembeleze tu nikubari, nyie nyie nilisrimishwa kama utani, na ndoa ikapita siku hio hio, wakapanga kufanya sherehe baada ya sisi kurudi hio safari yetu ya kikazi, apo nikama mwezi mmoja tu...

Tuliachwa kwenye room wenyewe kila mtu anastress yake watu atujuani vizuri yani, mmh nilimuomba nikalale kwenye chumba changu akasema, ata usijisumbue nina uhakika utarudishwa tu, wewe lala tu umu umu apo nje hapawezi kosa walinzi wa bibi, na hata iko chumba chako wahudumu watakuwa washakiuza kwa mteja mwingine, kwa sababu wameshuhudia umeozeshwa kwangu wanauhakika hutokitumia, na kama utaleta shida kama walivyowaleta kutuozesha watakushitakia, namjua bibi yangu vizuri, awezi ondoka bila kuacha maelekezo kwa watu wake, na hawa wafanyakazi..

Nilichoka aisee, Amir aliniambia nilale kitandani yeye atalala kwenye kochi, nilimtizama nikimcheki ni mtoto wa kishua sio kama mimi nishazoea shida, nikamwambia wewe lala kitandani mimi nitalala kwenye kochi, kwanza mimi mfupi naenea hapo, wewe ni mrefu apo utaumia, aligoma tukarumbana mpaka nikaamua kunyamaza na kutumia vitendo, kwa sababu alikuwa hajakaa kwenye kochi nikawahi kwenye kochi, nayeye akawa amenishtukia kuwa naenda kwenye sofa, akakimbia kuniwahi, bahati mbaya tukagongana, akawa amenishika pabaya bila kujua,alitoa mkono haraka kama kapigwa shot tukajikuta tunaoneana aibu tu...

Akawa anashindwa ata kunitizama, na mimi ndio kabisa ikabidi nimuache alale anapopataka make tukiendelea hivi yanaweza kutokea mengine zaidi, lakini wakati naondoka kumbe kakalia nguo yangu nikajikuta nimedodokea tena kwa Amir, tena nimekaria sehemu hatali na inaonekana kabisa imevimba, inapumua mno...
JE NINI KITAENDELEAAA ....!! "

OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU UNAPATA mpk mwisho

Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PILOT NIACHIE NIMEKOMA JAMANI*👌 *_____________________________________* *SEHEMU YA 01 na 2  >>> https://gonga94.com/semajambo/pilot-niachie-nimekoma-jamani-_____________________________________-sehemu-ya-01-na-2

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
profile
majario 28 Aug 2025 06:06
PILOT NIACHIE NIMEKOMA JAMANI*👌
*_____________________________________*

*SEHEMU YA 01 na 2
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest