SHEMEJI WEKAA...
Sehemu Ya 01
Ni stori ya kweli inayo muhusu binti mmoja anaeitwa ISABELA,.
ANZA:
Mimi naitwa Isabela ni mzaliwa wa wilaya ya kwimba mkoani Mwanza nilizaliwa mnamo mwaka 06/ 05/1987 katika hospitali ya rufahaa bugando.
Katika Familia yangu tumezaliwa watoto Wa wili Mimi pamoja na kaka yangu Gabriel na pia wazazi wetu walitulea kwa misingi ya dini na pia wazazi wangu na sisi kwa ujumla tuliishi kwa kutegemea kilimo.
Hatukufanikiwa kuishi na wazazi wote kwani mzazi mmoja alitangulia mbele za haki Mnamo Mwaka 1999
R I P (BABA YANGU )
Kipindi hicho sito kisahau kwani baba alitutoka kwenye mazingira ya kututatanisha nakumbuka siku hiyo ilikuwa jumapili asubuhi na mapema baba aliamka na kwenda shambani basi Mimi pamoja na mama na kaka yangu Gabriel tulichelewa kwenda shambani kutokana na shughuli
za asubuhi (KAZI ZA NYUMBANI)na tulipo maliza Kazi hizo tulielekea moja kwa moja shambani tukaungane na baba yetu kwa siku hiyo.
***
Tulifika shambani Mara moja hatukupoteza mda tulianza Kazi kwani tulikwisha muona baba yetu yuko ng’ambo ya pili akiendelea kulima.
Masaa machache yalipita baadaye Mara gafla BABA alipiga kelele na kunyamaza kimya wote tulishituka na hofu mwili mzima ulinitawala na ndipo tulipoelekea alipo baba yetu na tulipofika tulimkuta baba kalala chini na aongei tena Mimi nilijitahidi kumwita huku kila mmoja akilia kivyake, nilimwita sana, tulilia sana ila hapakuwepo na ishara zozote zile za kuonyesha kuhema kwa BABA yetu kitendo kilicho nifanya kugundua kuwa alikuwa tiyari ameshatutoka.
***
Tulisikitika sana kwani hatukujua nini kilimpata baba yetu na kupelekea mauti yake kwani alikuwa mtu mwenye afya nzuri siku hiyo.
***
Basi tulifanya mipango ya mazishi ambayo haya kuchukua mda mwingi sana yalikamikika huku tukisaidiwa sana na wanakijiji na wana ndugu wachache walio fika kwenye msiba huo,tulipo maliza mazishi kila mmoja alirudi na kuendelea na shughuli zake.
***
Mama alikuwa mpweke sana kipindi hicho kwani ndiye aliyekuwa nguzo yetu na mboni yetu kwa kila kitu kwani ndiye aliyekuwa akitusomesha kwa bidii na kutusihi tusome tuutokomeze ujinga Mimi pamoja na kaka yangu Gabriel,.
***
Kilichokuwa kina niuma zaidi ni kwamba Baba alitutoka gafla sana kwani nasi ndo tulikuwa ndo tumehitimu masomo yetu ya darasa la saba na kipindi hicho hicho ndicho kipindi ambacho tulikuwa tukisubili matokea yetu ya kujiunga na masomo ya sekondari.
***
Matokeo yalikuja vizuri mimi pamoja na kaka yangu Gabriel tulichaguliwa kujiunga na Masomo ya secondary,.
Mama alipo pata taharifa ya kuwa sisi tumefanikiwa kujiunga na masomo ya sekondari mama……….?
endelea kufutilia MKASA huu wa KUSISIMUA kwa KULIKE page yetu ili usipitwe na kipande hata kimoja,.
DAWA YA RAAHATU AL JIMAAI NI kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
1? kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
2? dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
3? mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
4? kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
5? Inarutubisha mbegu na kuziboresha
6? Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
7?Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
8?Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
9? Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
???? Inarutubisha mayai
NB: HAINA MADHARA NI MMEA SALAMA
Epuka aibu hii tumia" RAAHATU AL JIMAAI " ndio kiboko yao
BEI YA DAWA HII NI ELFU 25
INAPATIKANA MBAGALA CHARAMBE MIKOANI NA NCHI JIRANI KAMA NAIROBI NA MOMBASA TUNATUMA KWA BASI
ZANZIBAR KWA BOTI
NICHEKI WHATSAPP
0714282495 AU NITUMIE MESEGI NENO RAHAATU 0781637825 UTAJIBIWA
????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????.